CCM: Kamati Kuu Kukaa Chini Dar

Yaani uongozi wote wa CCM is a joke! Pale wamewekana mafisadi wote alafu wanataka kutueleza nini? Hiyo kamati ya maadili wangei-dissolve tu na wasiwe nayo maana hakuna cha maana wanachofanya zaidi ya kuendeleza majungu!

MZEE, fisadis wamekamata miamba yote yenye nguvu ktk chama na serikali ! lets count that out. ccm hata iwe kwa nini au hata aje nani, yaani haiwezi kusafisishika, imekuwa kama kutu sasa ! suala ni kuangalia njia za kuing'oa. Ebu fikiria mtu kama mzee malecela, anakuja na kutamka hadharani eti kumuachia Muungwana ni suala la utamaduni ? hii mimi kama kada naita, "mazoea mabaya" aka "mazoea yana tabu". Ina maana pia ni utamaduni kwa ccm kuliongoza taifa hili kwa sababu wameshinda chaguzi kuu zote tokea mfumo wa vyama vingi kuanzishwa ? Mzee needs retirement! hadi leo hii, ccm haijaonja demokrasia, bali inaongelea demokrasia. siku pekee itapoonja demokrasia ni pale itakapotolewa madarakani na kukubali matokeo ya uchaguzi, besides that, its just the cheap talk of the run around ccm thugs!
 
hadi leo hii, ccm haijaonja demokrasia, bali inaongelea demokrasia. siku pekee itapoonja demokrasia ni pale itakapotolewa madarakani na kukubali matokeo ya uchaguzi, besides that, its just the cheap talk of the run around ccm thugs!

That is a fundamental truth of matters!Nadhani ni muhimu sana kwa wote kukubali kuwa hata some members of teh CCM are secretly hoping that somebody will just take them out kwa sababu chama imepata life of its own it's like a Frankenstein! Na mafisadi wanacontrol and they contaminate everybody and everything they are involved in!
 
MZEE, fisadis wamekamata miamba yote yenye nguvu ktk chama na serikali ! lets count that out. ccm hata iwe kwa nini au hata aje nani, yaani haiwezi kusafisishika, imekuwa kama kutu sasa ! suala ni kuangalia njia za kuing'oa. Ebu fikiria mtu kama mzee malecela, anakuja na kutamka hadharani eti kumuachia Muungwana ni suala la utamaduni ? hii mimi kama kada naita, "mazoea mabaya" aka "mazoea yana tabu". Ina maana pia ni utamaduni kwa ccm kuliongoza taifa hili kwa sababu wameshinda chaguzi kuu zote tokea mfumo wa vyama vingi kuanzishwa ? Mzee needs retirement! hadi leo hii, ccm haijaonja demokrasia, bali inaongelea demokrasia. siku pekee itapoonja demokrasia ni pale itakapotolewa madarakani na kukubali matokeo ya uchaguzi, besides that, its just the cheap talk of the run around ccm thugs!

Kada

Umebadilika sana, ulikuwa wapi siku zote jamani?

Asha
 
- The dataz nilizozipata leo kutoka ndani ya CCM, ni kwamba Kamati Kuu ya chama hicho inatazamiwa kukutana rasmi hivi karibuni, hapa jijini Dar-Es-Salaam, chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Jamhuri yetu Mh. Jakaya Kikwete. Kwa mujibu wa dataz hizo:-

1. Tarehe 17-18, April 2009 kutakuwa na kikao cha Sekretariat.

2. Tarehe 19, April 2009 itakuwa ni kikao cha Kamati ya Maadili.

3. Tarehe 20-21, April 2009 itakuwa ndio kikao rasmi cha Kamati zote, kwenye Kamati Kuu ya CCM.

- Kikao hiki kinapewa umuhimu mzito sana na wataalamu wengi wa mambo ya siasa nchini kutokana na mivutano mikubwa sana inayoendelea kwa chini chini, baina ya makundi mbali mbali yanayowania uongozi wa juu wa chama hicho, yakiwa pia na lengo la uongozi wa juu wa Jamhuri yetu, ifikapo Mwaka 2010.

