Ushauri kwa Waziri Dotto Biteko - Waziri wa Nishati

don-mike

JF-Expert Member
Apr 3, 2011
435
842
Niweke bayana kabisa, kitaaluma mimi ni mhandisi, ntayoyaandika hapa ni kutokana na uzoefu wangu kwenye kada hii.

Naamini Mheshimiwa Biteko utapita hapa na utapata chochote kitu. Inawezekana kabisa umwfanya makubwa wizara ya madini, ila wizara hiyo inawagusa watanzania wachache sana, hivyo leo hii ukimuuliza mtanzania wa kawaida ni nini umefanya wizara ya madini, hawezi kujua, maana hayamuhusu kwa namna yoyote ile kwenye maisha yake ya kila siku.

Sasa upo kwenye wizara yenye mahusiano ya kila siku ya mwananchi, hususani kwenye bidhaa za umeme na mafuta. Hapa ni rahisi sana kujenga au kubomoa image yako kwa jamii. Inawezekana si kwa kupenda ila baada ya Samia kuona makelele yamekuwa mengi wewe ndio mtu pekee uliyeonekana unawezaa okoa jahazi.

Niende moja kwa moja kwenye hoja

1. Wawekezaji wengi wamekuwa wakipigwa danadana pale wanapotaka wekeza kwenye uzalishaji wa umeme, Tanesco imekuwa ikiona wawekezaji kama competitors na sio collaborators, ni vyema sasa Tanesco ikagawanywa kuzaa makampuni mawili, kampuni moja imiliki production ya umeme, nyingine ikomae na transmission & distribution. Hii itaondoa ukiritimba mkubwa sana kwenye uzalishaji wa umeme.

2. Kwasasa mradi wa JK Nyerere ndio imekuwa kama ndoto, ikionekana kama hamna haja ya kuweka nguvu zaidi kwenye vyanzo vipya vya uzalishaji umeme. Nakuhakikishia Waziri, hizo Megawatt 2000 tutazozalisha zitaisha kama upepo na mahitaji yataendelea kuwepo. Kumbuka viwanda vingi vinaongezeka sasa, plus Reli nayo inasubili umeme huo huo.

3. Waziri Biteko, kila mkoa wa Tanzania utenge eneo kwa ajili ya uzalishaji wa umeme jua, atleast shamba litaloweza zalisha kuanzia Megawatt 100. Ukilaunch hii tenda, nakuhakikishia ndani ya masaa 3 mikoa yote itakuwa imepata wawekezaji. Kila mwekezaji apewe miaka 2 kutekeleza mradi huu. Mgao wa Umeme Tanzania utakuwa historia.

4. Waziri Biteko, huko mbugani hawataki badilika kabisa, bado wamekomaa na majenereta sababu wanapata bakshishi kwenye procurement ya mafuta. Malori ya mafuta mbugani si tu yanachangia kuharibu barabara za mbugani, bali pia uchafuzi waa mazingira. Hawa waamuriwe kutumia uzalishaji wa umeme jua na generator situmike tu as standby, teknologia imekuwa, watu hawataki badilika.

5. Waziri Biteko, Pamoja na kwamba inasemwa gas inazalisha umeme kwa asilimia 60 Tanzania, naamini ukiruhusu wawekezaji zaidi, Uzalishaji wa gas unaweza kuongezeka hata kufikia Megawatt 3000 ndani ya miaka 3. Wote tunajua gharama za umeme gas ni ndogo kuliko umeme maji.

Ningeandika mengi zaidi, ila haya yanatosha kukufanya wewe ukumbukwe na vizazi kwa vizazi. Naamini kabisa unaweza tumia muda mdogo sana kufikisha nchi kwenye uzalishaji wa umeme kutoka Megawatt 1500 hadi Megawatt 10,000 ndani ya miaka 4 ukiyafata haya.
 
Bosi mpya TANESCO ambaye kitaaluma ni mhandisi atakuja kusaidia kumpa taarifa sahihi naibu waziri mkuu na waziri wa nishati bila kupepesa macho hasa katika kupata ufumbuzi wa masuala ya upatikanaji umeme usiokatika.

Na pia bosi mpya Eng. Boniface Gissima Nyamo-Hanga aliye na uelewa mpana wa uhandisi kuweza kufuatilia hatua zote kwa karibu na changamoto za mradi mkubwa wa JNHPP ambazo wahandisi Wazalendo wanapambana nazo usiku na mchana ukamilike ili hatimaye siku za usoni kuingiza umeme katika gridi ya taifa :

boniface-gissima.jpg

ENG. BONIFACE GISSIMA NYAMO-HANGA​

NON-EXECUTIVE DIRECTOR
Eng. Boniface Gissima Nyamo Hanga is currently working with Tanzania Buildings Agency (TBA) in its Dodoma Office responsible for overseeing proper operations of the New Debating Chamber of the Parliament.
Prior to that Eng. Boniface Gissima Nyamo-Hanga had worked with the Rural Energy Agency (2008 – 2019) where he held several Senior Positions including Manager of Technical Assistance, Director of Market Development & Technologies, Director General of the Rural Energy Agency & Chief Executive Officer of the Rural Energy Fund, and Secretary to the Rural Energy Board (REB).
From 2014 to 2015 Eng. Boniface Gissima Nyamo-Hanga served as the Chairperson of the CDM PoA Seller’s Participants of Certified Emission Reductions (CERs), a Carbon Finance Partnership Facility (CPF) under the UNFCCC and the IBRD (World Bank) representing seller participants from Tanzania, Egypt, Morocco, Brazil, Thailand, Vietnam, Philippines and Sri Lanka.
From 2017 to 2020 Eng. Boniface Gissima Nyamo-Hanga served as a Member to the National Energy Advisory Platform to advice the Government of Tanzania on Energy for Social and Economic Development. In June 2021 he was appointed by the President of the United Republic of Tanzania to serve a three years term as a Member of the Fair Competition Tribunal (FCT).
He is a registered Professional Engineer with the Engineers Registration Board of Tanzania (ERB), a member of the Institute of Directors Tanzania (IoDT), a Member of the Tanzania Institute of Arbitrators (TiArb), Member of the Tanzania Accountants Association (TAA), Member of the International Solar Energy Society (ISES) and Member of the Project Management Institute (PMI) of US.
In academics, Eng. Boniface Gissima Nyamo-Hanga is a holder of B. Sc. Engineering (Electrical) (UDSM), Master of Engineering Management (UDSM), Master of Business Administration (MBA) (UDSM), Post Graduate Diploma in Law Mediation and Arbitration (Institute of Social Work ISW Dar es Salaam), MSc. Finance (Strathclyde University Glasgow Scotland in the UK – In collaboration with the Institute of Finance Management (IFM) Tanzania), Advanced Diploma Accounting and Business (ACCA UK), and a Diploma in International Public Sector Accounting Standards (IPSAS) (NBAA Tanzania)
Source : Eng. Boniface Gissima Nyamo-Hanga – NICOL
 
Maelezo ya mhandisi katika mradi wa bwawa la umeme la JNHPP Rufiji kwa mh. Naibu Waziri Mkuu, jinsi ya kuimarisha mwamba ambao ndiyo msingi wa ukuta na tuta la bwawa la JNHPP Rufiji kitaalamu zoezi linaitwa grout curtain


View: https://m.youtube.com/watch?v=gfQCF6pL-U0



A vertical section through a concrete dam is shown here. The stored water is on the left and the grout curtain is shown in black, with the drainage curtain downstream of it also in black.

seepage under concrete gravity dam


An exaggerated example is shown at a concrete gravity dam where wide cracks in a foundation permit seepage to pass under the dam and emerge downstream.


1695459862119.png

downwards, counteracts against the water pressure to stop the dam overturning about the downstream toe.
1695459903349.png



3. If there is no grouting under the dam seepage can potentially pass along open cracks at its base and exert pressure upwards. This acts to reduce the effect of the dam's weight and therefore reduces its safety.
The illustration shows a dam tilting about its downstream toe because the dam has insufficient weight to withstand the combined effect of storage pressure and uplift pressure.



4. However, if a grout curtain intercepts the seepage and thereby cuts off most of the uplift pressure, the dam's stability is improved.

 st francis dam failed.

This dam failed because of foundation problems.

Blocks of it tilted around the downstream toe and were then washed downstream by the suddenly released water. One of them remained and can be seen lying on its back beyond the two blocks which did not fail.
 
  • Thanks
Reactions: Ame

WEDNESDAY, DECEMBER 21, 2016

MHANDISI GISSIMA MKURUGENZI MPYA WAKALA WA NISHATI VIJIJINI (REA)




Mhandisi Boniface Gissima Nyamo-Hanga

Na Daudi Manongi-Maelezo.
BODI ya Nishati Vijijini (REB) imemteua Mhandisi Boniface Gissima Nyamo-Hanga kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuziba nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala Dk. Lutengano Mwakahesya aliyestaafu mwezi Juni 2016.


Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa kwa Vyombo vya Habari na Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini Dk. Gideon Kaunda inaeleza kuwa uteuzi huo umefanyika kwa mujibu wa Sheria namba 8 ya mwaka 2005 ya Nishati Vijijini katika kikao kilichofanyika Tarehe 17 Desemba 2016.

Aidha taarifa hiyo inaeleza kuwa kabla ya uteuzi huu Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga alikuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA).

Imeongeza kuwa Mhandisi Gissima ana uzoefu wa miaka 20 katika Sekta ya Nishati na pia ameshika nyadhifa mbalimbali tangu mwaka 2008 alipoajiriwa REA.

Mbali na hayo Mhandisi huyu amehitimu Shahada ya Uhandisi katika fani ya Umeme, Shahada ya Uzamili katika Menejimenti ya Uhandisi,Shahada ya Uzamili ya Usimamizi wa Biashara (MBA) zote kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Stashahada ya Juu ya Sheria na Upatanishi na Usuluhishi ya Chuo cha Ustawi wa Jamii Dar es Salaam.

Bodi ya Wakala wa Nishati ya Umeme Vijijini (REA) inaomba sekta mbalimbali kumpatia ushirikiano Mhandisi Boniface Gissima Nyamo-Hanga ili kumuwezesha kutekeleza majukumu na malengo yake

MRADI WA REA AWAMU YA TATU KUZINDULIWA RASMI GEITA KWA NGAZI YA MKOA

by WANANCHI WA JIMBO LA BUKOMBE on July 12, 2017
1695462975437.png

Mkurugenzi wa mradi wa umeme vijijini REA Eng. Gissima B. Nyamohanga akielezea Juu ya Mradi wa REA kwenye ufunguzi wa Mradi huo uliozinduliwa Mkoani Geita kwa ngazi ya Mkoa na kuzinduliwa na Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dkt. Medadi Kalemani.
 
Niweke bayana kabisa, kitaaluma mimi ni mhandisi, ntayoyaandika hapa ni kutokana na uzoefu wangu kwenye kada hii.

Naamini Mheshimiwa Biteko utapita hapa na utapata chochote kitu. Inawezekana kabisa umwfanya makubwa wizara ya madini, ila wizara hiyo inawagusa watanzania wachache sana, hivyo leo hii ukimuuliza mtanzania wa kawaida ni nini umefanya wizara ya madini, hawezi kujua, maana hayamuhusu kwa namna yoyote ile kwenye maisha yake ya kila siku.

Sasa upo kwenye wizara yenye mahusiano ya kila siku ya mwananchi, hususani kwenye bidhaa za umeme na mafuta. Hapa ni rahisi sana kujenga au kubomoa image yako kwa jamii. Inawezekana si kwa kupenda ila baada ya Samia kuona makelele yamekuwa mengi wewe ndio mtu pekee uliyeonekana unawezaa okoa jahazi.

Niende moja kwa moja kwenye hoja

1. Wawekezaji wengi wamekuwa wakipigwa danadana pale wanapotaka wekeza kwenye uzalishaji wa umeme, Tanesco imekuwa ikiona wawekezaji kama competitors na sio collaborators, ni vyema sasa Tanesco ikagawanywa kuzaa makampuni mawili, kampuni moja imiliki production ya umeme, nyingine ikomae na transmission & distribution. Hii itaondoa ukiritimba mkubwa sana kwenye uzalishaji wa umeme.

2. Kwasasa mradi wa JK Nyerere ndio imekuwa kama ndoto, ikionekana kama hamna haja ya kuweka nguvu zaidi kwenye vyanzo vipya vya uzalishaji umeme. Nakuhakikishia Waziri, hizo Megawatt 2000 tutazozalisha zitaisha kama upepo na mahitaji yataendelea kuwepo. Kumbuka viwanda vingi vinaongezeka sasa, plus Reli nayo inasubili umeme huo huo.

3. Waziri Biteko, kila mkoa wa Tanzania utenge eneo kwa ajili ya uzalishaji wa umeme jua, atleast shamba litaloweza zalisha kuanzia Megawatt 100. Ukilaunch hii tenda, nakuhakikishia ndani ya masaa 3 mikoa yote itakuwa imepata wawekezaji. Kila mwekezaji apewe miaka 2 kutekeleza mradi huu. Mgao wa Umeme Tanzania utakuwa historia.

4. Waziri Biteko, huko mbugani hawataki badilika kabisa, bado wamekomaa na majenereta sababu wanapata bakshishi kwenye procurement ya mafuta. Malori ya mafuta mbugani si tu yanachangia kuharibu barabara za mbugani, bali pia uchafuzi waa mazingira. Hawa waamuriwe kutumia uzalishaji wa umeme jua na generator situmike tu as standby, teknologia imekuwa, watu hawataki badilika.

5. Waziri Biteko, Pamoja na kwamba inasemwa gas inazalisha umeme kwa asilimia 60 Tanzania, naamini ukiruhusu wawekezaji zaidi, Uzalishaji wa gas unaweza kuongezeka hata kufikia Megawatt 3000 ndani ya miaka 3. Wote tunajua gharama za umeme gas ni ndogo kuliko umeme maji.

Ningeandika mengi zaidi, ila haya yanatosha kukufanya wewe ukumbukwe na vizazi kwa vizazi. Naamini kabisa unaweza tumia muda mdogo sana kufikisha nchi kwenye uzalishaji wa umeme kutoka Megawatt 1500 hadi Megawatt 10,000 ndani ya miaka 4 ukiyafata haya.
Nakubaliana na wewe kwenye dokezo lako namba 4 la mbugani kutumia jua kuzalisha umeme na jenereta kuwa Kwa ajili yavdharura.

Pia namba tano la kuongeza uzalishaji WA umeme kufuatana na ongezeko la idadi ya watu na matumizi mengine kama uzalishaji viwandani n.k.
Sasa hapa inategemeana na vyanzo tuliokuwa navyo iwe Hydro, Gas , Nuklia n.k kutegemeana na gharama za uwekezaji na manufaa yake ya muda mrefu .
 
Inawezekana ukawa ni uteuzi Bora kabisa kuwahi kufanywa na TANESCO ilihitaji mtu kama yeye.

Kwanza ni mhandisi, hapo ataongea lugha Moja na TANESCO, shiriki lililjaa wahandisi wabobevu.

Pili, ni mtaalamu wa menejimenti hapo katika suala utendaji na uwajibikaji patakaa vizuri

Tatu, ni mtaalamu wa biashara ,shirika litajiendesha kibiashara na faida.

Nne, ni mhasibu hapo mambo ya kudanganya mahesabu kwisha.


Aliyempelekea jina la huyo MD mpya Rais Samia apewe maua yake
 
Niweke bayana kabisa, kitaaluma mimi ni mhandisi, ntayoyaandika hapa ni kutokana na uzoefu wangu kwenye kada hii.

Naamini Mheshimiwa Biteko utapita hapa na utapata chochote kitu. Inawezekana kabisa umwfanya makubwa wizara ya madini, ila wizara hiyo inawagusa watanzania wachache sana, hivyo leo hii ukimuuliza mtanzania wa kawaida ni nini umefanya wizara ya madini, hawezi kujua, maana hayamuhusu kwa namna yoyote ile kwenye maisha yake ya kila siku.

Sasa upo kwenye wizara yenye mahusiano ya kila siku ya mwananchi, hususani kwenye bidhaa za umeme na mafuta. Hapa ni rahisi sana kujenga au kubomoa image yako kwa jamii. Inawezekana si kwa kupenda ila baada ya Samia kuona makelele yamekuwa mengi wewe ndio mtu pekee uliyeonekana unawezaa okoa jahazi.

Niende moja kwa moja kwenye hoja

1. Wawekezaji wengi wamekuwa wakipigwa danadana pale wanapotaka wekeza kwenye uzalishaji wa umeme, Tanesco imekuwa ikiona wawekezaji kama competitors na sio collaborators, ni vyema sasa Tanesco ikagawanywa kuzaa makampuni mawili, kampuni moja imiliki production ya umeme, nyingine ikomae na transmission & distribution. Hii itaondoa ukiritimba mkubwa sana kwenye uzalishaji wa umeme.

2. Kwasasa mradi wa JK Nyerere ndio imekuwa kama ndoto, ikionekana kama hamna haja ya kuweka nguvu zaidi kwenye vyanzo vipya vya uzalishaji umeme. Nakuhakikishia Waziri, hizo Megawatt 2000 tutazozalisha zitaisha kama upepo na mahitaji yataendelea kuwepo. Kumbuka viwanda vingi vinaongezeka sasa, plus Reli nayo inasubili umeme huo huo.

3. Waziri Biteko, kila mkoa wa Tanzania utenge eneo kwa ajili ya uzalishaji wa umeme jua, atleast shamba litaloweza zalisha kuanzia Megawatt 100. Ukilaunch hii tenda, nakuhakikishia ndani ya masaa 3 mikoa yote itakuwa imepata wawekezaji. Kila mwekezaji apewe miaka 2 kutekeleza mradi huu. Mgao wa Umeme Tanzania utakuwa historia.

4. Waziri Biteko, huko mbugani hawataki badilika kabisa, bado wamekomaa na majenereta sababu wanapata bakshishi kwenye procurement ya mafuta. Malori ya mafuta mbugani si tu yanachangia kuharibu barabara za mbugani, bali pia uchafuzi waa mazingira. Hawa waamuriwe kutumia uzalishaji wa umeme jua na generator situmike tu as standby, teknologia imekuwa, watu hawataki badilika.

5. Waziri Biteko, Pamoja na kwamba inasemwa gas inazalisha umeme kwa asilimia 60 Tanzania, naamini ukiruhusu wawekezaji zaidi, Uzalishaji wa gas unaweza kuongezeka hata kufikia Megawatt 3000 ndani ya miaka 3. Wote tunajua gharama za umeme gas ni ndogo kuliko umeme maji.

Ningeandika mengi zaidi, ila haya yanatosha kukufanya wewe ukumbukwe na vizazi kwa vizazi. Naamini kabisa unaweza tumia muda mdogo sana kufikisha nchi kwenye uzalishaji wa umeme kutoka Megawatt 1500 hadi Megawatt 10,000 ndani ya miaka 4 ukiyafata haya.
Tatizo ni ushamba na ujuaji wa kijinga- ukianzan hayo utasikia amehongwa hasa kutoka UPINZANI NA WANAHARAKATI
 

Eng. Boniface Gissima Nyamo-Hanga​

boniface-gissima.jpg

ENG. BONIFACE GISSIMA NYAMO-HANGA​

NON-EXECUTIVE DIRECTOR
Eng. Boniface Gissima Nyamo Hanga is currently working with Tanzania Buildings Agency (TBA) in its Dodoma Office responsible for overseeing proper operations of the New Debating Chamber of the Parliament.
Prior to that Eng. Boniface Gissima Nyamo-Hanga had worked with the Rural Energy Agency (2008 – 2019) where he held several Senior Positions including Manager of Technical Assistance, Director of Market Development & Technologies, Director General of the Rural Energy Agency & Chief Executive Officer of the Rural Energy Fund, and Secretary to the Rural Energy Board (REB).
From 2014 to 2015 Eng. Boniface Gissima Nyamo-Hanga served as the Chairperson of the CDM PoA Seller’s Participants of Certified Emission Reductions (CERs), a Carbon Finance Partnership Facility (CPF) under the UNFCCC and the IBRD (World Bank) representing seller participants from Tanzania, Egypt, Morocco, Brazil, Thailand, Vietnam, Philippines and Sri Lanka.
From 2017 to 2020 Eng. Boniface Gissima Nyamo-Hanga served as a Member to the National Energy Advisory Platform to advice the Government of Tanzania on Energy for Social and Economic Development. In June 2021 he was appointed by the President of the United Republic of Tanzania to serve a three years term as a Member of the Fair Competition Tribunal (FCT).
He is a registered Professional Engineer with the Engineers Registration Board of Tanzania (ERB), a member of the Institute of Directors Tanzania (IoDT), a Member of the Tanzania Institute of Arbitrators (TiArb), Member of the Tanzania Accountants Association (TAA), Member of the International Solar Energy Society (ISES) and Member of the Project Management Institute (PMI) of US.
In academics, Eng. Boniface Gissima Nyamo-Hanga is a holder of B. Sc. Engineering (Electrical) (UDSM), Master of Engineering Management (UDSM), Master of Business Administration (MBA) (UDSM), Post Graduate Diploma in Law Mediation and Arbitration (Institute of Social Work ISW Dar es Salaam), MSc. Finance (Strathclyde University Glasgow Scotland in the UK – In collaboration with the Institute of Finance Management (IFM) Tanzania), Advanced Diploma Accounting and Business (ACCA UK), and a Diploma in International Public Sector Accounting Standards (IPSAS) (NBAA Tanzania).
Through his experience and expertise, he is passionate to support NICOL achieve its mission and vision of becoming a leading collective investment scheme in Tanzania.

NB:
Hizi parameters
NICOL- HAJAFANYA VIZURI
REA- HAJAFANYA VIZURI SANA
Ngoja tumpe muda tuone
 
Inawezekana ukawa ni uteuzi Bora kabisa kuwahi kufanywa na TANESCO ilihitaji mtu kama yeye.

Kwanza ni mhandisi, hapo ataongea lugha Moja na TANESCO, shiriki lililjaa wahandisi wabobevu.

Pili, ni mtaalamu wa menejimenti hapo katika suala utendaji na uwajibikaji patakaa vizuri

Tatu, ni mtaalamu wa biashara ,shirika litajiendesha kibiashara na faida.

Nne, ni mhasibu hapo mambo ya kudanganya mahesabu kwisha.


Aliyempelekea jina la huyo MD mpya Rais Samia apewe maua yake
Shida atapewa nafasi ya kuendeleza mawazo yake? Kumbuka alishang'atwa na nyoka akiwa REA.

Huyu ni mtaalam sana, amefanya tafiti mbalimbali ya vyanzo vya umeme akiwa Wizara ya Nishati na Madini kabla ya REA kuanzishwa hivyo anajua kila aina ya vyanzo zinazopatikana hapa Tanzania.

Pia anapenda sana kusoma, siyo mvivu wa kuletewa nyaraka na kukubaliana nayo bila kuyapitia.

Wakiendelea kumwingilia kama ma DG wengine waliopita kwa faida ya wachache basi tutakuja tena kulaumiana tu, muda huu tunaongea tayari wale wapiga dili wa miradi ya TANESCO wameshaanza kujipanga namna ya kumwingilia DG mpya....wanaulizana nani best wake.
 
Niweke bayana kabisa, kitaaluma mimi ni mhandisi, ntayoyaandika hapa ni kutokana na uzoefu wangu kwenye kada hii.

Naamini Mheshimiwa Biteko utapita hapa na utapata chochote kitu. Inawezekana kabisa umwfanya makubwa wizara ya madini, ila wizara hiyo inawagusa watanzania wachache sana, hivyo leo hii ukimuuliza mtanzania wa kawaida ni nini umefanya wizara ya madini, hawezi kujua, maana hayamuhusu kwa namna yoyote ile kwenye maisha yake ya kila siku.

Sasa upo kwenye wizara yenye mahusiano ya kila siku ya mwananchi, hususani kwenye bidhaa za umeme na mafuta. Hapa ni rahisi sana kujenga au kubomoa image yako kwa jamii. Inawezekana si kwa kupenda ila baada ya Samia kuona makelele yamekuwa mengi wewe ndio mtu pekee uliyeonekana unawezaa okoa jahazi.

Niende moja kwa moja kwenye hoja

1. Wawekezaji wengi wamekuwa wakipigwa danadana pale wanapotaka wekeza kwenye uzalishaji wa umeme, Tanesco imekuwa ikiona wawekezaji kama competitors na sio collaborators, ni vyema sasa Tanesco ikagawanywa kuzaa makampuni mawili, kampuni moja imiliki production ya umeme, nyingine ikomae na transmission & distribution. Hii itaondoa ukiritimba mkubwa sana kwenye uzalishaji wa umeme.

2. Kwasasa mradi wa JK Nyerere ndio imekuwa kama ndoto, ikionekana kama hamna haja ya kuweka nguvu zaidi kwenye vyanzo vipya vya uzalishaji umeme. Nakuhakikishia Waziri, hizo Megawatt 2000 tutazozalisha zitaisha kama upepo na mahitaji yataendelea kuwepo. Kumbuka viwanda vingi vinaongezeka sasa, plus Reli nayo inasubili umeme huo huo.

3. Waziri Biteko, kila mkoa wa Tanzania utenge eneo kwa ajili ya uzalishaji wa umeme jua, atleast shamba litaloweza zalisha kuanzia Megawatt 100. Ukilaunch hii tenda, nakuhakikishia ndani ya masaa 3 mikoa yote itakuwa imepata wawekezaji. Kila mwekezaji apewe miaka 2 kutekeleza mradi huu. Mgao wa Umeme Tanzania utakuwa historia.

4. Waziri Biteko, huko mbugani hawataki badilika kabisa, bado wamekomaa na majenereta sababu wanapata bakshishi kwenye procurement ya mafuta. Malori ya mafuta mbugani si tu yanachangia kuharibu barabara za mbugani, bali pia uchafuzi waa mazingira. Hawa waamuriwe kutumia uzalishaji wa umeme jua na generator situmike tu as standby, teknologia imekuwa, watu hawataki badilika.

5. Waziri Biteko, Pamoja na kwamba inasemwa gas inazalisha umeme kwa asilimia 60 Tanzania, naamini ukiruhusu wawekezaji zaidi, Uzalishaji wa gas unaweza kuongezeka hata kufikia Megawatt 3000 ndani ya miaka 3. Wote tunajua gharama za umeme gas ni ndogo kuliko umeme maji.

Ningeandika mengi zaidi, ila haya yanatosha kukufanya wewe ukumbukwe na vizazi kwa vizazi. Naamini kabisa unaweza tumia muda mdogo sana kufikisha nchi kwenye uzalishaji wa umeme kutoka Megawatt 1500 hadi Megawatt 10,000 ndani ya miaka 4 ukiyafata haya.
viongozi tulionao wengi ni hovyo sana na hawana ubunifu wowote, sidhani kama biteko nae ni tofauti.
 
Niweke bayana kabisa, kitaaluma mimi ni mhandisi, ntayoyaandika hapa ni kutokana na uzoefu wangu
Umenena vyema ila kwenye point namba5 umetudanganya.

Umeme unaozalishwa kwa maji gharama yake ni ndogo kuliko umeme unaozalishwa na Gas.

Ila investment ya umeme wa gas ni ndogo kuliko ile ya umeme wa Maji.
 
Inawezekana ukawa ni uteuzi Bora kabisa kuwahi kufanywa na TANESCO ilihitaji mtu kama yeye.

Kwanza ni mhandisi, hapo ataongea lugha Moja na TANESCO, shiriki lililjaa wahandisi wabobevu.

Pili, ni mtaalamu wa menejimenti hapo katika suala utendaji na uwajibikaji patakaa vizuri

Tatu, ni mtaalamu wa biashara ,shirika litajiendesha kibiashara na faida.

Nne, ni mhasibu hapo mambo ya kudanganya mahesabu kwisha.


Aliyempelekea jina la huyo MD mpya Rais Samia apewe maua yake

Inaweza kuwa ni makaratasi tu ya kufanikiwa kukariri.

Muda utatuambia kama mabadiliko chanya yatafanikiwa maana lengo la kumuweka CEO yeyote ni kufanikisha kubadili mfumo, tamaduni ya taasisi ili kufikia malengo msingi ya shirika yaani umeme wa kutosha mahitaji ya viwandani na katika jamii toka vyanzo mchanganyiko usiokatika.



View: https://m.youtube.com/watch?v=oNUj-4NJDqQ&pp=ygUOV2h5IGNoYW5nZSBDRU8%3D
What does a CEO do? Well, there are four VITAL things every CEO should be doing to forward the vision of a company and grow it.

View: https://m.youtube.com/watch?v=DwcQOB7QT4I
 
Umenena vyema ila kwenye point namba5 umetudanganya.

Umeme unaozalishwa kwa maji gharama yake ni ndogo kuliko umeme unaozalishwa na Gas.

Ila investment ya umeme wa gas ni ndogo kuliko ile ya umeme wa Maji.
Kinachoamua bei ya umeme sio running costs ni investment costs. Umeme wa jua running costs ni almost negligible ila investment cost ni kubwa sana ndio maana bei ya umeme jua ni kubwa.

Leo hii ukitaka zalisha umeme wa gas unaweza order equipments tu, ukaangalia wapi pembeni ya rami na kuna high voltage transmission tayari ukaenda weka power station yako.

Sasa njoo kwa umeme wa maji, kwanza hayo maporomoko kuyafikia inahitaji miundombinu ya kutosha, then all the civil structures zinazohitajika ni gharama kuliko mitambo yenyewe ya uzalishaji. Nne bado utasafirisha umeme umbali mrefu kufikia kwenye high voltage transmission line.

Nadhani utakuwa umenielewa.
 
viongozi tulionao wengi ni hovyo sana na hawana ubunifu wowote, sidhani kama biteko nae ni tofauti.

Biteko anaweza kuwa hana ubunifu ila ana uthubutu. Hivyo akipata watu wa kumpa support kiushauri atafika mbali.
 
Inawezekana ukawa ni uteuzi Bora kabisa kuwahi kufanywa na TANESCO ilihitaji mtu kama yeye.

Kwanza ni mhandisi, hapo ataongea lugha Moja na TANESCO, shiriki lililjaa wahandisi wabobevu.

Pili, ni mtaalamu wa menejimenti hapo katika suala utendaji na uwajibikaji patakaa vizuri

Tatu, ni mtaalamu wa biashara ,shirika litajiendesha kibiashara na faida.

Nne, ni mhasibu hapo mambo ya kudanganya mahesabu kwisha.


Aliyempelekea jina la huyo MD mpya Rais Samia apewe maua yake
Kwani alikuwa hamjui? maelekezo kutoka Msoga Kingdom ndiyo yanaharibu nchi!
 
Maelezo ya mhandisi katika mradi wa bwawa la umeme la JNHPP Rufiji kwa mh. Naibu Waziri Mkuu, jinsi ya kuimarisha mwamba ambao ndiyo msingi wa ukuta na tuta la bwawa la JNHPP Rufiji kitaalamu zoezi linaitwa grout curtain


View: https://m.youtube.com/watch?v=gfQCF6pL-U0



A vertical section through a concrete dam is shown here. The stored water is on the left and the grout curtain is shown in black, with the drainage curtain downstream of it also in black.

seepage under concrete gravity dam


An exaggerated example is shown at a concrete gravity dam where wide cracks in a foundation permit seepage to pass under the dam and emerge downstream.


View attachment 2759391
downwards, counteracts against the water pressure to stop the dam overturning about the downstream toe.
View attachment 2759393


3. If there is no grouting under the dam seepage can potentially pass along open cracks at its base and exert pressure upwards. This acts to reduce the effect of the dam's weight and therefore reduces its safety.
The illustration shows a dam tilting about its downstream toe because the dam has insufficient weight to withstand the combined effect of storage pressure and uplift pressure.



4. However, if a grout curtain intercepts the seepage and thereby cuts off most of the uplift pressure, the dam's stability is improved.

 st francis dam failed.

This dam failed because of foundation problems.

Blocks of it tilted around the downstream toe and were then washed downstream by the suddenly released water. One of them remained and can be seen lying on its back beyond the two blocks which did not fail.

26 September 2023

"ENG. BONIFACE GISSIMA NYAMO HANGA NAKUPA MIEZI 6 NISISIKIE KUKATIKA KWA UMEME" - RAIS SAMIA ATOA KAULI

1695732964808.png
 
Back
Top Bottom