Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,898
- 942
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amesema Serikali ina mpango wa kufufua vituo vya michezo vilivyofungwa ili kuendeleza shughuli za michezo sambamba na kukuza na kuibua vipaji
Mhe. Ndumbaro amesema hayo Februari 23, 2024 alipokutana na viongozi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha kujadiliana juu maendeleo ya sekta ya michezo katika mkoa huo na kutembelea nyumba ya Wizara aliyokua akiishi mkuu wa kituo hicho cha Michezo kabla ya kufungwa mwaka 2016.
Aidha, Mhe. Ndumbaro amesema serikali itafungua vituo vingine vya Michezo katika maeneo mbalimbali ili kuongeza wigo wa kuibua vipaji