onjwayo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 1,417
- 1,393
Kila day ujinga wa wachache ndani ya chama hicho uwapa point wahasimu wao wa kisiasa. Hivi wenye busara hawakoMbwembwe tu hizo, wanataka kuvutia wanachama wapya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila day ujinga wa wachache ndani ya chama hicho uwapa point wahasimu wao wa kisiasa. Hivi wenye busara hawakoMbwembwe tu hizo, wanataka kuvutia wanachama wapya
Charity begins at home huwezii Anza kununulia barakoa nyumba ya jirani kabla ya familia yako Kwanza
CCM family first
Wao wamepewa misaada na Jack ma itolewe kwa wote wao wanatafutia kuraLeo asubuhi Jumamosi 25/04 kwenye kipindi cha Magazeti TBC, msomaji alimkariri Kate Kamba kuwa CCM itatengeneza barakoa zake na kuzigawa kwa wanachama wake.
CCM ndiyo inayopokea michango toka kwa wasamaria wema, CCM sasa imeamua kwenda kivyakevyake na kuwatelekeza watanzania wasio wanachama wake?
Je, ni jambo lenye Tina kwa taifa kila vyama, makabila, dini na makundi mengine yapambane kivyao vyao?
Mbona michango ya msiba wa wznafunzi Arusha walipiga wakafanya Abracadabra ! Na Kagera vivyohivyo.Wao wamepewa misaada na Jack ma itolewe kwa wote wao wanatafutia kura
Hata hii ya covidMbona michango ya msiba wa wznafunzi Arusha walipiga wakafanya Abracadabra ! Na Kagera vivyohivyo.
Hivi ni Dora au ni Dola? Sasa kama Kuandika tu maneno ya Kiswahili kwa Usahihi wake huwezi je, Kichwani zimekutimia kweli?
Cdm wanagaia watu wote kiujumla bila ubaguziMbona katika baadhi ya Mitandao ( siyo JamiiForums ) nimeona CHADEMA nao wana Barakao zao? Tatizo hasa liko wapi hapo?
Kwani CHADEMA wamesema wasio wanachama wao hawapewi?Mbona katika baadhi ya Mitandao ( siyo JamiiForums ) nimeona CHADEMA nao wana Barakao zao? Tatizo hasa liko wapi hapo?
Leo asubuhi Jumamosi 25/04 kwenye kipindi cha Magazeti TBC, msomaji alimkariri Kate Kamba kuwa CCM itatengeneza barakoa zake na kuzigawa kwa wanachama wake.
CCM ndiyo inayopokea michango toka kwa wasamaria wema, CCM sasa imeamua kwenda kivyakevyake na kuwatelekeza watanzania wasio wanachama wake?
Je, ni jambo lenye Tina kwa taifa kila vyama, makabila, dini na makundi mengine yapambane kivyao vyao?