kanga JF-Expert Member Jan 13, 2011 1,025 494 Apr 17, 2012 #21 Chama kipya cha JK ni UPDP cha ustaadh Yammy Nassoro Dovutwa.
mopaozi JF-Expert Member Nov 17, 2010 3,301 520 Apr 17, 2012 Thread starter #22 Tuanze kuhesabu wenye vipaji waliopo ccm hakika mtaamin maneno yangu ni funika mbaya!
M Mr Rocky JF-Expert Member Oct 10, 2007 15,178 14,351 Apr 17, 2012 #23 Ahhh mambo mengine sio hata ya kusema Ungenyamaza kimya tuu bila kutoa sifa za ajabu ambazo zitakufanya uonekane kituko
Ahhh mambo mengine sio hata ya kusema Ungenyamaza kimya tuu bila kutoa sifa za ajabu ambazo zitakufanya uonekane kituko
Lupweko JF-Expert Member Mar 26, 2009 20,713 20,472 Apr 17, 2012 #24 botilo said: Tuanze kuhesabu wenye vipaji waliopo ccm hakika mtaamin maneno yangu ni funika mbaya! Click to expand... 1. Lusinde (matusi fleva) 2.
botilo said: Tuanze kuhesabu wenye vipaji waliopo ccm hakika mtaamin maneno yangu ni funika mbaya! Click to expand... 1. Lusinde (matusi fleva) 2.
K Kameno Member Apr 5, 2012 6 0 Apr 17, 2012 #25 CCM hivyo vipaji vyenu ndo vimeizamisha nchi hii wabunge wenu wanasinzia hovyo tu..ndo vipaji vyenyewe hivyo.
CCM hivyo vipaji vyenu ndo vimeizamisha nchi hii wabunge wenu wanasinzia hovyo tu..ndo vipaji vyenyewe hivyo.
BADILI TABIA JF-Expert Member Jun 13, 2011 32,772 23,163 Apr 17, 2012 #26 Mkiliman said: Vipaji gani hivyo? Click to expand... kama vya Lusinde
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Oct 5, 2007 23,268 17,099 Apr 18, 2012 #30 botilo said: Katika uchaguzi wa EALA leo CCM tumeonyesha vichwa vya maana upinzani longolongo tu Click to expand... Hakika vipaji mnavyo CCM: Kuimba kwaya (John Komba) Kuganga na kuchawia (Maji Marefu) Kutukana (Lusinde) Kuiba Kura (Karibu Wote)
botilo said: Katika uchaguzi wa EALA leo CCM tumeonyesha vichwa vya maana upinzani longolongo tu Click to expand... Hakika vipaji mnavyo CCM: Kuimba kwaya (John Komba) Kuganga na kuchawia (Maji Marefu) Kutukana (Lusinde) Kuiba Kura (Karibu Wote)
TWIZAMALLYA JF-Expert Member Oct 1, 2011 397 81 Apr 18, 2012 #31 botilo said: Akili ya viroba na ndumu tu ndo unaweza sema maneno haya! Click to expand... Ndumu anatumia Lusinde mbunge wa mtera(a.k.a kibajaji)
botilo said: Akili ya viroba na ndumu tu ndo unaweza sema maneno haya! Click to expand... Ndumu anatumia Lusinde mbunge wa mtera(a.k.a kibajaji)