CCM Kigoma balaaa...

CCM Kigoma balaaa...

Hiki ndo kitochi alichokisema Mwenyekiti wao JK.akiwahutubia viongozi wa dini.Unafikiri rushwa ya waziwazi itaisha wakati mkuu wa kaya amehalalisha?
 
hiki ni kijiwe cha Chadema, kwa hiyo wachadema wanawadhihaki ccm na kadi zao na kauli mbiu yao ya maisha bora kwa kila mtanzania.

Una uhakika? Mbona humu ndani wameshawatoa baru Zitto na Mbowe?

Hiyo picha nimeitoa kwenye Facebook. Au kuileta hapa basi imeshakuwa taabu? Kwa taarifa yako mie nina kadi ya CCM ingawa nilichukua kwa kulazimishwa. Tangu nizaliwe sijawahi kupiga kura. Sasa u-Chadema unaanza wapi? Usinipe Chama chochote Tanzania na siku nikiwa mwanachama basi ntajulisha umma mzima.
 
Una uhakika? Mbona humu ndani wameshawatoa baru Zitto na Mbowe?

Hiyo picha nimeitoa kwenye Facebook. Au kuileta hapa basi imeshakuwa taabu? Kwa taarifa yako mie nina kadi ya CCM ingawa nilichukua kwa kulazimishwa. Tangu nizaliwe sijawahi kupiga kura. Sasa u-Chadema unaanza wapi? Usinipe Chama chochote Tanzania na siku nikiwa mwanachama basi ntajulisha umma mzima.

Sijasema imekuwa taabu kuleta hii picha, pointi hapa ni kuwa mjini kigoma kuna mvutano mkubwa wa CCM na CHADEMA na kila mahali wanaweka vijembe vyao. Nilichosema na maana ya post yangu ni kuwa watu wa chadema huko kigoma ndio wameandika hili tangazo, kuwadhihaki wana ccm na kadi zao na kauli mbiu yao ya maisha bora kwa kila mtanzania. Sijasema na kumaanisha kwamba wewe CHADEMA au forum hii kijiwe cha CHADEMA. Ukisoma hiyo post yangu hakuna popote naposema au kussugest hicho kitu.
 
Sijasema imekuwa taabu kuleta hii picha, pointi hapa ni kuwa mjini kigoma kuna mvutano mkubwa wa CCM na CHADEMA na kila mahali wanaweka vijembe vyao. Nilichosema na maana ya post yangu ni kuwa watu wa chadema huko kigoma ndio wameandika hili tangazo, kuwadhihaki wana ccm na kadi zao na kauli mbiu yao ya maisha bora kwa kila mtanzania. Sijasema na kumaanisha kwamba wewe CHADEMA au forum hii kijiwe cha CHADEMA. Ukisoma hiyo post yangu hakuna popote naposema au kussugest hicho kitu.

Sikonge hakukuelewa alidhani unasema jf ni kijiwe cha chadema
 
Habri ndion hio. Maumivu ya kichwa huanza pole pole!!!! Huo ni mwanzo ndugu wana mjadala. Na mengi yako njiani yanakuja. Kuna taarifa zisizo rasmi (za kimbea) zinasema kuna mmoja wa wagombea wa CCM jimbo la Kibondo (KIGOMA HUKO HUKO) amekoswakoswa kuuliwa na majambazi feki waliotumwa na mpinzani wake. Mwenye taarifa rasmi (sahihi) tunaomba msaada wa taarifa hizi!!

Wapo pia majambazi halali mkuu?
 
Hivi wanaamini kweli wale wote wenye kadi ya chama fulani wanakipigia kura hicho chama!

Amandla....
 
Una uhakika? Mbona humu ndani wameshawatoa baru Zitto na Mbowe?

Hiyo picha nimeitoa kwenye Facebook. Au kuileta hapa basi imeshakuwa taabu? Kwa taarifa yako mie nina kadi ya CCM ingawa nilichukua kwa kulazimishwa. Tangu nizaliwe sijawahi kupiga kura. Sasa u-Chadema unaanza wapi? Usinipe Chama chochote Tanzania na siku nikiwa mwanachama basi ntajulisha umma mzima.

Certainly yes! UNO ni kijiwe cha CHADEMA pale Mwanga Sokoni Jimbo la Kigoma Mjini eneo la Majengo. Ni dhihaka ya CHADEMA dhidi ya CCM lakini kwa kawaida Vijiwe vya CHADEMA huandika mabango wakiwa na maana fulani, ama kutoakana na kauli za Viongozi wa Serikali au CCM Kigoma au hali halisi iliyopo huko Kigoma.
 
Halafu unaambiwa changia CCM!
Does it make any sense? Nna mashaka na wanao changia CCM?!
Kweli kwa dizaini hii unaweza kuchangia kweli!?
God have mercy!
 
tatizo kubwa kuliko looooooote kwa ndugu zangu watanzania including viongozi wa vyama vya kisiasa ni kwamba,ukiwa na kadi ya chama X alwaya utapigia kura ya ndio kwa chama chako cha X. Kama ningekuwa eneo hilo, nyumba yangu yote tungekata kadi za CCm kufaidi hiyo ofa then siku ya siku kwenye kichumba cha kupigia kura naichinjia baharini hiyo f......ken CCM!!! Kwa hiyo hao jamaa kakate kadi za CCM watafune hiyo ofa (kama kweli ipo) then siku ya kura,wanaipiga chini!! Hiyo sio ofa bali ni kodi zao zinazoibwa daily!!! waweke hivyo Moshi mjini au Dar au Karatu waone!!!!!
 
Hayo ndiyo matokeo ya kuwa na mashina wa wakereketwa mabao hawana shughli ya kufanya na hivyo kulazimika kuwa wanaandika vitu ambavyo havina maana yoyote an vinavyoweza hata kuleta uvunjifu wa amani. Labda viongozi makini watalikemea hili.
 
Back
Top Bottom