Ni hivi , watanzania wametambua kwamba kuitetea ccm ni sawa na kumtetea shetani .
KWA taarifa zaidi CCM yote Bunda wanamuuogopa Mgombea wa CHADEMA bw MAgambo
Na tunajua wazi kuwa shetani hawezi kutubu.
kweka si mchaga? sasa mbona ccm walimteua au hawakujua kabila lake?
Huyu ni mchaga kweka.... tatizo la ccm ni kutukana wachaga... sasa ngoja wakione cha mtema kuni.
Ushauri wangu wamfuate zitto kabwe agombee huko si ni mamluki wao.
Oohh cdm itakufa jamani..
Wasira uko wapi jimbo lako lakosa mgombea.... kenge wewe
Kwani Bunda iko wapi tena?? CCM haijawahi kukosa mgombea katika uchaguzi wowote ule. Hii Bunda mnayoisema nyie ni ipi!?
Tusikurupuke tu na kuandika ili upate sifa za kijinga. Tunaomba mje na ushahidi wa kutosha hapa. Hii gongo ya chadema mbaya sana.
dalili ya mvua mawingu, ccm ndio hivyoooo wanaondokaKatika uchaguzi wa marudio kata Nyasura Wilaya ya Bunda Chama cha Mapinduzi kilimteua mgombea wake aitwaye CHINGA na baadae kujitoa na Kikamuomba Mfanya biashara maarufu mjini hapa aitwaye Kweka kusimama,taarifa Rasmi nilizozipata Kweka amejiondoa usiku wa kuamkia Leo na CCM wana haha kupata mtu mwingine
WEWE mkuu si uweke habari zako za uhakika kama huamini hizi habari, hujui kuwa Bunda iko mkoa wa Mara. mashariki mko0a huu unapakana na nmkoa wa Arusha, kaskazini unapakana na Nchi ya Kenya kasikazini magharibi Uganda, magharibi una mpaka wa maji na Kagera na kusini ni Mwanza . Na huu ni mwanzo kabla ya mwaka 2015 mbona mtajuta kuwa wanachama wa ccmKwani Bunda iko wapi tena?? CCM haijawahi kukosa mgombea katika uchaguzi wowote ule. Hii Bunda mnayoisema nyie ni ipi!?
Tusikurupuke tu na kuandika ili upate sifa za kijinga. Tunaomba mje na ushahidi wa kutosha hapa. Hii gongo ya chadema mbaya sana.
Hata mgombea urais hawana
Umeniwahi! Hata mimi taarifa nilizopata ni kuwa JK hatokubali mtu agombee urais kwani Chama Kimechakaa.