CCM, Chama cha Mauaji

CCM, Chama cha Mauaji

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
18,112
Reaction score
29,748
Kwa kweli CCM ya sasa haistahili hata kuwepo madarakani.
CCM sasa hivi ni Cha Cha Mauaji.
Kimeiagiza serikali inacho kiongoza kuua wananchi.

Chama cha Mauaji kinakosa kuwa chama kinacho wakilisha maoni ya wananchi.
 
Back
Top Bottom