WILLIAM MARCONI
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 2,307
- 953
Chama cha mapinduzi kimeshindwa vibaya sana katika mkoa wa Kilimanjaro katika majimbo 9 ya uchaguzi Ccm imeshinda majimbo mawili yaliyoko same ! Ukawa wameshinda majimbo 7 moshi mjini cdm,hai cdm,rombo cdm,moshi vijijini Cdm, same magaribi cdm, vunjo Nccr, siha cdm.
Badala ya kufurahia ungeona aibu. Iweje Kilimanjaro pekee iiadhibu CCM? Au ni ukabila? Nchi nzima hakuna UKAWA zaidu ya Kilimanjaro. Hawo wa Lindi na Geita na Iringa na Tanga na Kigoma na Rukwa ba Mwanza wanajisikiaje ukicheka kuiadhibu CCM wao wanasema wamwadhibu UKABILA. Mtu mzima hajivunii majanga, rudini kundini. WM