PayGod
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 1,259
- 64
Kamanda kua mkweli adhabu au ukabila ndiyo umetumika hamna cha zaidi.
Dar napo umetumika ukabila
Kamanda kua mkweli adhabu au ukabila ndiyo umetumika hamna cha zaidi.
Kamanda kua mkweli adhabu au ukabila ndiyo umetumika hamna cha zaidi.
Kamanda kua mkweli adhabu au ukabila ndiyo umetumika hamna cha zaidi.
Mbeya pia tumejikaza ila cjui wametuzidije tulitaka ifuta rasmi tumepata tunduma momba mby mjini na mboz
Afadhali chama tawala kimepata viti 2 toka majimbo ya mikoa ya arusha na kilimanjaro
Sasa ona hi kufuru mikoa hi hakuna jimbo hata mojalililoenda upinzani
1.katavi
2.shinyanga
3.geita
4.tabora
5.dodoma
6.njombe
7.ruvuma
8.rukwa
9.simiyu
Katika mikoa hii upinzan wamechukua kiti kimoja tuuu
10 mwanza
11.kagera
Nini maana yake kiongozi anae taka kutuongoza apendwe na makabila yote
Siyo tu apendwe na ukanda ule tu anakotokea.
Mkuu Namelo ni mtu mzuri lakini kama unawaelewa wamasai vizuri haiwezekani mwanamke kuongoza Boma. Isingewezekana kabisa kupata kura kwenye mfumo dume uliopo umasaini. Angepigania mtoto wa Sokoine mwanaume naamini ushindani ingekuwepo.Kila mahali Tanzania kuna ukabila lakini huu mtazamo wako napingana nao. David Mosha anaishi Dar, na wala hakuwa anakubalika na UVCCM Kilimanjaro. Yaani waliokuwa wamekifanyia chama kazi miaka yote walikatwa, David Mosha akapitishwa kwa vile anajuana na wakubwa. Tusiangalie tu ukabila tuangalie other factors pia. Kwanini chama kinarudia makosa Yale yale? Kama sio udini ni ukabila yaani kweli hatuoni nje ya hapo?Chami na Mwanei na Mosha ni watu wazuri sana, Watanzania makini. Kosa lao hawataki Ukabila wanataka Utanzania. Hata Binti wa Sokoine naye kaangushwa je mnamwadhibu nini? Mtu mzima hajivunii kilema, ukabila ni kilema siyo sifa. WM
Kamanda kua mkweli adhabu au ukabila ndiyo umetumika hamna cha zaidi.
Hao waoza minjino ukabila tu na kutukana watu ndo wanaweza.
Kamanda kua mkweli adhabu au ukabila ndiyo umetumika hamna cha zaidi.
Chami na Mwanei na Mosha ni watu wazuri sana, Watanzania makini. Kosa lao hawataki Ukabila wanataka Utanzania. Hata Binti wa Sokoine naye kaangushwa je mnamwadhibu nini? Mtu mzima hajivunii kilema, ukabila ni kilema siyo sifa. WM
Kamanda kua mkweli adhabu au ukabila ndiyo umetumika hamna cha zaidi.
Afadhali chama tawala kimepata viti 2 toka majimbo ya mikoa ya arusha na kilimanjaro
Sasa ona hi kufuru mikoa hi hakuna jimbo hata mojalililoenda upinzani
1.katavi
2.shinyanga
3.geita
4.tabora
5.dodoma
6.njombe
7.ruvuma
8.rukwa
9.simiyu
Katika mikoa hii upinzan wamechukua kiti kimoja tuuu
10 mwanza
11.kagera
Nini maana yake kiongozi anae taka kutuongoza apendwe na makabila yote
Siyo tu apendwe na ukanda ule tu anakotokea.
Wanamaendeleo gani? Biashara ya bar?
Nyie wa kaskazini kwanza hata kwenye kudai uhuru wa tanganyika mlijitenga,mnataka mpewe kuongoza taifa lipi wkt hamkulitolea jasho?kenge nyie
Kamanda kua mkweli adhabu au ukabila ndiyo umetumika hamna cha zaidi.