CCM Kuanguka Kwa CHADEMA is not our Party Interest we should Help Them!!

CCM Kuanguka Kwa CHADEMA is not our Party Interest we should Help Them!!

- Ni muda mrefu sasa kumekuwa na mtafaruku mzito ndani ya Chadema ambao umekuwa ukikitafuna sana chama hicho, na pia kuna utabiri mzito sana ulitolewa na Waziri Wassira kwamba Chadema ipo katika siku zake za mwisho. Ninasema hivi kufa kwa Chadema kama dalili zinavyoonyesha sasa hivi sio the best Interest ya chama chetu CCM. Tunahitaji kuwasaidia sana waendelee kuwepo kwa sababu they have proven time and time kwamba ni paper tiger tu, wazuri kwenye makaratasi lakini hawana nguvu yoyote kisiasa.

- Kupitishwa kwa musawada wa Katiba mpya juzi bungeni ni mfano mzito sana ulio hai wa jinsi wasivyo na nguvu kabisa za kisasa za opposed na makelele yao ya kila siku na lile gazeti lao lenye makao makuu yake kwenye Club ya Disco ya Mwenyekiti wao. Ninawaomba sana CCM tunahitaji kuwa makini sana na matatizo ya chama hicho sasa hivi, tutumie nafasi hii kuwasaidia wasiambaratike maana Chadema ikisambaratika tutaanza kufukuzana na adui tusiyemjua, ni bora kushindana na huyu huyu adui tunayemjua, anayelia posho za wabunge ni kubwa na huku anazipokea, anayelia lia kwamba magari ya wabunge ni ya gharama sana na huku anayapokea hayo hayo. Anayelia lia safari za Rais huku wabunge wanasafiri kila siku nje kwa visingizo vya kamati za bunge.

- AGAIN KWA WANA-CCM WOTE NI KWAMBA TUNAWAHITAJI SANA CHADEMA HII INAYOONGOZWA NA AKILI NDOGO, MAANA OTHERWISE TUTAKUTANA NA WAPINZANI WENYE AKILI KUBWA WATATUSUMBUA, TUWASAIDIE WASISMBATRATIKE!! ha! ha! ha!

- KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!


LE Mutuz Big Shoow!!

Hapa ni sawa na mgonjwa wa kansa anamuonea huruma mgonjwa wa jipu aliyeamua kulipasua ili alikamue...
 
Soma post namba 1.

Tunahofia sana mtu kama Zitto akiamuwa kuungana na Hamad Rashid wakaanzisha chama kipya. Hao watu wana mvuto, wana akili na wachapa kazi na hawako kimaslahi zaidi.

Ni bora chadema kibaki na viongozi hao hao wenye akili kiduchu wazidi kuzibana nguvu za kina Zitto na Kitila. Wakiondoka huko ni kasheshe kwa CCM

Wapi? Hamad Rashid si anachama Chake na wameshindwa kufulukuta? asikudanganye mtu umaruf ni kwa saabu yuko CDM,
 
- Ni muda mrefu sasa kumekuwa na mtafaruku mzito ndani ya Chadema ambao umekuwa ukikitafuna sana chama hicho, na pia kuna utabiri mzito sana ulitolewa na Waziri Wassira kwamba Chadema ipo katika siku zake za mwisho. Ninasema hivi kufa kwa Chadema kama dalili zinavyoonyesha sasa hivi sio the best Interest ya chama chetu CCM. Tunahitaji kuwasaidia sana waendelee kuwepo kwa sababu they have proven time and time kwamba ni paper tiger tu, wazuri kwenye makaratasi lakini hawana nguvu yoyote kisiasa.

- Kupitishwa kwa musawada wa Katiba mpya juzi bungeni ni mfano mzito sana ulio hai wa jinsi wasivyo na nguvu kabisa za kisasa za opposed na makelele yao ya kila siku na lile gazeti lao lenye makao makuu yake kwenye Club ya Disco ya Mwenyekiti wao. Ninawaomba sana CCM tunahitaji kuwa makini sana na matatizo ya chama hicho sasa hivi, tutumie nafasi hii kuwasaidia wasiambaratike maana Chadema ikisambaratika tutaanza kufukuzana na adui tusiyemjua, ni bora kushindana na huyu huyu adui tunayemjua, anayelia posho za wabunge ni kubwa na huku anazipokea, anayelia lia kwamba magari ya wabunge ni ya gharama sana na huku anayapokea hayo hayo. Anayelia lia safari za Rais huku wabunge wake wanasafiri kila siku nje kwa visingizo vya kamati za bunge.

