CCM Bunda wakosa mgombea udiwani

CCM Bunda wakosa mgombea udiwani

ccm ndo inakufa ujue hivyo, achen masihala.
 
Gaspa Kileo ndio ametumwa toka Shinyanga kwenda kumbembeleza Kweka? Kweli CCM wana kazi, Mzee wa Gombe njama zake za kuua CDM zimebuma vibaya sana
 
Nyie vijana nyamafu zenu hivi hili suala mnajadili kujifurahisha au mnalijua?
Nadhani gongo ndio inayoongea na sio utafiti.
Subilieni aibu yenu siku ya matokeo.
CCM haiwezi kulinganishwa na chama cha wahuni.

Mbona povu? nenda kawe mgombea wao! kwa Bunda ninayoifahamu ccm haina chake pale,piga ua CDM lazima waibuke kidedea.
 
Nyie vijana nyamafu zenu hivi hili suala mnajadili kujifurahisha au mnalijua?
Nadhani gongo ndio inayoongea na sio utafiti.
Subilieni aibu yenu siku ya matokeo.
CCM haiwezi kulinganishwa na chama cha wahuni.

mamako ndo muhuni sio sisi ......umeanza tumemaliza.. sisi ndo cdm ...ccm tupa kule....
 
Gaspa Kileo ndio ametumwa toka Shinyanga kwenda kumbembeleza Kweka? Kweli CCM wana kazi, Mzee wa Gombe njama zake za kuua CDM zimebuma vibaya sana

Huyo kileo asitutanie, anaenda kutafuta nini wakati ccm hawaishi kuwatukana wachaga kila siku na sisi ni miongoni mwa watu ambao si wachaga lakini tunakerwa na ujinga huu wa ccm , yaani yeye matusi kwa wachaga hayamkeri?
 
Mungu hamfichi mnafiki tena ngoma ipo jimboni mwa mtukanaji
Huyo kileo asitutanie, anaenda kutafuta nini wakati ccm hawaishi kuwatukana wachaga kila siku na sisi ni miongoni mwa watu ambao si wachaga lakini tunakerwa na ujinga huu wa ccm , yaani yeye matusi kwa wachaga hayamkeri?
 
Mungu hamfichi mnafiki tena ngoma ipo jimboni mwa mtukanaji
Ngoja Wassira awaonyeshe kwamba ngoma ya watoto haikeshi na mkutano wa wanywa gongo hauna madhara maana hawajitambui.
Hapo hamshindi ng'oo!,serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
 
Back
Top Bottom