CCM inajenga makao mkuu Kwa TSH billions 34

CCM inajenga makao mkuu Kwa TSH billions 34

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,898
Reaction score
36,398
Hizi ni fedha nyingi aisee
Kwani makao mkuu ya CCM pale Dodoma Kuna tatizo Gani?

Pesa hizo CCM imepata wapi?
Hizi ada za uanachana ndo zimefika billion 34

Ukarabati uwanja wa Mkapa mmetoa billions 31

Watanzania hawana madawati, hospital hazina madawa, vijana hawana ajira
Pesa yote unaenda kujenga sehemu ya kukutana machawa kula kiyoyozi
 
Hizi ni fedha nyingi aisee
Kwani makao mkuu ya CCM pale Dodoma Kuna tatizo Gani?

Pesa hizo CCM imepata wapi?
Hizi ada za uanachana ndo zimefika billion 34

Ukarabati uwanja wa Mkapa mmetoa billions 31

Watanzania hawana madawati, hospital hazina madawa, vijana hawana ajira
Pesa yote unaenda kujenga sehemu ya kukutana machawa kula kiyoyozi
yoye hayo yatataifishwa maana wanaiba hela za wananchi.
 
Back
Top Bottom