Je kikao hiki kweli kitaweza kubadilisha kitu chochote, kuweka muongozo sahihi, au kusimamia masilahi ya taifa kwa manufaa ya umma? Tunakisubiri kwa hamu kubwa sana kikao, na kuanzia leo tutajaribu kuwaletea yale yote muhimu yanahusiana na kuelekea kwenye hiki kikao, huku tukiendelea kujadiliana mengineyo yanayokaribiana na hiki kikao, tukiangalia zaidi masilahi ya taifa.

Mungu Aibariki Tanzania.

Wazee wa sauti ya umeme Field Marshall Es!

Mkuu FM,

Je hakuna nyepesi nyepesi yatokanayo na vikao hv??
 
Mazee vipi wakuu? Samahani sana unajua masafari na nini, lakini tupo pamoja na sikuweza kuifuatilia kwa karibu toka majuzi ambao vikao vimekwua vikiendelea kama ilivyopangwa, lakini pia nina ndogo ndogo kutoka kwenye vikao vilivyokwisha fanyika tayari ni kwamba:-

1. Wajumbe wengi hawakupata nafasi ya kuhudhuria, yaani hata Mwenyekiti hakuweza kuwepo, na aliporudi tu safari yake alikwenda moja wka moja kwenye sherehe za Malecela, sasa in the absence ya wakulu wengi ambao walikuwa huko kwenye sherehe habari za ndani huko ni Makamba, akawa ndiye muongozi wa muongozo wa vikao.

2. Pamoja na mengi aliyoya-present kama agenda, the dataz ni kwamba ameweka hoja ya msingi ya kutaka Mengi aadhibiwe na kuthibitiwa na chama, na akadai ndani ya CCM kuna wafuasi wa Mengi, ambao ni viongozi ndio chanzo cha kumruhusu Mengi kuingilia CCM alidai katika kikao kimoja, kwa hiyo anataka chama kipitishe azimio la kumthibiti Mengi na wafuasi wake ndani ya CCM, infact ametaka hawa wafuasi wajiuzulu mara moja au walazimishwe kutoka.

3. Leo ilikuwa maadili mpaka saa tisa mchana, na jioni pamoja na kesho itakuwa ni full CC, ambako vigogo wote watakuwepo akiwemo Mukulu, na jana kwenye sherehe ya Malecela, Mukulu had a lot to say kuhusu uchaguzi ujao na mafisadi.

Sasa kama kawa, tunazifuatilia na tukizipata tu tutazimwaga hapa hakuna kulala, ingawa bado niko kwenye misafara nikipata nafasi kama hii na more dataz nitazimwaga tu and let the chips fall where they may!

Respect na mwendo ni ule ule wa mdundo!

Wazee wa sauti ya umeme FMES!
 
Mazee vipi wakuu? Samahani sana unajua masafari na nini, lakini tupo pamoja na sikuweza kuifuatilia kwa karibu toka majuzi ambao vikao vimekwua vikiendelea kama ilivyopangwa, lakini pia nina ndogo ndogo kutoka kwenye vikao vilivyokwisha fanyika tayari ni kwamba:-

1. Wajumbe wengi hawakupata nafasi ya kuhudhuria, yaani hata Mwenyekiti hakuweza kuwepo, na aliporudi tu safari yake alikwenda moja wka moja kwenye sherehe za Malecela, sasa in the absence ya wakulu wengi ambao walikuwa huko kwenye sherehe habari za ndani huko ni Makamba, akawa ndiye muongozi wa muongozo wa vikao.

2. Pamoja na mengi aliyoya-present kama agenda, the dataz ni kwamba ameweka hoja ya msingi ya kutaka Mengi aadhibiwe na kuthibitiwa na chama, na akadai ndani ya CCM kuna wafuasi wa Mengi, ambao ni viongozi ndio chanzo cha kumruhusu Mengi kuingilia CCM alidai katika kikao kimoja, kwa hiyo anataka chama kipitishe azimio la kumthibiti Mengi na wafuasi wake ndani ya CCM, infact ametaka hawa wafuasi wajiuzulu mara moja au walazimishwe kutoka.

