Mombo Wetu
JF-Expert Member
- Aug 5, 2008
- 377
- 36
Mkuu,
Umeongea kimafumbo zaidi, na inahitaji zaidi ya common-sense ku'decode message hii.
Embu jaribu kuileta kwa engo ingine ili akina yakhe waambue!
Hii ni food for thoughts kwa wakubwa na ambao wako matured tuu ambao tayari wana meno 32 watoto wanapewaga maziwa ili tumbo liweze kudigest...