CCM imempa Mbowe nguvu isiyokuwa na mfano

Mbowe kama asingelikuwa Mchaga, watu wangelikuwa wanafikiria kumpa nchi kwa namna wanavyompigia promo.

CHADEMA wangelikuwa makini, wangekaa waondoe rangi mbofu mbofu katika muundo wao ili akitoka waunganishe hadi Magogoni.

Lakini wakiendelea kushikilia kwamba wako sahihi, wataishia kutetewa, kupewa pole na kuombwa ushauri tu, kwa serikali makini itakayokuwepo.
No room for tribalism,ongea bila kuhusisha kabila la mtu utaeleweka tu kaka.
 
Ni kweli kiongozi wangu. Lakini kumbuka kwamba Tanzania ni nchi yetu wote. Hatutakubali mtu yeyote anayeendekeza mambo ya ukabila wala udini. Chama chochote chenye mrengo wa kuimarisha udini na ukablia na wengine kuwatupia tupia tu kama mapambo, hakifai kuongoza nchi yetu kwa sababu hatutaki kupanda magari ya ukabila huo.

CHaDEMa tumewaambia, waache ukabila, wagawanye nguvu na madaraka katika sehemu zote za nchi tuwape nchi. Bila hivyo, ninyi wenyewe mnaona vile walivyojazana kwenye ngazi za juu ya uongozi, na bahati mbaya tabia zao zinajulikana.

Kuwapa nchi watu wenye mitazamo hiyo, tutakuwa tunajikomboa au tunabadilisha ukoloni tu? Maana sasa tunajuta kwa nini tulipigania uhuru kutoka kwa Mwingereza. afadhli tungebaki na ukoloni wa Mzungu kuliko ukoloni wa cckm.
pummbafff sana we mama... sasa hapa anaeleta ukabila ni nani kama sio wewe shwain... yaani unasema mbowe angekuwa kabila lingnie ndo angepewa nchi kwani wachaga sio waTZ? unamaanisha nini kama sio undezi wako wa ukabila shwaiiiinnn wewee
 
Mama wa kichaga mjane anafuga ng'ombe watatu wa maziwa na mbuzi kadhaa lakini anasomesha watoto wake wawil St Mary's wakati mnyamwezi mwenzangu ana ng'ombe 200 na watoto 30 hakuna hata anayesoma form four.

Huu mfano amechangia bwana mmoja hapo juu ni sahihi kabisa. Kwa asilimia nyingi watu wana husuda na wachaga. Tuige yaliyo mema sio kusingizia watu ukabila na mambo kama hayo.
 
BEI YA LEO SOKONI
Nyama 1kg—Sh9,000 Maharage 1kg—Sh2,500 Sukari 1kg—Sh3,000 Sembe 1kg—Sh1,400 Dona 1kg—Sh1,200 Mchele 1kg—Sh2,500 Karanga 1kg—Sh4,000 Nyanya 30kg—Sh45,000 Mahindi 100kg—Sh70,732 Ngano 100kg—Sh149,090 Ulezi 100kg—Sh179,285 Viazi mviringo 100kg—Sh83,100 Mafuta/kula lita 20—Sh98,000
Endeleeni kujifanya mnaimani na HANGAYA wenu
 
Wajuzi wa mambo wanaeema kwamba, kumuweka Mh. Freeman Mbowe ndani kwa kesi ya ughaidi, imemuongezea Nguvu kubwa mno kisiasa.

Mbowe amepata nguvu kubwa mno na huruma kubwa mno kutoka kwa wananchi ambao wengi wao wanaamini kesi dhidi yake, ni kesi ya mchongo ambayo imeshabuma.

Atakapotoka Jela, mtaji wake kisisasa utakuwa ni mkubwa wa kutisha , na bila Shaka akiendeleza moto wa katiba mpya, bila Shaka watawala wataachia katiba moya

Hawatakuwa na jinsi. Mbowe nguvu alimony sasa hivi, ni nguvu aliyopewa na watawala waliotaka kumsulubu. Kifupi ni kwamba, watawala wakubaliane na ukweli.

Badala ya kumdhoofisha, wamempa nguvu za kutisha. Wakubaliane na ukweli wa kuishi na nguvu ya mbowe na Chadema
Ndio maana Lissu hakuwa na wasiwasi kabisa na hii kesi.
 
pummbafff sana we mama... sasa hapa anaeleta ukabila ni nani kama sio wewe shwain... yaani unasema mbowe angekuwa kabila lingnie ndo angepewa nchi kwani wachaga sio waTZ? unamaanisha nini kama sio undezi wako wa ukabila shwaiiiinnn wewee
When a fool proves his idiocy! Mama ni nani kwanza? . Na hapa ndipo unataka uaminike upewe nchi? Piga kelele lakini hatuwapi nchi yetu watu wa aina yako. Hujui kusoma, bila shaka hata kuelewa huwezi na ndiyo sababu inaonekana una constipation kichwani halafu unahara mdomoni!.

Lia, lakini Ikulu yetu NO!. We know you than how you know!.
 
No room for tribalism,ongea bila kuhusisha kabila la mtu utaeleweka tu kaka.
This is not tribalism. And ki uhalisi kabisa, mtu yeyote anayepiga vita ukabila, hawezi kuweka watu chii ya watu wanaoendekeza ukabila. Nndiyo sababu hata nimeshauri CHADEMA wafanye nini. Waache ukabila, ukabila wao ndio hatuutaki.
 
