CCM itaweza kumvua uanachama Gekul?

SUTAGI-

JF-Expert Member
Nov 9, 2018
269
511
Kwanza awali nilidhani Naibu Waziri alikuwa akisingiziwa lakini baada ya kuona utenguzi huu nikaamini kweli amefanya huo ukatiri.

Sina shaka kwa sasa kuwa ni kweli Kiongozi huyo alihusika kwa sababu Rais anafanyia kazi "evidence based informations" hasahasa kwa viongozi wa upande wake wa serikali na chama.

Kwa kuwa imedhihirika hivyo na ikaonekana hafai kuendelea kukalia kiti cha naibu waziri, Je.. anafaa kuendelea kuwa Mbunge? Anafaa kuendelea kuwa mwanachama wa chama chake?

Majibu yangu kwa maswali hayo ni kuwa hafai kabisa kabisa.. kwa sababu tuhuma hizi ni nzito, na ili vyombo vyetu vya maamuzi visije kupigiwa simu moja vikabadili maamuzi sahihi ni bora Pauline afikishwe mahakamani akiwa raia wa kawaida.

Nawasilisha.

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Kumnyang'anya kadi mtu aliebakiza miaka miwili tu ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Akivuliwa uanachama means atavuliwa na ubunge, na akivuliwa ubunge unatakiwa uchaguzi mdogo uitishwe na uchaguzi una bajeti kubwa na mchakato mrefu hivyo aachwe amalizie kipindi kilichobaki na mwaka 2025 wajumbe wamle kichwa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 

1700934746112.png

IMANI YA CCM


  • Binadamu wote ni Sawa
  • Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake
  • Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru

AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI


(1) Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja


(2) Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote


(3) Nitajitolea nafsi yangu kuondosha umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma.


(4) Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa.


(5) Cheo ni dhamana, sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.


(6) Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote.


(7) Nitashirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu.


(8) Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko.


(9) Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na raia mwema wa Tanzania na Afrika.

Source : kijitabu ktk meza ya kiongozi : Ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM mtaa wa Lumumba, Tanganyika na Afisi Ya CCM Kisiwandui, Unguja .
 
Haya ni madhaifu makubwa kwa viongozi wengi wa Afrika. Wanaoneana aibu na kubebana hata kwa mambo yasiyofaa

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Shinikizo halikuwa kubwa kiasi hicho bana, huyu kavuliwa baada ya tuhuma kuthibitika,

Sema ni aibu mwanamama kufanya unyama kama ule
 
Kumnyang'anya kadi mtu aliebakiza miaka miwili tu ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Akivuliwa uanachama means atavuliwa na ubunge, na akivuliwa ubunge unatakiwa uchaguzi mdogo uitishwe na uchaguzi una bajeti kubwa na mchakato mrefu hivyo aachwe amalizie kipindi kilichobaki na mwaka 2025 wajumbe wamle kichwa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwamba mtu yeyote aliyepo kwenye nafasi hiyo miaka michache kabla ya muda wake hata akifanya kosa kubwa kiasi gani asifukuzwe kwa sababu ya kuhofia gharama ya uchaguzi?

Uwajibikaji pia ni gharama

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Haya ni madhaifu makubwa kwa viongozi wengi wa Afrika. Wanaoneana aibu na kubebana hata kwa mambo yasiyofaa

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Pia kuvuliwa ubunge ni mchakato, anatakiwa akaliwe kikao asomewe tuhuma na apewe muda wa kudikolizwa.
Ikigundulika alihusika...ili apoteze aifabya kuwa mbunge, lazima afukuzwe chama.

Akifukuzwa chama ndipo tume itatangaza kuwa amepoteza aifa ya kuwa mbunge na watatangaza kuwa jimbo liko wazi hatimaye kupanga tarehe ya uchaguzi
 
Hapo ametenguliwa kwa shinikizo la wananchi, kuvuliwa ubunge sio rahisi, ccm ni ileile
Sio hata shinikizo! Huyu maza ni mweupe sana hana hata wanaomlinda na huyu atavuliwa hadi uanachama asipokua makini! Wakati wa uchaguzi 2015 nlikuwa babati mjini kama sio wananchi kumpambania asingepita....Jimbo lake ni dogo sana yaan kata 8 tu lkn Lina watu smart sana na walimchagua kwa sababu alikua CHADEMA sera safi lkn baada ya kuwasaliti wananchi na kwenda CCM & na huu alioufanya bas safari yake ya kisiasa omeishia pale
 
Kumnyang'anya kadi mtu aliebakiza miaka miwili tu ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Akivuliwa uanachama means atavuliwa na ubunge, na akivuliwa ubunge unatakiwa uchaguzi mdogo uitishwe na uchaguzi una bajeti kubwa na mchakato mrefu hivyo aachwe amalizie kipindi kilichobaki na mwaka 2025 wajumbe wamle kichwa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Mbona akina Mdee walivuliwa na kufukuzwa uanachama lakini bado wabunge! Akivuliwa ubunge dawa yake ni kwenda mahakamani ili kesi iwe inaenda taratibu hadi August 2025.
 
