<br />Hakuna haja ya kuifurahia na kuishabikia habari hii. Mtu muungwana angeanza kwa kutoa pole kwa majeruhi kabla ya kushangilia watu kukatana mapanga. Uzalendo wetu uko wapi sasa kama tunafikia hatua ya kushangilia watu kuuana?
<br />
kumbe huwa unahoja nzuri safi sana, pole sana kwa bint na pia babaye.