albab
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 2,007
- 3,402
Mimi nilipiga mkuu hao wengine siwajuiNani alipiga kura?
Watu ishiri shirini kwenye vituo vilivyokuwa vimeandikisha watu zaidi ya elfu 50 mpaka elfu 70?
Mimi nilipiga mkuu hao wengine siwajuiNani alipiga kura?
Watu ishiri shirini kwenye vituo vilivyokuwa vimeandikisha watu zaidi ya elfu 50 mpaka elfu 70?
Kwa taarifa yako lengo la kuzuia uchaguzi ule lilifanikiwa kwa 70%+, ni bahati tu watu walicheleww kuanza. Na safari hii watu wakisema uchaguzi haufanyiki hautafanyika kweli, maana hata polisi na jeshi wakitokea barabaraani, bado wapiga kura wataogopa kujitokeza, kwani wanajua watachomewa kwenye vituo vya kura, ama hata kuuwawa kwenye hilo kasheshe. Kwa sasa tunajiandaa kwa maandamano wakati wa michuoano ya AFCON iwapo mchakato wa katiba mpya utakuwa haujaanza.Ilishinda vip na uchaguzi ulifanyika na Rais tunae?? lengo lilikua ni kuzuia uchaguzi kama ntakua sijakosea
Matatizo ya kujaza mavi kichwani badala ya akiliKwa taarifa yako lengo la kuzuia uchaguzi ule lilifanikiwa kwa 70%+, ni bahati tu watu walicheleww kuanza. Na safari hii watu wakisema uchaguzi haufanyiki hautafanyika kweli, maana hata polisi na jeshi wakitokea barabaraani, bado wapiga kura wataogopa kujitokeza, kwani wanajua watachomewa kwenye vituo vya kura, ama hata kuuwawa kwenye hilo kasheshe. Kwa sasa tunajiandaa kwa maandamano wakati wa michuoano ya AFCON iwapo mchakato wa katiba mpya utakuwa haujaanza.
Wewe mjuba bado una maumivu ya uchaguzi wa 2025 ambao mlijiapiza kuwa hautafanyika. Sasa uchaguzi ulifanyika na Rais tunaye. Hizi nyuzi zenu mnazoanzisha kila siku kutaka ku destabilise serikali mnapoteza muda tu.Naziona juhudi za CCM kupambana na watu wanaotumia mitandao ya kijamii kukikosoa chama hicho.
China nchi ambayo CCM wanajibaraguza kuwa wanafuata mfano wake, hawazimi mitandao bali huwapa wachina mbadala wa kile wanachozuia wasitumie.
Sasa CCM wanazima TikTok, Whatsapp, YouTube na Twitter bila ya kuwa na mbadala wake.
CCM ijue kuwa haiwezi kushindana kwenye zama hizi za teknolojia janja (Smart technology) kwa kutumia mifumo ya analojia kama vile kuteka au kukamata watu wanaoikosoa mitandaoni.
Jifunzeni imekuwaje No reforms No Election iliishinda Kampeni yenu ya Oktoba tunatiki.
Yaani wao ndio vipaumbele vyaoWagawa sanda...
2m hawafiki😂😂Watu waliopiga kura kwa Tanzania nzima hawafiki hata milioni mbili hizo milioni 30 zingine ni kura za maruhani, rais aliyepigiwa kura na maruhani huyo si rais bali ni kibwengo tu.
Kama wanaingia kwa VPN wewe unapata madhara gani?Ila hawa mapimbi kufunga mitandao ya kijamii halafu wanatumia VPN Kutoa taarifa na habari zao
Sijui huwa na maana gani?
2026 wao wanatumia akili za 1961
Fungeni basi na makampuni ya simu!
Unaweza kuniuliza tena swali lako?Kama wanaingia kwa VPN wewe unapata madhara gani?
Unashindwaje kuwa mtiifu kwa maamuzi yanayofanywa na chama chako?Kwani VPN wanalipia Tsh ngapi?
CCM ya kina Wassira bado wapo analogy wanadhani kampeni lazima uzunguke kijiji ukipiga debe kuwakusanya wanakijiji hawaamimi kampeni inaweza kufanywa kwa mitandao.
nan anaikosoa ccm amekamatwaNaziona juhudi za CCM kupambana na watu wanaotumia mitandao ya kijamii kukikosoa chama hicho.
China nchi ambayo CCM wanajibaraguza kuwa wanafuata mfano wake, hawazimi mitandao bali huwapa wachina mbadala wa kile wanachozuia wasitumie.
Sasa CCM wanazima TikTok, Whatsapp, YouTube na Twitter bila ya kuwa na mbadala wake.
CCM ijue kuwa haiwezi kushindana kwenye zama hizi za teknolojia janja (Smart technology) kwa kutumia mifumo ya analojia kama vile kuteka au kukamata watu wanaoikosoa mitandaoni.
Jifunzeni imekuwaje No reforms No Election iliishinda Kampeni yenu ya Oktoba tunatiki.
Umewahi kusoma hata sayansi ya baiolojia hata kwa kiwanga Cha chini kabisa?Matatizo ya kujaza mavi kichwani badala ya akili
Hakuna... Kuandika hiki ulichoandika umetumia VPN?nan anaikosoa ccm amekamatwa
hujajibu swali, kufungia mitandao kitu cha kawaida hata marekani na china wanafungia mitandao sanaHakuna... Kuandika hiki ulichoandika umetumia VPN?
Usimeze mazima kama makande, try to understand the concept.View attachment 3532144
naona trump anafanya kampeni whatsapp
Marekani hawafungii mitandao hovyo lazima wawe na sababu muhimu sio kufungia ili waue raia wake.hujajibu swali, kufungia mitandao kitu cha kawaida hata marekani na china wanafungia mitandao sana
hamna anaefanya kampeni mtandaoni, watu wote walio serious na maisha hawana mda wa kukaa mtandaoniUsimeze mazima kama makande, try to understand the concept.