CCM inatimiza miaka 45 na CHADEMA inatimiza miaka 30 lakini zimetofautiana sana kiuwekezaji wa Siasa na Mali

CCM iko nchi nzima lakini Chadema iko maeneo ya mijini tu tena katika baadhi ya mikoa.

CCM inamiliki majengo ya ofisi katika kila Tawi lakini Chadema wanamiliki jengo la makao makuu na majengo machache sana mikoani hasa Njombe.

CCM ina wabunge nchi nzima lakini Chadema ina mbunge mmoja tu kule Nkasi Rukwa.

CCM ina vitega uchumi kila kona ya nchi lakini Chadema wanamiliki gazeti la Tanzania Daima tu.

Je,tofauti ya miaka 15 ndio Chadema imeachwa mbali hivi na CCM?!!

Maendeleo hayana vyama!
Dunderhead
 
CCM imerithi mali za TANU, mali zilizopatikana kwa nguvu na jasho la watanganyika wote pasipo kuangalia itikadi zao vya vyama. Tambua hili unapozungumzia vitega uchumi na mali walizonazo ccm
 
CCM iko nchi nzima lakini Chadema iko maeneo ya mijini tu tena katika baadhi ya mikoa.

CCM inamiliki majengo ya ofisi katika kila Tawi lakini Chadema wanamiliki jengo la makao makuu na majengo machache sana mikoani hasa Njombe.

CCM ina wabunge nchi nzima lakini Chadema ina mbunge mmoja tu kule Nkasi Rukwa.

CCM ina vitega uchumi kila kona ya nchi lakini Chadema wanamiliki gazeti la Tanzania Daima tu.

Je,tofauti ya miaka 15 ndio Chadema imeachwa mbali hivi na CCM?!!

Maendeleo hayana vyama!
1930TAA✓1954TANU✓1977CCM✓2022 bado ndio kinajaribu kutambaa!
 
inawezekana huijui ccm ilikotoka, yaani ccm ina miaka45?!?!! ccm ina miaka 60 kama tu ya uhuru wa nchi hii inabadilishaga majina tu pia ukumbuke nchi hii imekaa kwenye mfumo wa chama dume wa chama kimoja tangu uhuru mpaka miaka ya 80 hivyo watz wote walikuwa wanachama wa ccm OG,hizo mali za ccm unajua zilivyopatikana?!?
Inabadirisha majina kama mitandao ya simu kukwepa kodi!
 
CCM iko nchi nzima lakini Chadema iko maeneo ya mijini tu tena katika baadhi ya mikoa.

CCM inamiliki majengo ya ofisi katika kila Tawi lakini Chadema wanamiliki jengo la makao makuu na majengo machache sana mikoani hasa Njombe.

CCM ina wabunge nchi nzima lakini Chadema ina mbunge mmoja tu kule Nkasi Rukwa.

CCM ina vitega uchumi kila kona ya nchi lakini Chadema wanamiliki gazeti la Tanzania Daima tu.

Je, tofauti ya miaka 15 ndio Chadema imeachwa mbali hivi na CCM?!!

Maendeleo hayana vyama!
CCM ni zao la TANU & ASP.
TANU imezaliwa 1954 ikiwa na well organizational experience na structure ya TAA.

TANU imekuwa na assets chungu mzima na hata CCM kuna assets ilizipata kutokana na uwepo wa serikali ikiwamo uwanja kama CCM Kirumba.
Kuilinganisha CDM na CCM sio sawa na wanatofautiana kwa mengi sana.
 
CCM ilianzishwa na kina Sykes na wazee wa Kariakoo wavaao kofia na baraghshia mwaka 1952 leo ina miaka 70 si 45
 
CCM iko nchi nzima lakini Chadema iko maeneo ya mijini tu tena katika baadhi ya mikoa.

CCM inamiliki majengo ya ofisi katika kila Tawi lakini Chadema wanamiliki jengo la makao makuu na majengo machache sana mikoani hasa Njombe.

CCM ina wabunge nchi nzima lakini Chadema ina mbunge mmoja tu kule Nkasi Rukwa.

CCM ina vitega uchumi kila kona ya nchi lakini Chadema wanamiliki gazeti la Tanzania Daima tu.

Je, tofauti ya miaka 15 ndio Chadema imeachwa mbali hivi na CCM?!!

Maendeleo hayana vyama!
Sawa tukusaidie nini? KWA habari hii?
 
CCM iko nchi nzima lakini Chadema iko maeneo ya mijini tu tena katika baadhi ya mikoa.

CCM inamiliki majengo ya ofisi katika kila Tawi lakini Chadema wanamiliki jengo la makao makuu na majengo machache sana mikoani hasa Njombe.

CCM ina wabunge nchi nzima lakini Chadema ina mbunge mmoja tu kule Nkasi Rukwa.

CCM ina vitega uchumi kila kona ya nchi lakini Chadema wanamiliki gazeti la Tanzania Daima tu.

