Ni sahihi kabisa. Pamoja na mapungufu ya Kikwete huwezi fananisha na Utopolo wa Magufulindio ,ukitaka ushinde wiwanja vya ikulu ya marekani mudawote ,ruhusu democrasia Uhuru wakujieleza individuals Uhuru wa vyombo vya habari ,basi they will col a good boy ,muulize mzee kikwete atakwambia hapoo ilikuaje yeye akawa ana switch tumaswala kirahisi kabisa
Note,hatutakiwi kubweteka piga kazi tulipe Kodi dunia Kijiji bwana China alikua mgumu alivogundua ili upambane na amerika nilazima baadhi ya Mambo tuswitch off ,nakwasasa kitakachomchelewesha democrasia asimpiku amerika ni democrasia ,Uhuru wawatu mtu mmojammoja
Ndomana akibanwa kidogo tu lazime alegeze
Nimemsilikilza Warioba leo yule mzee ndio maana Mungu atamuweka sana. He is very Sincere.warioba anapata kidogo mvinyo pia sigarrete ,ndomana unakuta akili muda wote zinachaji properly ,napia anakumbuka kunakifo baada yakuwatesa wengine
Mkewake mama yetu Bibi yetu mungu amrehemu kwakumtunza vizuri mzee wetu warioba
ndio wajanja wajanja ,wanaupiga mwingi tulizo la sisi tunaoumia akiongea kidogo unapata auheniNimemsilikilza Warioba leo yule mzee ndio maana Mungu atamuweka sana. He is very Sincere.
Tatzo sisi hua hatuelewi dunia zima hii ,hakuna wakukohoa mbele ya amerika nilazima utengeneze connection ,uliona markel alivoenda kupiga magoti US alivokua anamsapot Putin miezi miwili iliyopita kisa bomba lamafuta ,Sasa hivi Russia kimya mama mpaka chama chake kimedondoka uchaguzi ,hapa inaangaliwa alliance /friends ,ukijobolewa na Amerika Basi Tena ,China rafiki zake woooooote maskini Hana uwezo hata wakuwasaidia ,mfano Burundi kweli itamsaidia nn China kwenye mipango yakidunia?Ni sahihi kabisa. Pamoja na mapungufu ya Kikwete huwezi fananisha na Utopolo wa Magufuli
Lakini ukichunguza kwa undani unaweza kuona China, Russia, US na Uk wao jambo lao ni moja. Ni kama marafiki hivi wanaojifichaTatzo sisi hua hatuelewi dunia zima hii ,hakuna wakukohoa mbele ya amerika nilazima utengeneze connection ,uliona markel alivoenda kupiga magoti US alivokua anamsapot Putin miezi miwili iliyopita kisa bomba lamafuta ,Sasa hivi Russia kimya mama mpaka chama chake kimedondoka uchaguzi ,hapa inaangaliwa alliance /friends ,ukijobolewa na Amerika Basi Tena ,China rafiki zake woooooote maskini Hana uwezo hata wakuwasaidia ,mfano Burundi kweli itamsaidia nn China kwenye mipango yakidunia?
Kuna jirani mwenye siasa za kikabila na kishenzi kama Kenya?!!!!!!Nimeambiwa Rais Uhuru yupo DC na ataongea na Biden kama Rais wa kwanza Africa kufika while House kwa official visit na zaidi wataongelea mambo ya demokrasia Africa.
Nimejuliza sisi tunakwama wapi? Mbona wa kwetu alikuwa huko huko juzi tu, nini mbaya
Haya naambiwa pia Uhuru atamkampenia mpinzani wake wa jadi kwenye uchaguzi mkuu.. Raira Ondinga ..kweli yàani Raila kumkampenia Ondinga ?
Sasa kama huamini Kenya ndiyo nchi inayokwenda kwenye ustaarabu wa kidunia huku sisi tukipeana kesi za UGAIDI.
Hivi sisi tunakwama wapi ??
View attachment 1973361
View attachment 1973362
Hapana hatasiku moja ,Russia ilishakubali mapigo ashukuriwe Putin aliiokoa kutoka mikono mwa amerika nowdays tungekua tunazungumza China iliyochoka ,Cuba Basi kwa watu wenye mlengo wa kijamaaLakini ukichunguza kwa undani unaweza kuona China, Russia, US na Uk wao jambo lao ni moja. Ni kama marafiki hivi wanaojificha
Kujua Kenya ina demokrasia au hapana, inatakiwa angalao uwe na akili ya kujua maana ya demokrasia, na pia uwe binadamu aliyekamilika, yaani aliye mkweli wa nafsi yake kuliko wewe uliyeamua kuwa chawa wa CCM.Kenya hakuna demokrasia kuna ubabe mtupu!
Swali/hoja ya kijinga.Akiongea nae ndio wanachi masikini wa Kenya umasikini wao utaisha?
Hata mie siyo kijana.Mbaya zaidi CCM metufanya wote ni mandondocha..wazee sawa ila vijana tumegoma.. katiba mpya
Wazee wachache wenye mawazo ya vijana ttutakwenda nao hadi mwisho kama Mzee WWarioba .kwanza Mungu ampe maisha marefu namuombea
Tukio la mpinzani kujiapisha likitokea Tanzania ,hakika michirizi ya damu itatiririka hadi baharini ,wanyama hawa.Uhuru is human.Nafsi inakusuta mkuu..huwa nakuamini sana sana ila kwenye hili umenikosea.
Wakati Raila anajiapisha pale Uhuru Pack kama Rais wa wananchi hivi Rais Uhuru angetaka kupeleka Police na wanajeshi pale kufanya mauaji ya karne angeshidwa?
Biden si mjinga kumchagua Rais Uhuru.
Tujisahihishe . CCM inaipeleka nchi yetu ambako siko kabisa.
Aisee waambie wakuongeze per diem sio kwa kuupiga mwingi yaani hadi unatumia technical bench na benchmark kwa verification. Nitalifanyia kazi
Huna akiliSwali/hoja ya kijinga.
Acha noama iwe noma MuraKwenye Political science kuna kitu kinaitwa peace and reconciliation ..hivi CCM wote hao hawajui hii kitu..kwamba nchi kwanza mengine ni useless.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Biden yuko chama cha mkenya Obama!
🤣🤣🤣Aisee waambie wakuongeze per diem sio kwa kuupiga mwingi yaani hadi unatumia technical bench na benchmark kwa verification. Nitalifanyia kazi
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Ila bado hawajawafikia CCM kwa Unafiki ...... CCM ni chuo cha unafiki!!Kenya ni wanafiki tu wa kujumia tumbo.