nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
Teh teh...miccm bwana!!
Upo tej...a asubuhi asubuhi, kale kademu ka Criff Jack mbona hamwendi kukakomboa ila Mkuu mnapoteza vijana sio poa kabisa
paaaauwwaaaaaahPiiiiiiiiiiiiiiiii.................pooooooooooz
paaaauwwaaaaaah
Ongezea hapo hapo kwa hao mashetwaniHata shetani kagoma kupambana na chama cha mungu
CCM haiwezi kukosa mgombea hata siku moja
Huyu ni mchaga kweka.... tatizo la ccm ni kutukana wachaga... sasa ngoja wakione cha mtema kuni.
Ushauri wangu wamfuate zitto kabwe agombee huko si ni mamluki wao.
Oohh cdm itakufa jamani..
Wasira uko wapi jimbo lako lakosa mgombea.... kenge wewe
Ningekuwa karibu ningejipendekeza nile pesa zao then nijitoe siku ya uchaguzi. CCM hawana huruma na wananchi wa Tanzania na wala hawajali.
Asanteni wana Bunda kwa kuonesha uzalendo..............