Kwa mtu yeyote aliyeimba wimbo huo, kwa kudhamiria kukilinda Chama, tena mbele ya Mwenyekiti kwa kuahidi kuzidumisha fikra zake. Ajue atapata laana iwapo ataanzisha chama chake binafsi.
CCM ni chama kilichotukomboa na tuliimba sana tutakilinda mpaka kufa.
Kama bado upo hai, na unakilaani hiki chama elewa laani hiyo itakutafuna hadi kaburini.
Ni hayo tu.
CCM ni chama kilichotukomboa na tuliimba sana tutakilinda mpaka kufa.
Kama bado upo hai, na unakilaani hiki chama elewa laani hiyo itakutafuna hadi kaburini.
Ni hayo tu.