CCM Igunga wafyekana mapanga kugombea pesa

CCM Igunga wafyekana mapanga kugombea pesa

Tanzania bila magomvi inawezekana....Tanzania yenye nia njema na watu wake inawezekana...Watanzania ni lazima kukubali kubadili mavazi hata kama sura yake bado mpya ila fashion imepita..CCM they can go to hell and we can raise our new party which will more keep his mind to his supporter for long life stay....
 
Kwa hili jeshi la polisi lifanye kazi yake.Kutafuta mbunge na kubaka havina uhusiano.
Sitamshabikia aliyefanya tukio bila kujali chama na lengo lake.
 
Nape analizungumziaje hili?mkuu wa posho za mamluki.
 
Aaagh kama ni magamba acha watoane roho tu, tushachoka bana.
 
Hiyo ndio ccm bana. Kila mmoja anamhisi mwenzie ndiye amepewa mkoba. Na watamalizana kwa siasa zao uchwara.
 
kujivua gamba haitoshi, wameanza kukatana mapanga na kubakana hii sasa kali yaani ccm kushneeeeeeeey
 
Hizo hizo pesa za ccm,zimefanya mtu kamwagiwa tindikali,hizo pesa za ccm tena zimefanya mtu kapigwa mapanga na mwanae kubakwa.
 
Inawezekana kabisa huu ni uhalifu nwa kawaida (hauna uhusiani wa kampeni/ siasa) huyo jamaa ndio mtoa rushwa mkubwa wa ccm so majambazi wamefuta kwake awape hizo rushwa Takukuru wanapaswa kumuhoji wapate ukweli iweje watu wamfuate kuomba pesa za kampeni yeye ni mshika fedha wa chama?
 
Haya mambo tunayachukulia kirahisi rahisi tu lakini ni hatari sana!!
 
Na yule aliyemwagiwa tindikali alimwagiwa kwa sababu kama hii hii. Aliwanyima mgao wenzake wa ccm
 
Hata kama kitashinda chama gani ikiwa ushindi utapatikana kwa njia hizi basi hakuna sababu ya kusheherekea huo ushindi. Lengo la uchaguzi ni kupata mwakilishi bora wa igunga atakae tetea maslahi ya wana igunga na sio kuleta maafa igunga.
Yeyote anayehusika kati ya magamba,girlfriend wa magamba au magwanda....basi na alaaniwe

Kuwa makini,wakikusikia wenyewe,hawakawii kunanihiiiiiiii .................
 
Chuki nichukie, binti wangu niachie.! Pole binti uloakwa.
 
Back
Top Bottom