Mbelwa Germano
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 789
- 293
- Thread starter
- #121
ccm ishakufa tayari ebu tazama mtwara na lindi ccm wayafanyayo!!!!!!
Ccm ni taasisi, hakuna siku itakufa labda siku vyama vya siasa vikifutwa na nchi kutawaliwa kijeshi na mwana ccm. Ngo na vyama vya kufa na kuzikana kama chadema ndivyo vitakufa
hawa wamekwisha magamba wananchi wamechoka na longolongopole sana kamanda kwa mawazo mgando na ndoto za kusadikika.nasema hakuna chama kinachoweza kuishinda ccm iwe mwaka 2015 au 2025 au 2035 na kuendelea.badilisha mawazo yako ili mwaka 2015 cdm itakapopoteza majimbo yake mengi iliyonayo sasa na kuwa kama nccr usife kwa presha. Ccm jana-ccm leo -ccm kesho.
Pole sana kamanda kwa mawazo mgando na ndoto za kusadikika.Nasema hakuna chama kinachoweza kuishinda CCM iwe mwaka 2015 au 2025 au 2035 na kuendelea.Badilisha mawazo yako ili mwaka 2015 CDM itakapopoteza majimbo yake mengi iliyonayo sasa na kuwa kama NCCR usife kwa presha. CCM Jana-CCM Leo -CCM Kesho.
:bange:Kati ya Wanyiramba wanaoona mwisho wa Pua zao ni pamoja na huyu jamaa Nchemba!!!! Nduguyangu vuvuzela la ccm nchemba, nakushauri uanze kutafuta kazi nyingine ya kufanya kwa vile baada ya 2015 utakuwa kijiweni huna kazi wewe na wenzako wa ccm.Napenda kuku hakikishia kuwa, ndoto ulizoota kushinda ubunge Igunga na Arumeru na bado mkashindwa nakuhakikishia kuwa karata hiyo 2015 ccm itapoteza hivyo hivyo.Ni mara ngapi ulisikika arumeru ukitabiri ccm kushinda na bado utabiri wako ukawa feki.Weka hadharani tujue kuwa wewe ni mganga feki wa ccm unayestahili kunyang'anywa hiyo dili ya kuganga kwa kuwa kila unalolitabiri halitokei!!!! looooooooooo. Achana na hiyo fani ya kucheza na matunguri ina wahusika wake wewe huiwezi.Labda kuna CCM ITASHINDANA HUMUHUMU JF ns chadema. Lakini kwa kura uraiani kule. CCM ITASHINDA NUSU SAA TU BAADA YA VITUO KUFUNGULIWA. VITU AMBAVYO NINAUHAKIKA VITATOKEA 2015
1) CCM ITASHINDA
2) WANA JF wengine hata kura hamtapiga mtakuwa busy kutukana humu wakati wana CCM wakipiga kura
3) Wasio na kazi wataandamana
4) watakaopewa viroba watafanya vurugu na kutakuwa na watu wa kutosha tu kupambana nao walisomea kazi hiyo na wanalipwa kwa kazi hiyo.
UNAYEOTA ENDELEA KUOTA , NJOO NA MIFANO HATA YA KUZIMU. ILA CCM ITASHINDA 2015. HILI SIO LA MJADALA
Mbona hili jeneza lao limeshatengenezwa pale Manzese?
View attachment 79022
Labda kuna CCM ITASHINDANA HUMUHUMU JF ns chadema. Lakini kwa kura uraiani kule. CCM ITASHINDA NUSU SAA TU BAADA YA VITUO KUFUNGULIWA. VITU AMBAVYO NINAUHAKIKA VITATOKEA 2015
1) CCM ITASHINDA
2) WANA JF wengine hata kura hamtapiga mtakuwa busy kutukana humu wakati wana CCM wakipiga kura
3) Wasio na kazi wataandamana
4) watakaopewa viroba watafanya vurugu na kutakuwa na watu wa kutosha tu kupambana nao walisomea kazi hiyo na wanalipwa kwa kazi hiyo.
UNAYEOTA ENDELEA KUOTA , NJOO NA MIFANO HATA YA KUZIMU. ILA CCM ITASHINDA 2015. HILI SIO LA MJADALA
:bange:Kati ya Wanyiramba wanaoona mwisho wa Pua zao ni pamoja na huyu jamaa Nchemba!!!! Nduguyangu vuvuzela la ccm nchemba, nakushauri uanze kutafuta kazi nyingine ya kufanya kwa vile baada ya 2015 utakuwa kijiweni huna kazi wewe na wenzako wa ccm.Napenda kuku hakikishia kuwa, ndoto ulizoota kushinda ubunge Igunga na Arumeru na bado mkashindwa nakuhakikishia kuwa karata hiyo 2015 ccm itapoteza hivyo hivyo.Ni mara ngapi ulisikika arumeru ukitabiri ccm kushinda na bado utabiri wako ukawa feki.Weka hadharani tujue kuwa wewe ni mganga feki wa ccm unayestahili kunyang'anywa hiyo dili ya kuganga kwa kuwa kila unalolitabiri halitokei!!!! looooooooooo. Achana na hiyo fani ya kucheza na matunguri ina wahusika wake wewe huiwezi.
Pole sana kamanda kwa mawazo mgando na ndoto za kusadikika.Nasema hakuna chama kinachoweza kuishinda CCM iwe mwaka 2015 au 2025 au 2035 na kuendelea.Badilisha mawazo yako ili mwaka 2015 CDM itakapopoteza majimbo yake mengi iliyonayo sasa na kuwa kama NCCR usife kwa presha. CCM Jana-CCM Leo -CCM Kesho.