Wajuzi wa mambo wanaeema kwamba, kumuweka Mh. Freeman Mbowe ndani kwa kesi ya ughaidi, imemuongezea Nguvu kubwa mno kisiasa.

Mbowe amepata nguvu kubwa mno na huruma kubwa mno kutoka kwa wananchi ambao wengi wao wanaamini kesi dhidi yake, ni kesi ya mchongo ambayo imeshabuma.

Atakapotoka Jela, mtaji wake kisisasa utakuwa ni mkubwa wa kutisha , na bila Shaka akiendeleza moto wa katiba mpya, bila Shaka watawala wataachia katiba moya

Hawatakuwa na jinsi. Mbowe nguvu alimony sasa hivi, ni nguvu aliyopewa na watawala waliotaka kumsulubu. Kifupi ni kwamba, watawala wakubaliane na ukweli.

Badala ya kumdhoofisha, wamempa nguvu za kutisha. Wakubaliane na ukweli wa kuishi na nguvu ya mbowe na Chadema
Labda nguvu ya wanawake kijijini kwao.
 
Wajuzi wa mambo wanaeema kwamba, kumuweka Mh. Freeman Mbowe ndani kwa kesi ya ughaidi, imemuongezea Nguvu kubwa mno kisiasa.

Mbowe amepata nguvu kubwa mno na huruma kubwa mno kutoka kwa wananchi ambao wengi wao wanaamini kesi dhidi yake, ni kesi ya mchongo ambayo imeshabuma.

Atakapotoka Jela, mtaji wake kisisasa utakuwa ni mkubwa wa kutisha , na bila Shaka akiendeleza moto wa katiba mpya, bila Shaka watawala wataachia katiba moya

Hawatakuwa na jinsi. Mbowe nguvu alimony sasa hivi, ni nguvu aliyopewa na watawala waliotaka kumsulubu. Kifupi ni kwamba, watawala wakubaliane na ukweli.

Badala ya kumdhoofisha, wamempa nguvu za kutisha. Wakubaliane na ukweli wa kuishi na nguvu ya mbowe na Chadema
Kama kukaa gerezani kumemuongezea nguvu hivyo unavyosema basi ondoeni mawakili ili aendelee kubaki huko gerezani na aendelee kupata nguvu zaidi. Pengine hiyo nguvu itaisaidia Chadema kupata japo wabunge wawili.
 
BEI YA LEO SOKONI
Nyama 1kg—Sh9,000 Maharage 1kg—Sh2,500 Sukari 1kg—Sh3,000 Sembe 1kg—Sh1,400 Dona 1kg—Sh1,200 Mchele 1kg—Sh2,500 Karanga 1kg—Sh4,000 Nyanya 30kg—Sh45,000 Mahindi 100kg—Sh70,732 Ngano 100kg—Sh149,090 Ulezi 100kg—Sh179,285 Viazi mviringo 100kg—Sh83,100 Mafuta/kula lita 20—Sh98,000
Endeleeni kujifanya mnaimani na HANGAYA wenu
Bado bei za vyakula itaongezeka zaidi maana mavuno ya msimu huu yatakuwa haba kwa ukosefu au kukawia mvua maeneo mengi nchini.Hapo utasikia mfumuko wa bei umepungua nchini.
Watanzania tudai Katiba mpya ili nchi irejee kwenye reli yake.
 
Kama angekuwa siyo mchaga hivi wachaga wana nini hata inachukuliwa kuwa Mbowe kwa kuwa ni Mchaga hastaili kupewa nchi
 
Je ni sahihi kwako kuiga Jambo analokosea mtu mwingine?au ni vema kwako kutenda kwa kusahihisha makosa.anyway acha niheshimu uamuzi wako maana ni haki yako.
 
Ni kweli kiongozi wangu. Lakini kumbuka kwamba Tanzania ni nchi yetu wote. Hatutakubali mtu yeyote anayeendekeza mambo ya ukabila wala udini. Chama chochote chenye mrengo wa kuimarisha udini na ukablia na wengine kuwatupia tupia tu kama mapambo, hakifai kuongoza nchi yetu kwa sababu hatutaki kupanda magari ya ukabila huo.

CHaDEMa tumewaambia, waache ukabila, wagawanye nguvu na madaraka katika sehemu zote za nchi tuwape nchi. Bila hivyo, ninyi wenyewe mnaona vile walivyojazana kwenye ngazi za juu ya uongozi, na bahati mbaya tabia zao zinajulikana.

Kuwapa nchi watu wenye mitazamo hiyo, tutakuwa tunajikomboa au tunabadilisha ukoloni tu? Maana sasa tunajuta kwa nini tulipigania uhuru kutoka kwa Mwingereza. afadhli tungebaki na ukoloni wa Mzungu kuliko ukoloni wa cckm.
Hivi mnazungumza Mbowe kuwa ni mkabila!!? CCM na Hayati Magufuli tuwaweke kundi lipi? Propaganda zenu ni za hovyo sana.. Hakuna mnachojaribu kuzusha kikashabihiana na ukweli hata siku moja!
 
Back
Top Bottom