CCM kubalini uwezo wenu wa kuongoza taifa umefikia mwisho, umegota na kila lenye mwanzo halikosi mwisho.
Ili kukinusuru chama kwa muongo mwingine ujao mshaurini Samia ajiuzulu, iandikwe katiba mpya uchaguzi urudiwe hiyo ndiyo itakuwa salama yenu.
Kuendeleza jeuri kuwa sisi ndio chama tawala mtafutika kwenye uso wa dunia na kubaki jina kama vilivyo vyama vingine vya ukombozi ikiwemo KANU.
Kuendeleza jeuri ni kumtengenezea Mwenyekiti wenu njia ya kuelekea ICC na kumshushia heshima kimataifa, mnaona hizo roho elfu 10 hazitoshi mnataka kumwongezea zingine, muwe na huruma.
Mauaji yaliyotokea October 29 si tu yamelitia doa Taifa la Nyerere bali yamekitia doa chama cha Mapinduzi CCM, yameutia doa utawala wa Rais Samia, maana haijawahi kutokea tangu kuumbwa kwa Tanganyika.
CCM mtambue kuwa hamuongozi kizazi cha miaka ya 60 kina Butiku mnapambana na kizazi cha 2000 ambacho hakina kitu cha kupoteza zaidi ya maisha yao.
Sioni ni kwa njia gani hili wimbi la mabadiliko yanayoshinikizwa na vijana wa Gen Z mtayazuia kwa mawazo ya kizamani ya kina Wassira, kina Nchimbi, kina Kabudi ya kutumia vitisho vya dola, udini yatafanikiwa.
Mlitumia vitisho vya polisi vijana wakaandamana, mmewaua kwa maelfu wamepanga kuandamana tena. Na kete mnayotumia ya Udini ndiyo itakayokuwa kaburi la CCM na mnamchimbia Mama kaburi lake kwa mikono yenu.
ITUNZENI HII LISTI IWE KAMA REFERENCE KWA SIKU CHACHE ZIJAZO.
Ili kukinusuru chama kwa muongo mwingine ujao mshaurini Samia ajiuzulu, iandikwe katiba mpya uchaguzi urudiwe hiyo ndiyo itakuwa salama yenu.
Kuendeleza jeuri kuwa sisi ndio chama tawala mtafutika kwenye uso wa dunia na kubaki jina kama vilivyo vyama vingine vya ukombozi ikiwemo KANU.
Kuendeleza jeuri ni kumtengenezea Mwenyekiti wenu njia ya kuelekea ICC na kumshushia heshima kimataifa, mnaona hizo roho elfu 10 hazitoshi mnataka kumwongezea zingine, muwe na huruma.
Mauaji yaliyotokea October 29 si tu yamelitia doa Taifa la Nyerere bali yamekitia doa chama cha Mapinduzi CCM, yameutia doa utawala wa Rais Samia, maana haijawahi kutokea tangu kuumbwa kwa Tanganyika.
CCM mtambue kuwa hamuongozi kizazi cha miaka ya 60 kina Butiku mnapambana na kizazi cha 2000 ambacho hakina kitu cha kupoteza zaidi ya maisha yao.
Sioni ni kwa njia gani hili wimbi la mabadiliko yanayoshinikizwa na vijana wa Gen Z mtayazuia kwa mawazo ya kizamani ya kina Wassira, kina Nchimbi, kina Kabudi ya kutumia vitisho vya dola, udini yatafanikiwa.
Mlitumia vitisho vya polisi vijana wakaandamana, mmewaua kwa maelfu wamepanga kuandamana tena. Na kete mnayotumia ya Udini ndiyo itakayokuwa kaburi la CCM na mnamchimbia Mama kaburi lake kwa mikono yenu.
ITUNZENI HII LISTI IWE KAMA REFERENCE KWA SIKU CHACHE ZIJAZO.