3. Leo ilikuwa maadili mpaka saa tisa mchana, na jioni pamoja na kesho itakuwa ni full CC, ambako vigogo wote watakuwepo akiwemo Mukulu, na jana kwenye sherehe ya Malecela, Mukulu had a lot to say kuhusu uchaguzi ujao na mafisadi.

Sasa kama kawa, tunazifuatilia na tukizipata tu tutazimwaga hapa hakuna kulala, ingawa bado niko kwenye misafara nikipata nafasi kama hii na more dataz nitazimwaga tu and let the chips fall where they may!

Respect na mwendo ni ule ule wa mdundo!

Wazee wa sauti ya umeme FMES!

i betcha the last fork i got in the kitchen ES, theres nothing new ! NADA, not even one that will pop out of this so called meetings! Hivi vikao sasa nadhani vimekuwa kama propaganda kuashiria kwamba chama kiko hai na effective (wakati wadanganyika tunafahamu hakuna lolote jipya linalotoka wala linaloingia)!!

Vikao vya NEC sasa vimekuwa nothing but propaganda! Nani anabisha ?
 

...vikao vimekwua vikiendelea kama ilivyopangwa,
kutoka kwenye vikao vilivyokwisha fanyika tayari ni kwamba:-

...Mwenyekiti hakuweza kuwepo, na aliporudi tu safari yake alikwenda moja wka moja kwenye sherehe za Malecela,

...ameweka hoja ya msingi ya kutaka Mengi aadhibiwe na kuthibitiwa na chama, ... ndani ya CCM kuna wafuasi wa Mengi, ... ndio chanzo cha kumruhusu Mengi kuingilia CCM alidai katika kikao kimoja, .. chama kipitishe azimio la kumthibiti Mengi na wafuasi wake ndani ya CCM, ... ametaka hawa wafuasi wajiuzulu mara moja au walazimishwe kutoka.

...na jana kwenye sherehe ya Malecela, Mukulu had a lot to say kuhusu uchaguzi ujao na mafisadi.

Kwa hiyo, mpaka hivi sasa, kikao kilichofanyika ni cha Sekretarieti ambacho "Mkulu" ali miss. Okay.

Kwanza, "Mkulu" sio mjumbe, hatakiwi kuhudhuria kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu, CCM Taifa. Panga hadithi zako zipangike kabla ya kuzileta hapa. Usidhani kila mtu humu ni credulous ki hivyo, Field Marshall.

Pili, hata kama "Mkulu" angekuwa ni mjumbe wa hicho kikao, Kikwete hawezi kukosa kikao cha CCM, pamoja na Makamu Mwenyekiti, na wakulu wengine wa CCM, eti wameenda kwenye birthday ya Malecela, acha kutupelekesha, Field Marshall, acha miyeyu. Wewe una possess a sense of knowledge and history ya viongozi wa Tanzania as good as anybody katika generation yetu, sasa kwa nini unadhani unahitaji kutia tia hizi chumvi chumvi zilizo kwisha expire hizi za utotoni hizi?

Tatu, "Mkulu" hakuleta, asingeweza kuleta, siasa za ufisadi kwenye birthday ya Malecela wakati Malecela mwenyewe ameshasema ya ufisadi na yatokanayo, yapelekwe kwenye ma sekretarieti huko. Hii ilikuwa ni fursa ya kuwakutanisha sworn enermies wa CCM kujumuika kucheka (japo kinafiki, na Capo Mkapa, jirani kaikwepa) kabla ya uchaguzi. Haikuwa food evening kuwateta mafisadi, ina kazi yake hii Birthday made in Sicily View.
i363_CCMDiversion.JPG
 
- Wakulu waliokosa kwenye sherehe ya Malecela ni watatu tu na wote walikuwa bize kwenye vikao vya CCM, nao ni Makamba, Mkapa na Karume, wengine wote walikuwa kwenye sherehe hivyo kukosa vikao muhimu vya jana kuanzia maadili, ambako Rais ni Mwenyekiti, mpaka viako vya Sekretariat, again kukosekana kwa wakulu wengi kwenye vikao hivyo kulimuacha Makamba kuwa the star wa vikao

- Maadili walifanya vikao kuanzia jana, leo mchana na jioni ni kamati yote kuu in full, bado hatujapata dataz za leo, ambapo hiki kikao kitaendelea hadi kesho.

