mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,731
- Thread starter
- #41
Naskia CHADEMA wanalo jembe;Jana kamati ya siasa ya mkoa iliwaita Mkuu wa mkoa na wakuu wa wilaya Zote kuja mjini Bunda ili kupeana maelekezo namna ya kufanya maana tangu awali hakuna uwezekano wowote wa Kushinda ukizingatia kuna baadhi ya wana Bunda waliguswa na Operation Tokomeza