Dua
JF-Expert Member
- Nov 14, 2006
- 3,229
- 662
wakati huu si majaribio na nchi yetu hATUWEZI KUMPA MTU TUSIEMUAMINI KUTUONGOZA HATUKO TAYARI KUWA KAMA YALIOTOKEA KENYA.
NI CCM PEKEE KWA SASA NDIO INAYOWEZA KURUVUSHA
Unapopata mawazo kama haya unafikiri sasa kule vijijini ambao hawawezi wengi wao kuingia kwenye mitandao mawazo yao yatakuwaje tena hawajaweza kuona mengi LIVE kwani wanaona kwenye Luninga tu na sinema. Kweli kazi ni kubwa.