100% Kwani unajitahidi sana kuitetea serikali na mapungufu yake!! Hata hivyo muanze kumuelemisha mama kuwa asizungumzie tu juu ya INFLATION bali kuna uwezekano nchi ikaingia kwenye hali mbaya zaidi ya RECESSION kama hamtakuwa makini na kuuthibiti mfumuko wa bei!Una uhakika?