Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,926
- 4,110
Katiba,katiba,katiba!CCM ni chama ila walioko humo ni matatizo, inataka reform ,ila nani wa kufanya? Majanga matupu
Katiba,katiba,katiba!CCM ni chama ila walioko humo ni matatizo, inataka reform ,ila nani wa kufanya? Majanga matupu
Mbaya zaidi anakaa kwa dada ake.Daah!Tatizo wewe unaandika tu ili muda wa kula ukifika ule. Huna cha kupoteza kwa uhuni huu unaofanywa na CCM.
Wanakufanyia mazingaombwe na wewe unaamini? Hao wanajua wanachokifanya. Usiku hukaa pamoja na kigonga cheersKwa Tanzania, chama ni msimamizi wa serikali- maana ndio kilichowaweka hao madarakani. Lakioni bora hata Chama kinasema, hao tuliowchagua kama wawakilishi wetu (Bunge) ambao ndio wanaotakiwa kuisimamia serikali, pumba hovyo kabisa.