- Mkuu Dilunga, naona labda unaongelea vikao vikao vya rubisi somewhere, sio ninavyo vizungumzia, hili tatizo lako la kunilazimisha niwe muongo umelianza siku nyingi sana na hujawahi kufanikiwa hata siku moja naona bado unajaribu jaribu laikini unapoteza muda wako bure na kutaka kuwaharibia wananchi wa Tanzania wanaotaka kupata habari nyeti za taifa lao, najua wewe hizi habari hzikuhusu wala kukugusa maana wewe sio raia wa Tanzania tena kama sisi, sasa mkuu naomba usiuharibu huu mjadala usikuhusu tuachie unaotuhusu, na nitaendelea kuwamga dataz as soon as nikizipata, na kwa raia wenzangu tunaendelea kama kawaida hatuwezi kusumbuliwa na huyu mgeni!

Thanxs!

Es ni wazee wa sauti ya umeme!
 
Kwa hiyo, mpaka hivi sasa, kikao kilichofanyika ni cha Sekretarieti ambacho "Mkulu" ali miss. Okay. Kwanza, "Mkulu" sio mjumbe, hatakiwi kuhudhuria kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu, CCM Taifa. Panga hadithi zako zipangike kabla ya kuzileta hapa. Usidhani kila mtu humu ni credulous ki hivyo, Field Marshall.
i363_CCMDiversion.JPG

- Ona unavyochekesha, kwanza hiyo picha sio wakulu wote walihudhuria sherehe, pili vilivyofanyika so far sio vikao vya Sekretariat tu, na hakuna niliposema hivyo, tatu sina mpango wa kukupa hotuba aliyoitaoa Muungwana kwenye sherehe kama unavyotaka na mbinu zako za kitoto, labda wewe ndio ujifunze kupanga uongo wako wa kitoto, hizi critics zako ni hewa tupu wala hazina faida kwa taifa, kulinganisha na habari ninazozileta ambazo wewe huna, sasa tulia ule dataz kama huwezi nenda apembeni waachie wanaozihitaji, acha ubinafsi wako wa kitoto unachotaka hapa ni kuharibu siwezi kukupa hiyo nafasi bro, nitamwaga dataz hapa kama kawa!

Wazee wa sauti ya umeme FMES!
 
i betcha the last fork i got in the kitchen ES, theres nothing new ! NADA, not even one that will pop out of this so called meetings! Hivi vikao sasa nadhani vimekuwa kama propaganda kuashiria kwamba chama kiko hai na effective (wakati wadanganyika tunafahamu hakuna lolote jipya linalotoka wala linaloingia)!!

Vikao vya NEC sasa vimekuwa nothing but propaganda! Nani anabisha ?

- Ni kweli mkuu maneno yako, lakini bado CCM ndio watawala vikao vyao vyote bado ni muhimu kwa taifa, no matter how small they are lakini bado vikao vyao ni muhumu sana kwa taifa, ingawa point yako ni valid.

- Ingawa habari ya Makamba kuanza kumuandama Mengi, imepokewa tofauti sana na wengine kwa sababu inaeleweka kwamba anawakilisha kundi gani ndani ya CCM, sasa anapolia na Mengi sasa wakati wa mbio za uchaguzi zikiwa zimeshika moto inaashiria mengi sana ambayo hayasemwi wazi.

