JET SALLI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,993
- 2,034
1.Arusha hapakamatiki
2.Monduli ccm watakwenda kwa passport.
3.Dar es salaam wameamua kuizika CCM
4.Sikonge balaa
5.Mbeya mmejionea jana
6.Shinyanga ccm imevunjwa miguu.
7.Rukwa ndio balaa kabisa ambako hata watanzania wengi hawakudhania.
8.Mwanza ccm inapumulia mipila muda huu.
9.Vikao vya Kamati kuu CCM kuanza na idadi ndogo kabisa ya wajumbe haijawah tokea na ukweli ndio huo anayebishi haitakii ccm mema.
10.Kila mwanaccm analalamikia rushwa na utaratibu mbovu wa uteuz ndani ya chama kumbuka milioni 700 nani kakamatwa na hyo ni pesa ya nani?
Ushauri tusiwahadae watu kwamba CCM bado inapendwa CCM imekufa kabisa na inahitaji uwe na akili za mwendawazimu kuipigia kura CCM. Nchi nzima watanzania wenye akili timamu wameamua.
Habari ya UKAWA ya 50% na CCM 50% haipo kabisa, hapa ni UKAWA 80% na CCM 20%.
CCM pumzikeni kwa amani mkituachia nchi yenye amani watanzania wameamua.
2.Monduli ccm watakwenda kwa passport.
3.Dar es salaam wameamua kuizika CCM
4.Sikonge balaa
5.Mbeya mmejionea jana
6.Shinyanga ccm imevunjwa miguu.
7.Rukwa ndio balaa kabisa ambako hata watanzania wengi hawakudhania.
8.Mwanza ccm inapumulia mipila muda huu.
9.Vikao vya Kamati kuu CCM kuanza na idadi ndogo kabisa ya wajumbe haijawah tokea na ukweli ndio huo anayebishi haitakii ccm mema.
10.Kila mwanaccm analalamikia rushwa na utaratibu mbovu wa uteuz ndani ya chama kumbuka milioni 700 nani kakamatwa na hyo ni pesa ya nani?
Ushauri tusiwahadae watu kwamba CCM bado inapendwa CCM imekufa kabisa na inahitaji uwe na akili za mwendawazimu kuipigia kura CCM. Nchi nzima watanzania wenye akili timamu wameamua.
Habari ya UKAWA ya 50% na CCM 50% haipo kabisa, hapa ni UKAWA 80% na CCM 20%.
CCM pumzikeni kwa amani mkituachia nchi yenye amani watanzania wameamua.