- AGAIN KWA WANA-CCM WOTE NI KWAMBA TUNAWAHITAJI SANA CHADEMA HII INAYOONGOZWA NA AKILI NDOGO, MAANA OTHERWISE TUTAKUTANA NA WAPINZANI WENYE AKILI KUBWA WATATUSUMBUA, TUWASAIDIE WASISMBATRATIKE!! ha! ha! ha!

- KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!


LE Mutuz Big Shoow!!

Hebu soma tena ulichoandika and come back to reality
 
Soma post namba 1.

Tunahofia sana mtu kama Zitto akiamuwa kuungana na Hamad Rashid wakaanzisha chama kipya. Hao watu wana mvuto, wana akili na wachapa kazi na hawako kimaslahi zaidi.

Ni bora chadema kibaki na viongozi hao hao wenye akili kiduchu wazidi kuzibana nguvu za kina Zitto na Kitila. Wakiondoka huko ni kasheshe kwa CCM

Muungano wa watu wenye mvuto, akili na wasio kimaslahi utakuwa kasheshe kwa CCM. Sasa wewe unafanya nini CCM kama huko hamna mvuto, akili... au wewe uko kimaslahi zaidi pia?
 
- Ni muda mrefu sasa kumekuwa na mtafaruku mzito ndani ya Chadema ambao umekuwa ukikitafuna sana chama hicho, na pia kuna utabiri mzito sana ulitolewa na Waziri Wassira kwamba Chadema ipo katika siku zake za mwisho. Ninasema hivi kufa kwa Chadema kama dalili zinavyoonyesha sasa hivi sio the best Interest ya chama chetu CCM. Tunahitaji kuwasaidia sana waendelee kuwepo kwa sababu they have proven time and time kwamba ni paper tiger tu, wazuri kwenye makaratasi lakini hawana nguvu yoyote kisiasa.

- Kupitishwa kwa musawada wa Katiba mpya juzi bungeni ni mfano mzito sana ulio hai wa jinsi wasivyo na nguvu kabisa za kisasa za opposed na makelele yao ya kila siku na lile gazeti lao lenye makao makuu yake kwenye Club ya Disco ya Mwenyekiti wao. Ninawaomba sana CCM tunahitaji kuwa makini sana na matatizo ya chama hicho sasa hivi, tutumie nafasi hii kuwasaidia wasiambaratike maana Chadema ikisambaratika tutaanza kufukuzana na adui tusiyemjua, ni bora kushindana na huyu huyu adui tunayemjua, anayelia posho za wabunge ni kubwa na huku anazipokea, anayelia lia kwamba magari ya wabunge ni ya gharama sana na huku anayapokea hayo hayo. Anayelia lia safari za Rais huku wabunge wanasafiri kila siku nje kwa visingizo vya kamati za bunge.

- AGAIN KWA WANA-CCM WOTE NI KWAMBA TUNAWAHITAJI SANA CHADEMA HII INAYOONGOZWA NA AKILI NDOGO, MAANA OTHERWISE TUTAKUTANA NA WAPINZANI WENYE AKILI KUBWA WATATUSUMBUA, TUWASAIDIE WASISMBATRATIKE!! ha! ha! ha!

- KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!


LE Mutuz Big Shoow!!


Sasa Una MAANA Katibu Mkuu wa CCM Kinana alivyosema kuwa Samwel Sitta na Edward Lowassa hawafai kusikilizwa ndani ya CCM ina Maana… Kinana ana AKILI NDOGO na CCM ITAANGUKA???

HOLD your breath… Divide and rule, a sound motto of your party. Unite and lead, a better one never exists…
Since when Chama cha Mapinduzi kinachagua Ethical leader? Never...

Tangu lini CCM haichagui VIONGOZI wasio watoto wa VIONGOZI wa zamani? nchi ina Raia Milioni 40; kati ya hao Milioni 5 ni wanachama wa CCM… hawakuona sura na mwenye hekima yoyote ya kuwa katibu mwenezi wa CCM hadi kumkimbilia NAPE NNAUYE??? na wengi tuu… sasa hapo unadhani chama ni nini hapo DIVIDE and RULE or UNITE and RULE???
 
Akili zako zinakutuma bila hao hakuna CHADEMA? subirini muone kazi itakayofanyika wanafki wote wakishaondoka, mmemsikia mmoja aliyeitabiria CHADEMA itakufa lkn hamjasikia maelfu ya watabiri wanaotabiria kifo cha CCM 2015.