FMES
 
- Wakulu waliokosa kwenye sherehe ya Malecela ni watatu tu na wote walikuwa bize kwenye vikao vya CCM, nao ni Makamba, Mkapa na Karume, wengine wote walikuwa kwenye sherehe hivyo kukosa vikao muhimu vya jana kuanzia maadili, ambako Rais ni Mwenyekiti, mpaka viako vya Sekretariat, again kukosekana kwa wakulu wengi kwenye vikao hivyo kulimuacha Makamba kuwa the star wa vikao

- Maadili walifanya vikao kuanzia jana, leo mchana na jioni ni kamati yote kuu in full, bado hatujapata dataz za leo, ambapo hiki kikao kitaendelea hadi kesho.

- Mkuu Dilunga, naona labda unaongelea vikao vikao vya rubisi somewhere, sio ninavyo vizungumzia, hili tatizo lako la kunilazimisha niwe muongo umelianza siku nyingi sana na hujawahi kufanikiwa hata siku moja naona bado unajaribu jaribu laikini unapoteza muda wako bure na kutaka kuwaharibia wananchi wa Tanzania wanaotaka kupata habari nyeti za taifa lao, najua wewe hizi habari hzikuhusu wala kukugusa maana wewe sio raia wa Tanzania tena kama sisi, sasa mkuu naomba usiuharibu huu mjadala usikuhusu tuachie unaotuhusu, na nitaendelea kuwamga dataz as soon as nikizipata, na kwa raia wenzangu tunaendelea kama kawaida hatuwezi kusumbuliwa na huyu mgeni!

Thanxs!

Es ni wazee wa sauti ya umeme!

Nimesoma gazeti la uhuru na kuona jk akifungua kikao cha nec IKULU, sasa naomba nikuulize, iwapo jk alihudhuria na kufungua hicho kikao, je vikao vingine ambavyo jk HAKUHUDHURIA vilifanyika ikulu pia ama ?
 
- Ni kweli mkuu maneno yako, lakini bado CCM ndio watawala vikao vyao vyote bado ni muhimu kwa taifa, no matter how small they are lakini bado vikao vyao ni muhumu sana kwa taifa, ingawa point yako ni valid.

- Ingawa habari ya Makamba kuanza kumuandama Mengi, imepokewa tofauti sana na wengine kwa sababu inaeleweka kwamba anawakilisha kundi gani ndani ya CCM, sasa anapolia na Mengi sasa wakati wa mbio za uchaguzi zikiwa zimeshika moto inaashiria mengi sana ambayo hayasemwi wazi.
FMES

yaani kikao muhimu ktk taifa letu linaenda kumjadili mengi ? mengi huyo ni nani ktk taifa hili la watu mil 40 ? bara wanamwongelea MENGI, visiwani wanamwongelea RAZA, sasa nani anamjadili MDANGANYIKA wa kawaida kama mimi ?! hahaaaa, hii nec ya ccm bana!
 
Nimesoma gazeti la uhuru na kuona jk akifungua kikao cha nec IKULU, sasa naomba nikuulize, iwapo jk alihudhuria na kufungua hicho kikao, je vikao vingine ambavyo jk HAKUHUDHURIA vilifanyika ikulu pia ama ?

- Samahani mkuu vikao vinavyofanyika sasa sio vya NEC, ila ni vya kamati kuu ya CCM.

- Vikao hufanyika Ikulu, pale tu rais anapokuwepo, kama hayupo haviwezi kufanyika Ikulu, huwa vinafanyika Lumumba au Karimjee, kama sio Diamond, au Dodoma.

- Huwa pia vinafanyika Ikulu ya Chamwino, lakini only rais akiwepo tu na huwa ni Kamati kuu tu, sio NEC hivi havijawahi kufanyika Ikulu hata siku moja!

Respect.

FMES!
 
ni kwamba:kutakuwa na kikao cha Sekretariat.

kikao cha Kamati ya Maadili.

kikao rasmi cha Kamati zote, Kamati Kuu ya CCM.



