CCM ilishafeli kitambo sana sema hawataki Kukubali tu

Bush Dokta

JF-Expert Member
Apr 11, 2023
12,151
20,321
Miaka 60 ya uhuru ni jambo gani ambalo ccm wanaweza kujivunia wamelifanya na ku accomplish angalau kwa asilimia 60%.

Wale maadui watatu waliotangazwa na Baba wa Taifa ujinga, maradhi na Umaskini vyote viko pale pale.

Umee bado ni kero licha ya kuwepo kwa vyanzo vingi vya uzalishaji.

Tuna ardhi na mito, maziwa na bahari lakini wananchi wetu bado wanashida sana na maji.

Kwenye Elimu wanaofanya vizuri ni watoto wa vigogo wanaosomea shule za wenye nazo.
 
Miaka 60 ya uhuru ni jambo gani ambalo ccm wanaweza kujivunia wamelifanya na ku accomplish angalau kwa asilimia 60%.

Wale maadui watatu waliotangazwa na Baba wa Taifa ujinga, maradhi na Umaskini vyote viko pale pale.

Umee bado ni kero licha ya kuwepo kwa vyanzo vingi vya uzalishaji.

Tuna ardhi na mito, maziwa na bahari lakini wananchi wetu bado wanashida sana na maji.

Kwenye Elimu wanaofanya vizuri ni watoto wa vigogo wanaosomea shule za wenye nazo.

Kuhusu suala la maendeleo ccm ishajikatia tamaa na wao wanajua chama kimeoza juu ya wahuni na mafisadi,kilichobaki sasa ni genge la wahuni na mafisadi kuendelea kulinda maslahi yao kupitia chama.
 
Kwa hiyo kwa akili yako finyu ukiingalia Tanzania ya leo unaona inafanana na ile ya mwaka 61? Maendeleo ya Elimu,huduma za afya , miundombinu,hali ya kipato cha mwananchi mmoja mmoja unaona kinafanana na kile cha 61 wakati tunapata uhuru? Embu niambie wakati tunapata uhuru tulikuwa na shule bgaia za sekondari pamoja na vyuo vikuu na leo tunavyo vingapi? Embu niambie wakati tunapata uhuru tulikuwa na barabara ngapi za lami na leo zipo ngapi? Embu niambie tulikuwa na madaktari na wahandisi wangapi na leo tupo nao wangapi? Embu niambie tulikuwa na vituo vya afya vingapi na leo vipo vingapi? Embu niambie tulikuwa na wasomi wa vyuo vikuu wangapi waliomaliza kila mwaka na leo tunaona wangapi? Embu bibie hali ya kipato cha wananchi cha leo ni sawa na cha 61? Vipi kuhusu makazi ya watu na ubora wake unaona yanafanana na yale ya 1961? Embu niambie ulikuwa unatumia siku ngapi kutoka mkoani kutoka mikoani mpaka kufika Dar na leo muda gani inatumika? Vipi barabara za kuunganisha mikoa kwa mikoa na wilaya kwa wilaya ngapi zilikuwa zimeunganishwa? Leo zipo ngapi?

Acha mibangi kuvuta wakati hata akili yako yenyewe haipo sawa. CCM Ni chama kilichoifayia makubwa sana nchi yetu,ni chama kilicholeta maendeleo kila eneo na kila secta,Ni Chama kilicholeta matumaini na matokeo chanya kwenye maisha ya watu,ni chama kilicholeta mapinduzi ya kiuchumi.
 
Kwa hiyo kwa akili yako finyu ukiingalia Tanzania ya leo unaona inafanana na ile ya mwaka 61? Maendeleo ya Elimu,huduma za afya , miundombinu,hali ya kipato cha mwananchi mmoja mmoja unaona kinafanana na kile cha 61 wakati tunapata uhuru? Embu niambie wakati tunapata uhuru tulikuwa na shule bgaia za sekondari pamoja na vyuo vikuu na leo tunavyo vingapi? Embu niambie wakati tunapata uhuru tulikuwa na barabara ngapi za lami na leo zipo ngapi? Embu niambie tulikuwa na madaktari na wahandisi wangapi na leo tupo nao wangapi? Embu niambie tulikuwa na vituo vya afya vingapi na leo vipo vingapi? Embu niambie tulikuwa na wasomi wa vyuo vikuu wangapi waliomaliza kila mwaka na leo tunaona wangapi? Embu bibie hali ya kipato cha wananchi cha leo ni sawa na cha 61? Vipi kuhusu makazi ya watu na ubora wake unaona yanafanana na yale ya 1961? Embu niambie ulikuwa unatumia siku ngapi kutoka mkoani kutoka mikoani mpaka kufika Dar na leo muda gani inatumika? Vipi barabara za kuunganisha mikoa kwa mikoa na wilaya kwa wilaya ngapi zilikuwa zimeunganishwa? Leo zipo ngapi?

Acha mibangi kuvuta wakati hata akili yako yenyewe haipo sawa. CCM Ni chama kilichoifayia makubwa sana nchi yetu,ni chama kilicholeta maendeleo kila eneo na kila secta,Ni Chama kilicholeta matumaini na matokeo chanya kwenye maisha ya watu,ni chama kilicholeta mapinduzi ya kiuchumi.
Weka kumbukumbu sawa, wakati tunapata uhuru tulikuwa million 9 leo hii tupo 60 millioni

Je! Km nchi tumeweza kutatua changamoto za wananchi kulingana na idadi yao?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Ukiwauliza wazee watasema imefanya mengi. Waulize vijana wa sasa ndio utaelewa balaa la CCM.

Hawa wazee wakiona fly overs, ndege, barabara, majengo mapya kwao hivi ni vitu vimewakuta so wanaona ni muujiza kuletewa ila vijana waliozaliwa nyakati hizi wanaona upuuzi maana wamezaliwa standard ya maisha ikiwa imepanda kwao maendeleo ni jambo la lazima. Yaani ndio level yao sio jambo la kuomba.

Mfano wake ni ukimfungia umeme mtu kijijini kwake ni jambo la kusheherekea na kurukaruka. Ila mtu wa mjini ni lazima kwake kupata umeme sio ombi na ukimkera kwa kumcheleweshea ataweka solar system kwake na atapata tu umeme.

So CCM soon watafeli, hawezani na hii speed ya nahitaji ya vijana wa sasa. Imagine Nape anaona internet ni kitu cha kupimiwa, ila mahitaji ya internet ya sasa si kama ya mwaka 2010 yamepanda kasi. Sasa hivi kiwango kidogo mtumiaji mzuri wa internet anaweza tumia ni GB 50 hapo ndipo jisikie katumia. Huwezi weka kifurushi cha kumkadiria mtu, so option ni unlimited data plan jambo ambalo Kiazi kama Nape hawezi elewa.
 
Back
Top Bottom