kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,213
Anasema Isiiachie serikali peke yake...
Akizungumza na Mwananchi bila kujua kwamca CCM wangekuwa wanazungumzia suala hilo, Sumaye alisema, CCM inatakiwa kukabiliana kisiasa na hoja za CHADEMA na si kuiacha serikali ipambane nao.
Kwa mujibu wa Sumaye, kazi ya siasa ni ya chama na si seikali, hivyo CCM wanapaswa kuwa msatari wa mbele kupambana na CHADEMA kwa sera na kujibu hoja zao zote ili kuongeza imani ya wananchi kwa chama hicho.
"Wale CHADEMA wanafanya kazi ya siasa na hawa CCM wamekaa kimya, wanaiacha serikali ndio inatoa majibyu, hali hiyo si nzuri, chama kinapaswa kujibu hoja zote na kama hakina majibu, kiyaombe kwa serikali" alisema Sumaye.
Sumaye alisema CCM inahitaji viongozi waadilifu, wachapakazi, na wasio waoga kumshauri rais juu ya masuala mbalimbali ili kuuwa na mabadiliko ya kiutendaji yanayoendana na joto la kisiasa lililopo.
Source: Mwananchi
Maoni yangu:
Ni Kweli Wanahitaji kujibu hoja, So far si Kikwete, si Pinda, si Chiligati, Si Wassira alojibu hoja, wote waliishia kulalama tu na kuwatisha chadema, wanatakiwa kujibu hoja.
Lakini Jamaa naye anajiandaa nini 2015.
Akizungumza na Mwananchi bila kujua kwamca CCM wangekuwa wanazungumzia suala hilo, Sumaye alisema, CCM inatakiwa kukabiliana kisiasa na hoja za CHADEMA na si kuiacha serikali ipambane nao.
Kwa mujibu wa Sumaye, kazi ya siasa ni ya chama na si seikali, hivyo CCM wanapaswa kuwa msatari wa mbele kupambana na CHADEMA kwa sera na kujibu hoja zao zote ili kuongeza imani ya wananchi kwa chama hicho.
"Wale CHADEMA wanafanya kazi ya siasa na hawa CCM wamekaa kimya, wanaiacha serikali ndio inatoa majibyu, hali hiyo si nzuri, chama kinapaswa kujibu hoja zote na kama hakina majibu, kiyaombe kwa serikali" alisema Sumaye.
Sumaye alisema CCM inahitaji viongozi waadilifu, wachapakazi, na wasio waoga kumshauri rais juu ya masuala mbalimbali ili kuuwa na mabadiliko ya kiutendaji yanayoendana na joto la kisiasa lililopo.
Source: Mwananchi
Maoni yangu:
Ni Kweli Wanahitaji kujibu hoja, So far si Kikwete, si Pinda, si Chiligati, Si Wassira alojibu hoja, wote waliishia kulalama tu na kuwatisha chadema, wanatakiwa kujibu hoja.
Lakini Jamaa naye anajiandaa nini 2015.