Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 17,551
- 28,510
Kwa kweli CCM ya sasa haistahili hata kuwepo madarakani.
CCM sasa hivi ni Cha Cha Mauaji.
Kimeiagiza serikali inacho kiongoza kuua wananchi.
Chama cha Mauaji kinakosa kuwa chama kinacho wakilisha maoni ya wananchi.
CCM sasa hivi ni Cha Cha Mauaji.
Kimeiagiza serikali inacho kiongoza kuua wananchi.
Chama cha Mauaji kinakosa kuwa chama kinacho wakilisha maoni ya wananchi.