Nawashaur Ccm kwa vile hawatak serikal 3 ambazo ndo maon ya wenye nchi .waende ZANZIBAR wafute ile katiba yao ili turudi kama mwanzo ambapo tulikuwa na Nchi moja yaan TANZANIA na serikal mbili, yaan serikal ya JMT na SMZ na hamna kitu kinachoitwa Tanganyika wala Zanzibar.(hayo ndo maboresho ya serikal 2)
ITAKUWA FEDHEHA kubwa sana kama Ukawa watakubal kurud na kujadil Mambo ambayo sis Wananchi hatukuyapendekeza ktk rasimu ya Pili ya Katiba.
ITAKUWA FEDHEHA kubwa sana kama Ukawa watakubal kurud na kujadil Mambo ambayo sis Wananchi hatukuyapendekeza ktk rasimu ya Pili ya Katiba.