Sio hata shinikizo! Huyu maza ni mweupe sana hana hata wanaomlinda na huyu atavuliwa hadi uanachama asipokua makini! Wakati wa uchaguzi 2015 nlikuwa babati mjini kama sio wananchi kumpambania asingepita....Jimbo lake ni dogo sana yaan kata 8 tu lkn Lina watu smart sana na walimchagua kwa sababu alikua CHADEMA sera safi lkn baada ya kuwasaliti wananchi na kwenda CCM & na huu alioufanya bas safari yake ya kisiasa omeishia pale
Chadema iliwabeba majitu ya hovyo yaliyokujua kusaliti chama;
Lijualikali
Silinde
Mwita
Mollel
Joshua
GEkul
Hawa wapuuzi lazima walipwe taabu za wananchi
 
Kwanza awali nilidhani Naibu Waziri alikuwa akisingiziwa lakini baada ya kuona utenguzi huu nikaamini kweli amefanya huo ukatiri.

Sina shaka kwa sasa kuwa ni kweli Kiongozi huyo alihusika kwa sababu Rais anafanyia kazi "evidence based informations" hasahasa kwa viongozi wa upande wake wa serikali na chama.

Kwa kuwa imedhihirika hivyo na ikaonekana hafai kuendelea kukalia kiti cha naibu waziri, Je.. anafaa kuendelea kuwa Mbunge? Anafaa kuendelea kuwa mwanachama wa chama chake?

Majibu yangu kwa maswali hayo ni kuwa hafai kabisa kabisa.. kwa sababu tuhuma hizi ni nzito, na ili vyombo vyetu vya maamuzi visije kupigiwa simu moja vikabadili maamuzi sahihi ni bora Pauline afikishwe mahakamani akiwa raia wa kawaida.

Nawasilisha.

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Huyu ana tofauti gani na wald wezi walio tajwa na CAG? Wao mbona bado wako ofisini?
 
Chadema iliwabeba majitu ya hovyo yaliyokujua kusaliti chama;
Lijualikali
Silinde
Mwita
Mollel
Joshua
GEkul
Hawa wapuuzi lazima walipwe taabu za wananchi
Mi iliniuma hyo nikikumbuka kipindi kile gekul anawasaliti afu hata haikua Hela kubwa kivile chief minister alienda akatoa tu order ya fungu flan la fedha lililokua limepangwa kwa ajili ya halmashaur lirudishwe mbunge akapanick baada ya mda naona taarifa Kwa Ayo Maza kaunga juhudi

Mollel baada ya kuunga Mkono juhudi akaona haitoshi akaanza campaign chafu dhidi ya Mbowe

Sasa hao ni suala la mda tu watalia na kusaga meno
 
Kumnyang'anya kadi mtu aliebakiza miaka miwili tu ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Akivuliwa uanachama means atavuliwa na ubunge, na akivuliwa ubunge unatakiwa uchaguzi mdogo uitishwe na uchaguzi una bajeti kubwa na mchakato mrefu hivyo aachwe amalizie kipindi kilichobaki na mwaka 2025 wajumbe wamle kichwa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Haki hulindwa kwa gharama yoyote.
Usafi na dhi ya taasisi hulindwa hata kwa gharama ya mtu kupoteza uhai...sijui unayajua haya?
 
Mi iliniuma hyo nikikumbuka kipindi kile gekul anawasaliti afu hata haikua Hela kubwa kivile chief minister alienda akatoa tu order ya fungu flan la fedha lililokua limepangwa kwa ajili ya halmashaur lirudishwe mbunge akapanick baada ya mda naona taarifa Kwa Ayo Maza kaunga juhudi

Mollel baada ya kuunga Mkono juhudi akaona haitoshi akaanza campaign chafu dhidi ya Mbowe

Sasa hao ni suala la mda tu watalia na kusaga meno
2025 kupenya kwao ni majaliws
 
Kumnyang'anya kadi mtu aliebakiza miaka miwili tu ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Akivuliwa uanachama means atavuliwa na ubunge, na akivuliwa ubunge unatakiwa uchaguzi mdogo uitishwe na uchaguzi una bajeti kubwa na mchakato mrefu hivyo aachwe amalizie kipindi kilichobaki na mwaka 2025 wajumbe wamle kichwa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo ni afadhali jangling liendelee Kula Kodi za wananchi
 
Kwanza awali nilidhani Naibu Waziri alikuwa akisingiziwa lakini baada ya kuona utenguzi huu nikaamini kweli amefanya huo ukatiri.

Sina shaka kwa sasa kuwa ni kweli Kiongozi huyo alihusika kwa sababu Rais anafanyia kazi "evidence based informations" hasahasa kwa viongozi wa upande wake wa serikali na chama.

Kwa kuwa imedhihirika hivyo na ikaonekana hafai kuendelea kukalia kiti cha naibu waziri, Je.. anafaa kuendelea kuwa Mbunge? Anafaa kuendelea kuwa mwanachama wa chama chake?

Majibu yangu kwa maswali hayo ni kuwa hafai kabisa kabisa.. kwa sababu tuhuma hizi ni nzito, na ili vyombo vyetu vya maamuzi visije kupigiwa simu moja vikabadili maamuzi sahihi ni bora Pauline afikishwe mahakamani akiwa raia wa kawaida.

Nawasilisha.

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Team Bawacha-WI mko kazini M**a nyie!
 
Back
Top Bottom