Murr Mull
Senior Member
- Jan 6, 2013
- 148
- 23
yani hakuna watu wananifurahisha kama chadema... hivi kweli chadema saccoss ndo kipewe nchi ...yani ntatembea uchu ..chama hata makatibu wa wilaya hawana..... chadema mkumbuke mlishinda ubunge baadhi ya viti kwa sababu ya ccm wenyewe waligombana ndani kwa ndani;;lakini ukweli ccm ya sasa imekaa sawa kuna majimbo ya chadema 2015 yanarudi ccm najua povu litawatoka sana .... 2015 nimefanya vs ntafanya ... unawaza pata mtoto wakati hata uzazi huna chadema......................... ccm kaza buti kutekeleza sela za chama hawa waache waaendelea na porojo za fujo za m4c.... 2015 tumejenga usafiri wa bus yaendayo kasi dar, mikoa yote imeunganishwa kwa lami,kila kijiji kina zahanati na watalaamu, tumejenga daraja la kilombero muda wote wapogolo wanapita,daraja la maragarasi linapitika ,mikoa ya mtwara sasa inaumeme unaotokana na gas na kuunganisha umeme ni 99000/= tu etc ...sa sijui chadema mtaendelea na porojo serikali hajafanya kitu wakati wananchi wanaona. porojo za ufisadi zimechokwa mana ndo ilikuwa wimbo 2010 tafuteni wimbo mwingine........ kumbukeni ccm tayari wana kitu mkononi huku chadema kinawaza kuzaa wakati hakina kizazi
zipo nyakati za porojo labda kama huoni au husikii hata mtwara hawawtaki ccm na wao ni mabingwa wa kuvumilia