Ni sahihi kabisa. Pamoja na mapungufu ya Kikwete huwezi fananisha na Utopolo wa Magufulindio ,ukitaka ushinde wiwanja vya ikulu ya marekani mudawote ,ruhusu democrasia Uhuru wakujieleza individuals Uhuru wa vyombo vya habari ,basi they will col a good boy ,muulize mzee kikwete atakwambia hapoo ilikuaje yeye akawa ana switch tumaswala kirahisi kabisa
Note,hatutakiwi kubweteka piga kazi tulipe Kodi dunia Kijiji bwana China alikua mgumu alivogundua ili upambane na amerika nilazima baadhi ya Mambo tuswitch off ,nakwasasa kitakachomchelewesha democrasia asimpiku amerika ni democrasia ,Uhuru wawatu mtu mmojammoja
Ndomana akibanwa kidogo tu lazime alegeze