Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,835
Hii serikali ya chama cha mapinduzi inadharau kuanzia mtoto mdogo mpaka kikongwe, haina adabu kabisa yani Kuna hili kundi la special group ~WALIMU linafanya kazi kwa mazingira magumu taabani kama wapo kuzimu lakini chaajabu tuhela wanavyopata hata muokota makopo anamzidi, hawajawahi kufrahia maisha tangu kuzaliwa kwao, walimu wanateseka sana mpaka huwa natoa machozi ila shida kubwa hawajitambui.
Walimu hawajitambui kwa sababu kuu ya umasikini. Hawajui kugoma kama wale wa Uganda maana wakigoma tu wanatishiwa kufukuzwa kazi Sasa wao wanaogopa ilihali hiyo kazi yenyewe pesa yake ni ndogo mpaka ATM inamcheka. Walimu nawashauri kwenye majukwaa yenu, magroup yenu ya WhatsApp, kwenye semina zenu jihamasisheni muanze mgomo. Serikali ya ccm iliahidi nyongeza ya 23% mkasema mama anaupiga mwingi haya sasa nadhani mmeona.
Mbona walimu mmezubaa kiasi hiki jamani halafu mmekuwa wahanga wa kutapeliwa mara QNET mpaka kwenye vyama vyenu vinawatapeli. Mwenge ukipita unalazimishwa kuchangia manina, mnatumiwa kwenye mipango kazi ya miongo na nusu miongo kama uchaguzi mkuu na sensa maana nyinyi ni cheap labour wakiamini pesa hamzijui mkipewa buku ten per day mnakuwa midomo ya ngiri sijui mkoje.
Walimu mko wengi nchi hii. Wale wa shule ya msingi hamasisheni maandamano ya wanafunzi waingie barabarani kupinga kupanda kwa gharama za maisha nchini, hali kadharika hivyo hivyo na wale wa sekondari mpaka chuo kikuu hamasisheni wanafunzi wagome na kuandamana barabarani naamini hawatakataa. Hilo likifanyika serikali hii itatia adabu.
N. B. picha ya chini haina uhusiano wowote
Walimu hawajitambui kwa sababu kuu ya umasikini. Hawajui kugoma kama wale wa Uganda maana wakigoma tu wanatishiwa kufukuzwa kazi Sasa wao wanaogopa ilihali hiyo kazi yenyewe pesa yake ni ndogo mpaka ATM inamcheka. Walimu nawashauri kwenye majukwaa yenu, magroup yenu ya WhatsApp, kwenye semina zenu jihamasisheni muanze mgomo. Serikali ya ccm iliahidi nyongeza ya 23% mkasema mama anaupiga mwingi haya sasa nadhani mmeona.
Mbona walimu mmezubaa kiasi hiki jamani halafu mmekuwa wahanga wa kutapeliwa mara QNET mpaka kwenye vyama vyenu vinawatapeli. Mwenge ukipita unalazimishwa kuchangia manina, mnatumiwa kwenye mipango kazi ya miongo na nusu miongo kama uchaguzi mkuu na sensa maana nyinyi ni cheap labour wakiamini pesa hamzijui mkipewa buku ten per day mnakuwa midomo ya ngiri sijui mkoje.
Walimu mko wengi nchi hii. Wale wa shule ya msingi hamasisheni maandamano ya wanafunzi waingie barabarani kupinga kupanda kwa gharama za maisha nchini, hali kadharika hivyo hivyo na wale wa sekondari mpaka chuo kikuu hamasisheni wanafunzi wagome na kuandamana barabarani naamini hawatakataa. Hilo likifanyika serikali hii itatia adabu.
N. B. picha ya chini haina uhusiano wowote