Je, tofauti ya miaka 15 ndio Chadema imeachwa mbali hivi na CCM?!!

Maendeleo hayana vyama!
Toka lini ccm iliacha uwizi wa kumiliki majengo wa watanzania kwa kuyataifisha,viwanja vyote wametaifisha ambavyo vimejengwa na fedha za watanzania
 
Tukipata katiba mpya CCM watatuambia zile pesa walizo jengea vile viwanja vya mpira kila mkoa walitoa wapi.
 
CCM iko nchi nzima lakini Chadema iko maeneo ya mijini tu tena katika baadhi ya mikoa.

CCM inamiliki majengo ya ofisi katika kila Tawi lakini Chadema wanamiliki jengo la makao makuu na majengo machache sana mikoani hasa Njombe.

CCM ina wabunge nchi nzima lakini Chadema ina mbunge mmoja tu kule Nkasi Rukwa.

CCM ina vitega uchumi kila kona ya nchi lakini Chadema wanamiliki gazeti la Tanzania Daima tu.

Je, tofauti ya miaka 15 ndio Chadema imeachwa mbali hivi na CCM?!!

Maendeleo hayana vyama!
CCM ni zao la Tanu ambacho mwaka 1965 kilihodhi mfumo wa chama kimoja. Kilitengeneza utaratibu wa lazima kupitia serikali yake,Hakuna aliyepata ajira serikalini Kama siyo mwanachama wa Tanu. Aidha 5/2/2/1977 Tanu ilijibadilisha Jina na kuitwa CCM . Hivyo siyo kweli Ina miaka 45 No, ni Jina jipya la CCM. Kila unachokiona kuanzia viwanja,masoko na hata yanayoitwa ya ccm,Hakuna kitu Kama hicho,ni mali ya watanzania wote. Mahali ambapo mameneja wa makampuni na mashirika yote yaliyokuwa ya umma ilikuwa ni lazima awe kada wa ccm, hivyo kufanya sehemu ya mapato ya makampuni/mashirika kutumika kwa kazi za Tanu/CCM. Mali za CCM labda kuanzia 1993. Nje ya hapo, CCM haina kitu.
 
CCM iko nchi nzima lakini Chadema iko maeneo ya mijini tu tena katika baadhi ya mikoa.

CCM inamiliki majengo ya ofisi katika kila Tawi lakini Chadema wanamiliki jengo la makao makuu na majengo machache sana mikoani hasa Njombe.

CCM ina wabunge nchi nzima lakini Chadema ina mbunge mmoja tu kule Nkasi Rukwa.

CCM ina vitega uchumi kila kona ya nchi lakini Chadema wanamiliki gazeti la Tanzania Daima tu.

Je, tofauti ya miaka 15 ndio Chadema imeachwa mbali hivi na CCM?!!

Maendeleo hayana vyama!
Hesabu zako nimezipenda! Ni sawa na kusema mtoto wa Bakhresa anamiaka 45, na wewe mwenzangu una miaka 45 lakini uwekezaji wenu ni tofauti.

Lakini sishangai, maana F za hesabu zilivyojaa kila matokeo ya Kidato cha 4 kila mwaka. Kweli inaakisi hesabu zako.
 
Ccm n majambazi yaliyojimilisha mali za wananchi wa tz ..eg viwanja na majengo yaliyojengwa before multi party yalibatizwa majina na kuitwa mali za ccm japo nako wale kajamba nani wa ccm hawanufaiki na kitu chochote
Nakuunga mkono. Mfano ni jengo la ccm Kilimanjaro. Hili jengo lilijengwa kwa michango ya lazima ya wananchi. Ilikuwa lazima kwa sababu pesa zilikatwa directly walipouza kahawa, bila kujali ni mwanachama wa ccm au la. Wakati huo mimi nilikuwa bado mwanafunzi primary/secondary, baba yangu alipouza kahawa alikatwa pesa kwaajili hiyo, na hakuwa mwanachama ccm. Tulipoanzisha mfumo wa vyama vingi, ambapo kila mtu alikuwa huru kuchagua kujiunga na chama kingine, ccm wakajinyakulia hilo jumba ambapo kimsingi ni mali ya umma.
 
CCM iko nchi nzima lakini Chadema iko maeneo ya mijini tu tena katika baadhi ya mikoa.

CCM inamiliki majengo ya ofisi katika kila Tawi lakini Chadema wanamiliki jengo la makao makuu na majengo machache sana mikoani hasa Njombe.

CCM ina wabunge nchi nzima lakini Chadema ina mbunge mmoja tu kule Nkasi Rukwa.

CCM ina vitega uchumi kila kona ya nchi lakini Chadema wanamiliki gazeti la Tanzania Daima tu.

Je, tofauti ya miaka 15 ndio Chadema imeachwa mbali hivi na CCM?!!

Maendeleo hayana vyama!
Ni kama "Mo" na Wewe Bwashee. Mmoja kaanza na urithi wa mababu mwingine anaanza na "shoka na jembe" mbugani.
 
Back
Top Bottom