Ni wakati sasa wa komredi Polepole kumleta Tundu Antipas Lissu CCM

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,750
139,532
Ninachompendea Tundu Lissu ni ukweli kuwa hana ubishoo anapotekeleza majukumu yake kama mwanasheria.

Kwa sasa taifa linahitaji wanasheria ving'ang'anizi na wenye kujiamini ili kupambana na hawa mabeberu wanaotumia mahakama kutufisadi.

Ninajua Polepole amefanya jukumu kubwa la kuwaleta watu wenye " tija" CCM hivyo haitakuwa shida sana kumleta mtu mwenye " weledi" chamani kwani vipaji vya kitaifa ni lazima tuvienzi.

Kila nikikumbuka siku Tundu Antipas Lisu alipotinga Ikulu kwa mwaliko wa mstaafu Kikwete, akiwa amebeba ile mikoba ya " Kijamaa" huwa nafarijika sana. Yawezekana kabisa kipaji cha Lissu kinatumika visivyo pale Chadema kama ilivyokuwa kwa Prof Kitila, tumlete CCM atumike positively.

Kwako komredi.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kumbe mna mmezea mate "msaliti" au ndio mnataka mkamalize kabisa akiwa karibu nanyi?
 
Lissu ata ukimwangalia kwa macho unaona ni mzalendo toka akiwa shule harakati zake hana record yeyote ya ufisadi popote yaani kama kuna mambo hii nchi itakuja kupata laana ni kutomtumia ipasavyo uyu mwanasheria kwa sababu ya political ideology yake.
 
Uchawi wa kurithi mbaya kuliko sumu.
Ninachompendea Tundu Lissu ni ukweli kuwa hana ubishoo anapotekeleza majukumu yake kama mwanasheria.

Kwa sasa taifa linahitaji wanasheria ving'ang'anizi na wenye kujiamini ili kupambana na hawa mabeberu wanaotumia mahakama kutufisadi.

Ninajua Polepole amefanya jukumu kubwa la kuwaleta watu wenye " tija" CCM hivyo haitakuwa shida sana kumleta mtu mwenye " weledi" chamani kwani vipaji vya kitaifa ni lazima tuvienzi.

Kila nikikumbuka siku Tundu Antipas Lisu alipotinga Ikulu kwa mwaliko wa mstaafu Kikwete, akiwa amebeba ile mikoba ya " Kijamaa" huwa nafarijika sana. Yawezekana kabisa kipaji cha Lissu kinatumika visivyo pale Chadema kama ilivyokuwa kwa Prof Kitila, tumlete CCM atumike positively.

Kwako komredi.

Maendeleo hayana vyama!
 
Ninachompendea Tundu Lissu ni ukweli kuwa hana ubishoo anapotekeleza majukumu yake kama mwanasheria.

Kwa sasa taifa linahitaji wanasheria ving'ang'anizi na wenye kujiamini ili kupambana na hawa mabeberu wanaotumia mahakama kutufisadi.

Ninajua Polepole amefanya jukumu kubwa la kuwaleta watu wenye " tija" CCM hivyo haitakuwa shida sana kumleta mtu mwenye " weledi" chamani kwani vipaji vya kitaifa ni lazima tuvienzi.

Kila nikikumbuka siku Tundu Antipas Lisu alipotinga Ikulu kwa mwaliko wa mstaafu Kikwete, akiwa amebeba ile mikoba ya " Kijamaa" huwa nafarijika sana. Yawezekana kabisa kipaji cha Lissu kinatumika visivyo pale Chadema kama ilivyokuwa kwa Prof Kitila, tumlete CCM atumike positively.

Kwako komredi.

Maendeleo hayana vyama!
Huyo hana nafasi. Abaki hukohuko.
 
Watammalizia Tena. Mungu kampenda lisu kama akina Daniel walivyookolewa mbele ya shimo la Simba wenye njaa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom