Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Kuna watu ukiwaambia habari au uwezekano wa CCM kutoka madarakani, wanakuona unaongea jambo ambalo haliwezi kutokea leo wala kesho na zaidi wataishia kukushangaa tu na hii ni kwasababu wamekariri.
Tunachosau wanadamu wengi ni kuwa,katika huu ulimwengu ambao umekuwepo kwa mamilioni ya miaka, hakuna kinachotokea leo hii ambacho ni kipya, bali yote ni marudio tu na ndio maana mtu ukiwa muumini mzuri wa historia, watu wanaweza kukuona wewe kamaa Nabii au mtu mwenye maono wanasahau kuwa katika dunia ya leo, hakuna jipya zaidi ya teknolojia.
CCM hakitakuwa chama cha kwanza kaanguka baada ya kuwepo madarakani kwa muda mrefu kama ambavyo imetokea kwa vyama vingine duniani, na pia Magufuli hatokuwa mtawala wa kwanza asietarajiwa kuanguka kutoka madarakani, ila mwisho wa siku akaanguka kama ilivyotokea kwa watawala wengine tangu kuombwa kwa ulimwengu huu.
Eleweni tu hata dini ni historia katika imani na kwasababu historia(imani) hii inazingatiwa zaidi, ndio maana leo hii mnaona watu wanatumia mistari ya Bibilia(Maandiko Matakatifu) kutabiri anguko la Magufuli na ushindi wa Lissu.
Kwa msingi huu,Magufuli na CCM yake wanaweza kuanguka mara baada ya uchaguzi au kutokana na yatayojiri baada ya matokeo kutangazwa.
Kwahiyo, ikitokea Magufuli anashindwa uchaguzi, na Lissu akasimamia kauli yake na Magufuli akaondoka madarakani kwa amani au vinginevyo, kitachofuata ni wana-CCM kutaka Magufuli na timu yake kujiuzulu uongozi wa chama kama sehemu ya wao kuwajibika kisiasa-utabiri.
Hivyo,Magufuli,iwapo atashindwa uchaguzi, si tu atapoteza nafasi ya kuwa Raisi,bali ana hatari ya kupoteza na nafasi ya kuwa kiongozi mkuu wa chama(uenyekiti) na kuwa raia wa kawaida mwenye hadhi ya Raisi aleshindwa kutetea nafasi yake kwa mara ya pili.
Time will tell.
Tunachosau wanadamu wengi ni kuwa,katika huu ulimwengu ambao umekuwepo kwa mamilioni ya miaka, hakuna kinachotokea leo hii ambacho ni kipya, bali yote ni marudio tu na ndio maana mtu ukiwa muumini mzuri wa historia, watu wanaweza kukuona wewe kamaa Nabii au mtu mwenye maono wanasahau kuwa katika dunia ya leo, hakuna jipya zaidi ya teknolojia.
CCM hakitakuwa chama cha kwanza kaanguka baada ya kuwepo madarakani kwa muda mrefu kama ambavyo imetokea kwa vyama vingine duniani, na pia Magufuli hatokuwa mtawala wa kwanza asietarajiwa kuanguka kutoka madarakani, ila mwisho wa siku akaanguka kama ilivyotokea kwa watawala wengine tangu kuombwa kwa ulimwengu huu.
Eleweni tu hata dini ni historia katika imani na kwasababu historia(imani) hii inazingatiwa zaidi, ndio maana leo hii mnaona watu wanatumia mistari ya Bibilia(Maandiko Matakatifu) kutabiri anguko la Magufuli na ushindi wa Lissu.
Kwa msingi huu,Magufuli na CCM yake wanaweza kuanguka mara baada ya uchaguzi au kutokana na yatayojiri baada ya matokeo kutangazwa.
Kwahiyo, ikitokea Magufuli anashindwa uchaguzi, na Lissu akasimamia kauli yake na Magufuli akaondoka madarakani kwa amani au vinginevyo, kitachofuata ni wana-CCM kutaka Magufuli na timu yake kujiuzulu uongozi wa chama kama sehemu ya wao kuwajibika kisiasa-utabiri.
Hivyo,Magufuli,iwapo atashindwa uchaguzi, si tu atapoteza nafasi ya kuwa Raisi,bali ana hatari ya kupoteza na nafasi ya kuwa kiongozi mkuu wa chama(uenyekiti) na kuwa raia wa kawaida mwenye hadhi ya Raisi aleshindwa kutetea nafasi yake kwa mara ya pili.
Time will tell.