- Kuondoka kwa Zitto na Kitila Chadema kunawaondoa kwenye ramani ya a serious political alternative party katika hili taifa, mliruhusiwa kuwepo against kura za maoni 80% za Taifa hili since then mmeshindwa kutumia kuwepo kwenu kuwashawishi hii 80% kwamba walifanya makosa sana, badala yake kila siku ya Mungu mnajidhirishia kwamba hawakukosea.

- I mean kuna mpinzani objective na blod kama Zitto na Kitila? Leo unawezaje kumruhusu Lema kawa hakimu wa Zitto na Kitila, mnajishushia hadhi kama chama, huna hoja hata moja ya kunihakikishia mimi binafsi kwamba Kitila ni Msaliti au Zitto ni msaliti, kwenye hili mnajishusha sana kwamba hamko tayari kuwa mawazo huru huko Chadema.

Le Mutuz
 
Ung'eng'e huo...! na hii ni pamoja na kukaa ughaibuni miaka nenda rudi, kwa nini usiandike tu Kiswahili?
W. J. Malecela alishindwa kujieleza kwa kiingereza wakati wa uchaguzi wa wabunge wa EALA, akashindwa, akaenda kugombea Jumuiya ya Wazazi (wakati sio mzazi), nako akashindwa, amesema ana mpango wa kugombea UVCCM (wakati sio kijana), nako bila shaka atashindwa tu
 
W. J. Malecela alishindwa kujieleza kwa kiingereza wakati wa uchaguzi wa wabunge wa EALA, akashindwa, akaenda kugombea Jumuiya ya Wazazi (wakati sio mzazi), nako akashindwa, amesema ana mpango wa kugombea UVCCM (wakati sio kijana), nako bila shaka atashindwa tu

- Na mgombea wa Chadema yule mchangga Komu alishinda kwa sababu anajua kiingereza right? Niligombea uwakilishi wa Wazazi kwenye UVCCM nikashinda by the way wewe ulishinda wapi na hicho chama chako chenye miaka 25 kinapigwa chini kila uchaguzi, rudi kwenye topic mkuu wachana na mimi!1

- by the way later guys nawahi Makao makuu ya Wazazi kwenda kumsafisha Mwenyekiti wangu kwenye press. Conference nasikia Rai wamemchafua sana jana, later!!

Le Mutuz
 
Muungano wa watu wenye mvuto, akili na wasio kimaslahi utakuwa kasheshe kwa CCM. Sasa wewe unafanya nini CCM kama huko hamna mvuto, akili... au wewe uko kimaslahi zaidi pia?

Sisi ndio tunaunda Serikali kwa sasa. Upinzani ni lazima uwepo, na tunaomba upinzani uliopo sasa uedelee kama ulivyo, kwani DJ na Slaa ni watu wenye akili nyingi sana, na tunaomba msiwasahau akina Godbless J Lema, Ben Saanane na Yericko Nyerere mnapoziba nafasi za uongozi, maana hao ni majembe, wana akili nyingi sana na wapiganaji kweli kweli na watatupa changa moto ya hali ya juu.

Jee, unayo link ya picha chafu za Lema? kama unayo, hebu tupia hapa mimi sijaziona. Nataka kuona Mheshimiwa Godbless J Lema anavyosingiziwa kulawitiwa.
 
Wapi? Hamad Rashid si anachama Chake na wameshindwa kufulukuta? asikudanganye mtu umaruf ni kwa saabu yuko CDM,

Hamad Rashid bado ni mbunge halali wa CUF mpaka mahakama itakapoamua vingine au mpaka 2015.

Zitto ni mbunge halali wa chadema mpaka chadema itakapomfukuza chama.
 
- Na mgombea wa Chadema yule mchangga Komu alishinda kwa sababu anajua kiingereza right? Niligombea uwakilishi wa Wazazi kwenye UVCCM nikashinda by the way wewe ulishinda wapi na hicho chama chako chenye miaka 25 kinapigwa chini kila uchaguzi, rudi kwenye topic mkuu wachana na mimi!1

- by the way later guys nawahi Makao makuu ya Wazazi kwenda kumsafisha Mwenyekiti wangu kwenye press. Conference nasikia Rai wamemchafua sana jana, later!!

Le Mutuz
Tanzania, Hawa ndiyo vijana wako ambao watakulinda na kukutetea!! - Pole sana Tanzania.
 
Huyu big fat baby tangu lini akawa na uchungu na CHADEMA?
 
Back
Top Bottom