Tambwe Hizza kiboko, huyu alisema ni bora amlale mama yake kuliko kurudi CCM sasa sijui ameshalifanya hilooo
Hawa mawaziri wakuu nao wakishaondoka ndio kwanza akili zinawakaa sawa,HATA PINDA=mtu wakujiliza,mvivu,pro-ufisadi,asiyejua dhamana ya cheo chake, asiye jasiri ATATOA MATAMKO MAKINI AKIONDOKA.
Tatizo la hii nchi kwa sasa ni JAKAYA KHALFAN MRISHO KIKWETE na siyo TAMBWE
Sumaye amshangaa Tambwe
Na Mwandishi wetu,
NIPASHE
Chama Cha Mapinduzi(CCM) kinaathiriwa na viongozi maslahi wasio na upeo wa kujua yale wanayosema yanakisaidia au kukuangamiza chama hicho katika siasa za ushindani wa vyama.
Kauli hiyo ilitolewa Dar es salaam jana na Waziri Mkuu Mstaafu,Bwa Frederic Sumaye katika mahojiano maalum na gazeti hili kuhusu kauli zilizotolewa dhidi yake na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Propaganda wa CCM Bw Hizza Tambwe.
Bw Sumaye ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM( NEC) alisema baadhi ya viongozi waliopewa madaraka HAWANA historia na chama hicho na hawaelewinamna kauli zao zinavyokiathiri chama jambao ambalo sasa ni kero kwa wanachama na watu wenye uchungu wa kweli na CCM.
Maoni yangu: wagosi hawa wanasubiri nini kuanza kusaga lami
Tambwe Hizza kiboko, huyu alisema ni bora amlale mama yake kuliko kurudi CCM sasa sijui ameshalifanya hilooo
Hawa mawaziri wakuu nao wakishaondoka ndio kwanza akili zinawakaa sawa,HATA PINDA=mtu wakujiliza,mvivu,pro-ufisadi,asiyejua dhamana ya cheo chake, asiye jasiri ATATOA MATAMKO MAKINI AKIONDOKA.
Tatizo la hii nchi kwa sasa ni JAKAYA KHALFAN MRISHO KIKWETE na siyo TAMBWE
Mkuu,
Umeongea kimafumbo zaidi, na inahitaji zaidi ya common-sense ku'decode message hii.
Embu jaribu kuileta kwa engo ingine ili akina yakhe waambue!