jd41
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,756
- 4,849
Kilimanjaro na Arusha si ndiyo ukabila wenyewe? CCM haijapendwa Kilimanjaro tangu vyama vingi vilipoanza. Tangu Mrema. Kama ni upinzani tuambie CUF ina nguvu gani Kilimanjaro? La muhimu ni ukabila. Hata Mramba akianzisha chama chake atachukua mkoa. CCM haijsadhibiwa Kilimanjaro, Kilimanjaro ndiyo imeadhibiwa na Watanzania imebaki isolated in a corner kama mwana yatima. WM
...hivi hakuna wachaga ccm?!