CCM idhibiti makada wake hasa kutoka UVCCM wanaofanya press conference zinazokiharibia zaidi chama kwa wakati huu

CCM idhibiti makada wake hasa kutoka UVCCM wanaofanya press conference zinazokiharibia zaidi chama kwa wakati huu

Matongee

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2023
Posts
1,226
Reaction score
3,173
Anachokiongea huyu Muhsin Ussi ni upumbavu mtupu kwa wakati huu tuliopo. Hii haimsaidii Rais Samia zaidi ya kuongeza hasira kwa wananchi. Yeye Muhsin anavyosema atashughulika na watakaomkwamisha Rais ni kwa kutumia mamlaka yapi aliyo nayo? Yeye ni chombo cha dola? Muhsin ajue hata wanaCCM wengi wamepoteza maisha na wengine kupoteza wapendwa wao kupitia vurugu za 29th Dec. Ninakerwa sana na vijana kama huyu Muhsin. Na pia kwa sababu ni mzanzibari angeuchuna kwanza hadi huu upepo utulie.


View: https://www.instagram.com/reel/DRFqOy9DJcJ/?igsh=NHNxMWpvcG9remhk
 
Anachokiongea huyu Muhsin Ussi ni upumbavu mtupu kwa wakati huu tuliopo. Hii haimsaidii Rais Samia zaidi ya kuongeza hasira kwa wananchi. Yeye Muhsin anavyosema atashughulika na watakaomkwamisha Rais ni kwa kutumia mamlaka yapi aliyo nayo? Yeye ni chombo cha dola? Muhsin ajue hata wanaCCM wengi wamepoteza maisha na wengine kupoteza wapendwa wao kupitia vurugu za 29th Dec. Ninakerwa sana na vijana kama huyu Muhsin. Na pia kwa sababu ni mzanzibari angeuchuna kwanza hadi huu upepo utulie.


View: https://www.instagram.com/reel/DRFqOy9DJcJ/?igsh=NHNxMWpvcG9remhk

Like Mother like Son
 
Back
Top Bottom