YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,900
- 52,050
Hujui mipaka ya chama na serikali iko.wapi hasa kwenye matumizi ya pesa za serikali!!!! Pesa za serikali Ni za za serikali na chama ni za chamaMkuu ,kwani hao Mawaziri ni wa Chama gani !? .
Au unafikiri hatukumuelewa Katibu Mkuu Bashiru juu ya unufaikaji wa kuwa na Dola. !?
Ruzuku ya chadema haiwezi tumiwa na serikali kutengeneza barakoa!!!! Wala pesa za michango ya wanna chadema kwa chama Chao haiwezi tumiwa na serikali kutengeneza barakoa!!!