Maadili walifanya vikao kuanzia jana


.. lakini pia nina ndogo ndogo kutoka kwenye vikao vilivyokwisha fanyika tayari ni kwamba:-

Mwenyekiti hakuweza kuwepo, na aliporudi tu safari yake alikwenda moja wka moja kwenye sherehe za Malecela

Ningependa kuwataarifu...Sherehe hizi tutazifanya rasmi siku ya Jumamosi tarehe 18, April, nyumbani Sea View
Kama unasema maadili walifanya kikao jana, na jana ni Jumapili Tanzania, na sherehe tunajua ilikuwa Jumamosi yake, ina maana "Mkulu" angeweza kuhudhuria kikao cha maadili cha Jumapili bila kuwa na kisingizio cha udhuru wa kuhudhuria birthday ya Malecela.

Again, pangilia vizuri miyeyu yako ipangike, una experience ya utunzi lakini hau gain creative skills over time, sijui kwa nini. Unapooandika hadithi ifanyie review ya haraka ku fill gaps and holes ambazo zinaweza kuwa picked out. Nakwambia kuna watu wa kila aina humu lakini si wote ni gullible gullible kama unavyowachukulia. Umebugi, umefanya bonge la faux pas, kudai kwamba Kikwete na Makamu Mwenyekiti wa CCM na wakulu wengine wa nchi wakose vikao muhimu vya CCM Taifa, eti wameenda kwenye birthday ya Malecela.
i363_CCMDiversion.JPG
 
yaani kikao muhimu ktk taifa letu linaenda kumjadili mengi ? mengi huyo ni nani ktk taifa hili la watu mil 40 ? bara wanamwongelea MENGI, visiwani wanamwongelea RAZA, sasa nani anamjadili MDANGANYIKA wa kawaida kama mimi ?! hahaaaa, hii nec ya ccm bana!

- Again kikao ni cha Kamati Kuu, sio NEC,

- Kama unakumbuka vizuri waliwahi pia kumzunguzima Mengi, kwenye kikao muhimu sana vya taifa mpaka waziri mmoja kijana msomi akarekodiwa, kwa hiyo hii sio mara ya kwanza.

- Again nafikiri unakumbuka kesi ya Waziri Malima Vs Mengi, kwa hiyo Mengi ni mtu muhimu sana kwenye siasa za taifa letu, na kila ishu na wakati wake kwa sababu sio kwamba toka vikao vianze wamekuwa wakimuongelea yeye tu, hapana mimi nimeileta kwa sababu kati ya yote yaliyosemwa kwenye vikao hili la kumhusu Mengi ndilo peke yake linaloleta hamasa kisiasa.

- Anyways, habari ndo hiyo so far!

FMES!
 
1.
Dilunga;Kama unasema maadili walifanya kikao jana, na jana ni Jumapili Tanzania, na sherehe tunajua ilikuwa Jumamosi yake, ina maana "Mkulu" angeweza kuhudhuria kikao cha maadili cha Jumapili bila kuwa na kisingizio cha udhuru wa kuhudhuria birthday ya Malecela.

- Sherehe za Malecela, zimefanyika Jumamosi na Jumapili, Jumamosi kwenye makazi ya watoto wa yatima, na jana Jumapili nyumbani kwa Mzee, Rais alikuwa hayupo nchini, aliporudi tu alikwenda Ikulu na kuunganisha moja kwa moja nyumbani kwa Mzee, akafika saa mbili na nusu usiku, sasa angekwenda saa ngapi kwenye vikao mkuu mbona unalazimisha hoja hewani?


2.
Again, pangilia vizuri miyeyu yako ipangike, una experience ya utunzi lakini hau gain creative skills over time, sijui kwa nini. Unapooandika hadithi ifanyie review ya haraka ku fill gaps and holes ambazo zinaweza kuwa picked out. Nakwambia kuna watu wa kila aina humu lakini si wote ni gullible gullible kama unavyowachukulia. Umebugi, umefanya bonge la faux pas, kudai kwamba Kikwete na Makamu Mwenyekiti wa CCM na wakulu wengine wa nchi wakose vikao muhimu vya CCM Taifa, eti wameenda kwenye birthday ya Malecela.

