makissanga
Member
- Aug 13, 2015
- 40
- 0
Ukabila tu, wachaga wamekuwa kama wapemba! Wasiwasi wangu watanzania watakuja kukisusia chadema kibaki arusha na kilimanjaro tu, sio dalili nzuri ya kushangilia hiyo!
Ukijichunguza uko sawa kweli?
Ukabila tu, wachaga wamekuwa kama wapemba! Wasiwasi wangu watanzania watakuja kukisusia chadema kibaki arusha na kilimanjaro tu, sio dalili nzuri ya kushangilia hiyo!
Chama cha mapinduzi kimeshindwa vibaya sana katika mkoa wa Kilimanjaro katika majimbo 9 ya uchaguzi Ccm imeshinda majimbo mawili yaliyoko same ! Ukawa wameshinda majimbo 7 moshi mjini cdm,hai cdm,rombo cdm,moshi vijijini Cdm, same magaribi cdm, vunjo Nccr, siha cdm.
Ukabila tu, wachaga wamekuwa kama wapemba! Wasiwasi wangu watanzania watakuja kukisusia chadema kibaki arusha na kilimanjaro tu, sio dalili nzuri ya kushangilia hiyo!
ruvuma hamjaramba hata moja. dodoma hamjapata hata moja.
Ukabila tu, wachaga wamekuwa kama wapemba! Wasiwasi wangu watanzania watakuja kukisusia chadema kibaki arusha na kilimanjaro tu, sio dalili nzuri ya kushangilia hiyo!
Aende akamuulize Mzee Momose Cheyo na UDP yake wako wapi. Vyama vya kikabila na kikanda haviwezi kufurukuta...Ukabila tu, wachaga wamekuwa kama wapemba! Wasiwasi wangu watanzania watakuja kukisusia chadema kibaki arusha na kilimanjaro tu, sio dalili nzuri ya kushangilia hiyo!
Ukabila tu, wachaga wamekuwa kama wapemba! Wasiwasi wangu watanzania watakuja kukisusia chadema kibaki arusha na kilimanjaro tu, sio dalili nzuri ya kushangilia hiyo!
Chama cha mapinduzi kimeshindwa vibaya sana katika mkoa wa Kilimanjaro katika majimbo 9 ya uchaguzi Ccm imeshinda majimbo mawili yaliyoko same ! Ukawa wameshinda majimbo 7 moshi mjini cdm,hai cdm,rombo cdm,moshi vijijini Cdm, same magaribi cdm, vunjo Nccr, siha cdm.
Ukabila tu, wachaga wamekuwa kama wapemba! Wasiwasi wangu watanzania watakuja kukisusia chadema kibaki arusha na kilimanjaro tu, sio dalili nzuri ya kushangilia hiyo!
Wachaga wanajitambua, hawataki utani kwenye maendeleo na mabadiliko.
I wish ningekuwa hilo kabila.
ruvuma hamjaramba hata moja. dodoma hamjapata hata moja.
Hapana si kweli. CCM iliachwa kupendwa KLM miaka kumi iliyopita. Watu wa KLM wa naamini kwenye ule usemi unasema: fool me once...fool me twice....Kifupi hawataki longolongo. Arusha ndio wengi wamehama na Lowassa hasa baada ya usemi wa raisi hawezi kutoka Kaskazini.
WANALEA ukabilaChama cha mapinduzi kimeshindwa vibaya sana katika mkoa wa Kilimanjaro katika majimbo 9 ya uchaguzi Ccm imeshinda majimbo mawili yaliyoko same ! Ukawa wameshinda majimbo 7 moshi mjini cdm,hai cdm,rombo cdm,moshi vijijini Cdm, same magaribi cdm, vunjo Nccr, siha cdm.
Kamanda kua mkweli adhabu au ukabila ndiyo umetumika hamna cha zaidi.
Kumbuka Chami,Augustin Mrema na David Mosha pia wachaga. Sasa sijui kwanini wameshindwa kama ni ukabila. Tuache porojo tujiangalie tulipokosea tujisahihishe.Kuendeleza propaganda hakusaidii.ukabila bwanaa,ndomana wasukuma na wanyamwez wamewapga chini,waliwapa kura 2010,viti maalum mkapeana wakaskazini,hadi 2020 ifike,sumu ya ukabila itaenea kanda ya ziwa,sidhan kama chama chenu kitakua hai