- It does not matter inaongozwa na nani bado ni paper tiger tu, until siku itakapoongozw ana wasomi kama Kitila na Zitto mnaowafukuza ndio mnaweza kuitisha CCM.
LE Mutuz
Ndugu yangu Malecela ninaona unadhalilisha hiyo joho ulilovaa vile vile unadhalilisha pia jina la Malecela- Ni muda mrefu sasa kumekuwa na mtafaruku mzito ndani ya Chadema ambao umekuwa ukikitafuna sana chama hicho, na pia kuna utabiri mzito sana ulitolewa na Waziri Wassira kwamba Chadema ipo katika siku zake za mwisho. Ninasema hivi kufa kwa Chadema kama dalili zinavyoonyesha sasa hivi sio the best Interest ya chama chetu CCM. Tunahitaji kuwasaidia sana waendelee kuwepo kwa sababu they have proven time and time kwamba ni paper tiger tu, wazuri kwenye makaratasi lakini hawana nguvu yoyote kisiasa.
- Kupitishwa kwa musawada wa Katiba mpya juzi bungeni ni mfano mzito sana ulio hai wa jinsi wasivyo na nguvu kabisa za kisasa za opposed na makelele yao ya kila siku na lile gazeti lao lenye makao makuu yake kwenye Club ya Disco ya Mwenyekiti wao. Ninawaomba sana CCM tunahitaji kuwa makini sana na matatizo ya chama hicho sasa hivi, tutumie nafasi hii kuwasaidia wasiambaratike maana Chadema ikisambaratika tutaanza kufukuzana na adui tusiyemjua, ni bora kushindana na huyu huyu adui tunayemjua, anayelia posho za wabunge ni kubwa na huku anazipokea, anayelia lia kwamba magari ya wabunge ni ya gharama sana na huku anayapokea hayo hayo. Anayelia lia safari za Rais huku wabunge wake wanasafiri kila siku nje kwa visingizo vya kamati za bunge.
- AGAIN KWA WANA-CCM WOTE NI KWAMBA TUNAWAHITAJI SANA CHADEMA HII INAYOONGOZWA NA AKILI NDOGO, MAANA OTHERWISE TUTAKUTANA NA WAPINZANI WENYE AKILI KUBWA WATATUSUMBUA, TUWASAIDIE WASISMBATRATIKE!! ha! ha! ha!
- KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!
LE Mutuz Big Shoow!!
Sisi ndio tunainda Serikali kwa sasa. Upinzani ni lazima uwepo, na tunaomba upinzani uliopo sasa uedelee kama ulivyo, kwani DJ na Slaa ni watu wenye akili nyingi sana, na tunaomba msiwasahau akina Godbless J Lema, Ben Saanane na Yericko Nyerere mnapoziba nafasi za uongozi, maana hao ni majembe, wana akili nyingi sana na wapiganaji kweli kweli na watatupa changa moto ya hali ya juu.
Jee, unayo link ya picha chafu za Lema? kama unayo, hebu tupia hapa mimi sijaziona. Nataka kuona Mheshimiwa Godbless J Lema anavyosingiziwa kulawitiwa.
William Interest zako kwenye mgogoro wa CDM tunazifahamu, angalia hapa ulichowahi kuandika:- @ LE MUTUZSTRAIGHT TALK!!:- It does not matter inaongozwa na nani bado ni paper tiger tu, until siku itakapoongozw ana wasomi kama Kitila na Zitto mnaowafukuza ndio mnaweza kuitisha CCM.
LE Mutuz
- Na mgombea wa Chadema yule mchangga Komu alishinda kwa sababu anajua kiingereza right? Niligombea uwakilishi wa Wazazi kwenye UVCCM nikashinda by the way wewe ulishinda wapi na hicho chama chako chenye miaka 25 kinapigwa chini kila uchaguzi, rudi kwenye topic mkuu wachana na mimi!1
- by the way later guys nawahi Makao makuu ya Wazazi kwenda kumsafisha Mwenyekiti wangu kwenye press. Conference nasikia Rai wamemchafua sana jana, later!!
Le Mutuz
- Ni muda mrefu sasa kumekuwa na mtafaruku mzito ndani ya Chadema ambao umekuwa ukikitafuna sana chama hicho, na pia kuna utabiri mzito sana ulitolewa na Waziri Wassira kwamba Chadema ipo katika siku zake za mwisho. Ninasema hivi kufa kwa Chadema kama dalili zinavyoonyesha sasa hivi sio the best Interest ya chama chetu CCM. Tunahitaji kuwasaidia sana waendelee kuwepo kwa sababu they have proven time and time kwamba ni paper tiger tu, wazuri kwenye makaratasi lakini hawana nguvu yoyote kisiasa.
- Kupitishwa kwa musawada wa Katiba mpya juzi bungeni ni mfano mzito sana ulio hai wa jinsi wasivyo na nguvu kabisa za kisasa za opposed na makelele yao ya kila siku na lile gazeti lao lenye makao makuu yake kwenye Club ya Disco ya Mwenyekiti wao. Ninawaomba sana CCM tunahitaji kuwa makini sana na matatizo ya chama hicho sasa hivi, tutumie nafasi hii kuwasaidia wasiambaratike maana Chadema ikisambaratika tutaanza kufukuzana na adui tusiyemjua, ni bora kushindana na huyu huyu adui tunayemjua, anayelia posho za wabunge ni kubwa na huku anazipokea, anayelia lia kwamba magari ya wabunge ni ya gharama sana na huku anayapokea hayo hayo. Anayelia lia safari za Rais huku wabunge wake wanasafiri kila siku nje kwa visingizo vya kamati za bunge.
- AGAIN KWA WANA-CCM WOTE NI KWAMBA TUNAWAHITAJI SANA CHADEMA HII INAYOONGOZWA NA AKILI NDOGO, MAANA OTHERWISE TUTAKUTANA NA WAPINZANI WENYE AKILI KUBWA WATATUSUMBUA, TUWASAIDIE WASISMBATRATIKE!! ha! ha! ha!
- KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!
LE Mutuz Big Shoow!!
CHADEMA iruhusu mawazo huru kwa maslahi ya CCM?- Kuondoka kwa Zitto na Kitila Chadema kunawaondoa kwenye ramani ya a serious political alternative party katika hili taifa, mliruhusiwa kuwepo against kura za maoni 80% za Taifa hili since then mmeshindwa kutumia kuwepo kwenu kuwashawishi hii 80% kwamba walifanya makosa sana, badala yake kila siku ya Mungu mnajidhirishia kwamba hawakukosea.
- I mean kuna mpinzani objective na blod kama Zitto na Kitila? Leo unawezaje kumruhusu Lema kawa hakimu wa Zitto na Kitila, mnajishushia hadhi kama chama, huna hoja hata moja ya kunihakikishia mimi binafsi kwamba Kitila ni Msaliti au Zitto ni msaliti, kwenye hili mnajishusha sana kwamba hamko tayari kuwa mawazo huru huko Chadema.
Le Mutuz
Mkuu Mag3, angeandika kiswahili tungejuaje kama anakashahada kasiko na maana alikokapata/kanunua huko ughaibuni?Ung'eng'e huo...! na hii ni pamoja na kukaa ughaibuni miaka nenda rudi, kwa nini usiandike tu Kiswahili?
ha! ha! Fisi na mkono! Sasa M4C with no Apology! Mkoa kwa Mkoa,Wilaya kwa Wilaya,Kijiji kwa Kijiji,Mtaa kwa Mtaa,Nyumba kwa nyumba,Kitanda kwa kitanda, mtu kwa mtu mpaka kieleweke.