- Mkulu Dilunga, jaribu kutafuta professional help kwa sababu there is no way ukawa normal kama sisi wengine wote, Jumamosi viongozi wote wakuu walikuwa kwenye watoto wa yatima na mzee Malecela, na jana tena wote wakahamia nyumbani kwake kumalizia sherehe na Mkuu wa kaya pia, waliokosa sherehe toka Jumamosi ni Makamba, Karume, na Mkapa, sasa hapa usichoelewa ni kipi?

- Hoja yangu ya msingi katika dataz ni kuhusu Mengi, ukiweza kuipangua hiyo kwamba ni uongo then maneno yako yote the 60s, kama kubugi, na gullibe gullibe ambayo yanaku-describe mwenyewe tena in a very serious way kuliko unavyofikiri, uanajribu kujifanya unajua kumbe hujui kitu mkuu, ya dataz niachie ninayo access ambayo wewe huna ya kupata dataz kama za hivi vikao, ili uzipangue kuwa ni za uongo, inabidi uwe na za ukweli ambazo huna na hujawahi kuwanazo, hii ni fact sio opinion. Hizi bullying tactics zako ili nikupigie magoti kama wengine humu ndani unapoteza muda wako bure!

Wazee wa sauti ya umeme FMES!
 
FMES,
I have a question about Mengi. Ni kipi alichokifanya kuikosesha CCM usingizi? Nauliza hivi kwa sababu recently nilipokuwa Dar nimekaribishwa nyumbani kwa rafiki yangu mwana CCM damu damu. Nilishangaa pale mazungumzo yalipomgeukia Mengi na huyu jamaa wa CCM akikazana "tutammaliza, tutammaliza." Niliogopa kuuliza wakati huo kwa sababu ya ugeni wangu. What has Mengi done to deserve such kind of attention?
 
FMES,
I have a question about Mengi. Ni kipi alichokifanya kuikosesha CCM usingizi? Nauliza hivi kwa sababu recently nilipokuwa Dar nimekaribishwa nyumbani kwa rafiki yangu mwana CCM damu damu. Nilishangaa pale mazungumzo yalipomgeukia Mengi na huyu jamaa wa CCM akikazana "tutammaliza, tutammaliza." Niliogopa kuuliza wakati huo kwa sababu ya ugeni wangu. What has Mengi done to deserve such kind of attention?

Mkuu Jasusi,

- Mengi sio tatizo la CCM nzima kama chama, isipokuwa ni tatizo wa kundi la Makamba la mafisadi, kutokana na magazeti yake kusaidia vita vya ufisadi na hata kusaidia sana viongozi wapiganaji, na the biggest ishu yao na Mengi ni ukaribu wake na Muungwana, ndilo linalowaudhi kuliko yote na ndipo wanapokwama kumgusa.

- Kwenye ile kesi yake na Malima, mafisadi walidhani wamempata lakini akawaponyoka dakika za mwisho sana na since then hawajawahi kumsogelea kwa karibu, halafu kuna ben ambaye ana hasira naye sana kuliko wote.

FMES!

 
Mkuu Jasusi,

- Mengi sio tatizo la CCM nzima kama chama, isipokuwa ni tatizo wa kundi la Makamba la mafisadi, kutokana na magazeti yake kusaidia vita vya ufisadi na hata kusaidia sana viongozi wapiganaji, na the biggest ishu yao na Mengi ni ukaribu wake na Muungwana, ndilo linalowaudhi kuliko yote na ndipo wanapokwama kumgusa.

- Kwenye ile kesi yake na Malima, mafisadi walidhani wamempata lakini akawaponyoka dakika za mwisho sana na since then hawajawahi kumsogelea kwa karibu, halafu kuna ben ambaye ana hasira naye sana kuliko wote.

FMES!

FMES,
Thanks for ufafanuzi. Ya Ben nayafahamu sana!
 
Back
Top Bottom