bloggerboy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2017
- 568
- 1,211
CCM Ina Wanachama Zaidi Ya Millions 9 Lakini Bado Kwenye Uchaguzi Wanaiba Kura; Hii Inaniambia Na Kunipa Maana Ya Kwamba Mioyoni Mwa Hao Wanachama Huenda Wapo Nao Physically But Mentally Ni Wapinzani😇👐🏿🇹🇿
Wengi Tupo CCM Sio Kwamba Tunakipenda Chama Na Mambo Yake. Hapana Tupo ndani Ya Chama Kujificha Tusishambulishwe, Tusitekwe,tusiuliwe na kutupwa Kama mizoga ya mbwa,Tusipewe kesi,Tusifuatiwe Kwenye biashara zetu kwa kupewa madeni makubwa ya kodi n.k.
Usishangae kwa nini Kwenye Uchaguzi CCM wanatumia pesa nyingi kuhonga Hadi Wanachama wao ili wapite, Usishangae kwa Nini CCM Wanatumia Hadi polisi kuiba kura japo wanajidai wanawanacha wengi.
Wengi Tupo CCM Sio Kwamba Tunakipenda Chama Na Mambo Yake. Hapana Tupo ndani Ya Chama Kujificha Tusishambulishwe, Tusitekwe,tusiuliwe na kutupwa Kama mizoga ya mbwa,Tusipewe kesi,Tusifuatiwe Kwenye biashara zetu kwa kupewa madeni makubwa ya kodi n.k.
Usishangae kwa nini Kwenye Uchaguzi CCM wanatumia pesa nyingi kuhonga Hadi Wanachama wao ili wapite, Usishangae kwa Nini CCM Wanatumia Hadi polisi kuiba kura japo wanajidai wanawanacha wengi.