- Thread starter
- #21
Yeah....ila key point hapa ni kwamba wana cross kitu kinaitwa Mjaluo hawezi kutawala Kenya.. cause bye the time wakikuyu wakipambana na vuta vya MAUMAU wajaluo walikuwa ofisini wamefunga tai na wazungu...kama.chawa..Rais Mh.Uhuru Kenyatta= Mtoto wa Mzee Jomo Kenyatta(Rais wa kwanza wa Kenya huru)......Waziri Mkuu Mstaafu mh.Agwambo Baba Raila Amolo Odinga= Mtoto wa waziri mkuu wa kwanza hayati Jaramogi Oginga Odinga 🤣🤣🤣🤣
Nimesoma Kenya mimi miaka hiyo ..Mkikuyu na Mjaluo its not the way you think.