lutemi
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 1,743
- 1,379
Ndugu wanajamvi nawasalimu.
Nimeanza kuwa na wasiwasi kwa viongozi wengi wanaosimama majukwaani na kutoa lugha za uchonganishi, ugombanishi na zaidi za chuki.
Hili linanitia wasiwasi ikiwa chama cha mapinduzi chama kikongwe kama kina chuja vizuri na kutambua uraia wa viongozi wanao wapa nyadhifa mbalimbali katika chama hicho.
Nimestuka sana kusikia mwenyekiti wa UVCCM kumbe sio mtanzania!.
Je, wangapi wapo na nafasi kubwa tumejiridhisha uraia wao?
Kama huyo haogopi anagombea katikati ya jiji la Dar es Salaam je huko kakonko au mipakani huko si tunaongozwa na watu wasio watanzania?
CCM TUNAOMBA MSITUTIE WASIWASI. Kwa sababu heshima yenu ni kubwa sana . Nchi hii ipo mikononi mwenu kwasababu mmeaminiwa na watanzania. Kamwe tusiruhusu. Wakenya, Waganda, Warwanda Wasomari na Warundi wakawa ndio wameshika vyeo na kuligawa taifa.
Bado natafakari naamini mtafanya uchunguzi kwa viongozi na wabunge wenu ili tuwe na uhakika tunakitawala wenyewe.
Nimeanza kuwa na wasiwasi kwa viongozi wengi wanaosimama majukwaani na kutoa lugha za uchonganishi, ugombanishi na zaidi za chuki.
Hili linanitia wasiwasi ikiwa chama cha mapinduzi chama kikongwe kama kina chuja vizuri na kutambua uraia wa viongozi wanao wapa nyadhifa mbalimbali katika chama hicho.
Nimestuka sana kusikia mwenyekiti wa UVCCM kumbe sio mtanzania!.
Je, wangapi wapo na nafasi kubwa tumejiridhisha uraia wao?
Kama huyo haogopi anagombea katikati ya jiji la Dar es Salaam je huko kakonko au mipakani huko si tunaongozwa na watu wasio watanzania?
CCM TUNAOMBA MSITUTIE WASIWASI. Kwa sababu heshima yenu ni kubwa sana . Nchi hii ipo mikononi mwenu kwasababu mmeaminiwa na watanzania. Kamwe tusiruhusu. Wakenya, Waganda, Warwanda Wasomari na Warundi wakawa ndio wameshika vyeo na kuligawa taifa.
Bado natafakari naamini mtafanya uchunguzi kwa viongozi na wabunge wenu ili tuwe na uhakika tunakitawala wenyewe.