Njilembera
JF-Expert Member
- May 10, 2008
- 1,496
- 607
Huu NI UONGO WA KUSTAJABISHA SANA, HAKUNA AMBAYE HAJALIPWA MSHAHARA WALA POSHO. LAKINI PIA HATULIPI WATU KWA UMBEA WALA UZUSHI UNAOANDIKWA KWENYE MITANDAO,ACHENI KUZUSHA MAMBO.....
Ilitosha kukanusha hii taarifa tu bila haya mengine! Wewe ni kiongozi na imekupasa kuelewa mipaka ya lugha unayoitumia kwa watu wengine. Tafsiri yangu kwa kauli ya pili nimekuona wewe uko chini sanaaa. Unatuangusha! Kiongozi hajibizani!