Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,811
- 6,506
Kutoka chama ambacho kupitishwa kuwa mgombea lazima utoe rushwa mpaka kufikia kiwango cha chama ambacho watu wa kugombea wanakosekana!.
Hivi tunaongelea CCM ya Tanzania au CCM ya wapi?.
Ningeelewa kama mleta mada angesema CCM imekosa mgombea makini na siyo mgombea yeyote. Ninadhani kinachofanyika ni CCM kuhaha kutafuta Mgombea wanayedhani anachagulika na siyo kutafuta mgombea yeyote.
Hebu tujaribu kuwa wakweli kwa manufaa ya Taifa na siyo kuwalisha watu maneno ambayo kesho CCM wakishinda kwenye uchaguzi inakuwa ni mshangao na malalamiko kwa sababu tulikuwa tumeamishwa kuwa CCM haina mgombea.
Kuna watu wanapenda kuiaminisha jamii kama CCM imejaa watu wajinga na wasiojitambua wakati ukweli ni sivyo kama unavyoonekana kwa watu wanaojaribu kutingisha fikra zao.
Chama Dola ndani ya siasa za Tanzania hakiwezi kwa sasa kufikia kwenye kiwango cha kukosa wagombea bali kuna uwezekano wa kukosa wagombea makini kutokana na kukithiri kwa rushwa kwenye process ya uteuzi wa wagombea.
Hivi tunaongelea CCM ya Tanzania au CCM ya wapi?.
Ningeelewa kama mleta mada angesema CCM imekosa mgombea makini na siyo mgombea yeyote. Ninadhani kinachofanyika ni CCM kuhaha kutafuta Mgombea wanayedhani anachagulika na siyo kutafuta mgombea yeyote.
Hebu tujaribu kuwa wakweli kwa manufaa ya Taifa na siyo kuwalisha watu maneno ambayo kesho CCM wakishinda kwenye uchaguzi inakuwa ni mshangao na malalamiko kwa sababu tulikuwa tumeamishwa kuwa CCM haina mgombea.
Kuna watu wanapenda kuiaminisha jamii kama CCM imejaa watu wajinga na wasiojitambua wakati ukweli ni sivyo kama unavyoonekana kwa watu wanaojaribu kutingisha fikra zao.
Chama Dola ndani ya siasa za Tanzania hakiwezi kwa sasa kufikia kwenye kiwango cha kukosa wagombea bali kuna uwezekano wa kukosa wagombea makini kutokana na kukithiri kwa rushwa kwenye process ya uteuzi wa wagombea.